利未记 17 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

利未记 17:1-16

杀祭牲的条例

1耶和华对摩西说: 2“你要告诉亚伦父子们及全体以色列人,以下是耶和华的吩咐: 3任何在营内或营外宰杀公牛、绵羊或山羊的以色列人, 4若没有把牲畜带到会幕门口,在耶和华的圣幕前献给耶和华,便是犯了流血之罪,要将他从民中铲除。 5这是为了让以色列人把祭牲带到会幕门口交给祭司,献给耶和华作平安祭,而非在野外杀祭牲献祭。 6祭司要将祭牲的血洒在会幕门口耶和华的祭坛上,把脂肪焚烧献给耶和华作馨香之祭。 7他们不可再献祭物给山羊神,与其苟合。这是他们世代当守的永久律例。

8“你要告诉他们:不论是以色列人,还是寄居在以色列人中间的外族人,献燔祭或其他祭物时, 9如果没把祭物带到会幕门口献给耶和华,要将他从民中铲除。

禁止吃血

10“任何以色列人或寄居在以色列人中间的外族人若吃血,耶和华必严惩,把他从民中铲除。 11因为肉体的生命在血中,耶和华把血赐给你们,使你们可以用血在祭坛上为自己赎罪。血可以为人的生命赎罪。 12所以耶和华吩咐以色列人和寄居在以色列人中间的外族人不可吃血。 13以色列人或寄居在以色列人中间的外族人如果捕到可吃的鸟或兽,必须放尽它的血,用土掩埋, 14因为所有动物的生命都在血中。因此,耶和华吩咐以色列人不可吃任何动物的血,因为血就是生命。凡吃血的都要被铲除。 15不论以色列人还是外族人,若吃了自然死亡或被野兽撕裂的动物,就不洁净。他必须洗衣、沐浴,等到傍晚才能洁净, 16否则他要承担罪责。”

Kiswahili Contemporary Version

Walawi 17:1-16

Kunywa Damu Kumekatazwa

1Bwana akamwambia Mose, 217:2 Law 10:6, 12“Sema na Aroni na wanawe, pamoja na Waisraeli wote, uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana aliloagiza: 317:3 Law 3:7; 7:23Mwisraeli yeyote atakayetoa dhabihu ya maksai, mwana-kondoo au mbuzi ndani ya kambi au nje yake, 417:4 1Fal 8:4; 2Nya 1:3; Kum 12:5-21; Mwa 17:14badala ya kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kuileta kama sadaka kwa Bwana mbele ya Maskani ya Bwana, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya kumwaga damu; ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 517:5 Law 3:1; Eze 43:27; Mwa 21:33; 22:2; 1Fal 14:22-23Hii ni ili Waisraeli wamletee Bwana dhabihu wanazozifanya sasa mahali pa wazi mashambani. Ni lazima wazilete kwa makuhani, yaani kwa Bwana, katika ingilio la Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu kama sadaka za amani. 6Kuhani atanyunyiza damu kwenye madhabahu ya Bwana katika ingilio la Hema la Kukutania, na kuyateketeza mafuta ya hiyo dhabihu kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 717:7 Kut 12:14; 22:20; 34:15; 34:15; Yer 3:6-9; Eze 23:3; 1Kor 10:20; Mwa 9:12; Kum 32:17; 2Nya 11:15; Za 106:37Hawatatoa kamwe dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi ambazo wamekuwa wakijifanyia nazo ukahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwao na kwa ajili ya vizazi vijavyo.’

8“Waambie: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwao atakayetoa sadaka ya kuteketezwa au dhabihu 917:9 Law 1:3; 3:7bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa Bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

1017:10 Mwa 9:4; Kum 12:16, 23; 1Sam 14:33; Law 26:17; Yer 44:11; Eze 15:7“ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwao ambaye atakunywa damu yoyote, nitakuwa kinyume cha mtu huyo atakayekunywa damu na kumkatilia mbali na watu wake. 1117:11 Mwa 9:4; Ebr 9:22Kwa kuwa uhai wa kiumbe uko ndani ya damu, nami nimewapa hiyo damu ili mfanyie upatanisho kwa ajili yenu wenyewe juu ya madhabahu; damu ndiyo ifanyayo upatanisho kwa ajili ya maisha ya mtu. 12Kwa hiyo, ninawaambia Waisraeli, “Hakuna hata mmoja wenu anayeruhusiwa kunywa damu, wala mgeni anayeishi miongoni mwenu haruhusiwi kunywa damu.”

1317:13 Law 7:26; Eze 24:7; 33:25; Mdo 15:20; Kum 12:16“ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima aimwage damu na kuifunika kwa udongo, 1417:14 Mwa 9:4; Law 7:24; 14:8; 11:40; Kol 1:14; Kum 14:21; Kut 22:31; Mk 14:24; Rum 5:9kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake. Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli, “Kamwe msinywe damu ya kiumbe chochote, kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake; yeyote atakayekunywa damu ni lazima akatiliwe mbali.”

1517:15 Kut 22:31; Kum 14:2; Eze 4:14“ ‘Mtu yeyote, awe mzawa au mgeni, ambaye atakula mzoga wa kitu chochote ama kilichouawa na wanyama mwitu ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni, kisha atakuwa safi. 1617:16 Law 5:1; Hes 19:20; Ebr 9:28Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”