创世记 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

创世记 4:1-26

该隐和亚伯

1亚当和他妻子夏娃同房,夏娃便怀孕,生了该隐。她说:“耶和华让我得了一个男孩。” 2后来,夏娃又生了该隐的弟弟亚伯亚伯做了牧羊人,该隐做了农夫。

3过了些日子,该隐把地里的出产当祭物献给耶和华, 4亚伯也把羊群中头生的羊及其最肥美的部分献给耶和华。耶和华悦纳亚伯和他的祭物, 5却不悦纳该隐和他的祭物。该隐便非常恼火,面色阴沉。 6耶和华问该隐:“你为什么恼火?为什么面色阴沉? 7如果你做得对,难道不会蒙悦纳吗?如果你做得不对,罪就蹲伏在你的门口,要控制你,但你必须制服罪。”

8该隐对弟弟亚伯说:“我们去田间吧!”4:8 “我们去田间吧!”参照《七十士译本》,希伯来文无此句。他们在田间的时候,该隐动手打亚伯,把他杀了。

9后来,耶和华问该隐:“你弟弟亚伯在哪里?”他说:“我不知道!难道我是我弟弟的看护人吗?” 10耶和华说:“你做了什么事?你弟弟的血从地里向我哭诉。 11地张开口从你手上接受了你弟弟的血,现在你在地上必受咒诅。 12你种地,地却不会再为你效力,你必在地上四处漂泊。” 13该隐对耶和华说:“这惩罚太重!我承受不了。 14今天你把我从此地赶出去,使我不能再见你的面。我在地上四处漂泊,见到我的人都会杀我。” 15耶和华对他说:“不会的,因为凡杀你的,必遭受七倍的报应。”于是,耶和华在该隐身上留下一个记号,免得见到他的人杀他。 16该隐离开耶和华,来到伊甸东边的挪得住下来。

该隐的后代

17该隐和妻子同房,他的妻子就怀孕,生了以诺该隐建了一座城,用他儿子的名字给这城取名叫以诺18以诺以拿以拿米户雅利米户雅利玛土撒利玛土撒利拉麦19拉麦娶了两个妻子,一个叫亚大,另一个叫洗拉20亚大生了雅八雅八是游牧民族的祖先, 21雅八的弟弟叫犹八,他是弹琴吹笛之人的鼻祖。 22洗拉生了土八·该隐,他是打造各种铜铁器具的匠人4:22 “他是打造各种铜铁器具的匠人”或译“他是铜匠、铁匠的祖先”。,他的妹妹叫拿玛

23拉麦对他的两个妻子说:

亚大洗拉,你们听我的声音;

拉麦的妻子啊,侧耳听我的话,

有人伤我,我杀了他,

青年打我,我宰了他。

24该隐的遭受七倍的报应,

拉麦的遭受七十七倍的报应。”

塞特和以挪士

25亚当又与妻子夏娃同房,夏娃生了一个儿子,取名叫塞特,因为她说:“上帝赐我另一个儿子来代替亚伯,因为该隐杀了他。” 26塞特生了一个儿子,给他取名叫以挪士。那时候,人开始求告耶和华的名。

Kiswahili Contemporary Version

Mwanzo 4:1-26

Kaini Na Abeli

14:1 Mwa 2:20; Ebr 11:4; 1Yn 3:12; Yud 11Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.” 24:2 Mt 23:35; Lk 11:51; Ebr 11:4; 12:24; Mwa 2:7Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake.

Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima. 34:3 Law 2:1-2; Isa 43:23; Yer 41:5; Hes 18:12Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa Bwana. 44:4 Law 3:16; 2Nya 29:35; Kut 13:2, 12; Kum 15:19; Ebr 11:4Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. Bwana akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake, 5lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.

6Kisha Bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni? 74:7 Mwa 44:16; Hes 32:23; Isa 59:12; Ay 11:15; 22:27; Za 27:3; 46:2; Rum 6:16Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”

84:8 Mt 23:35; Lk 11:51; 1Yn 3:12; Yud 11Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.

94:9 Mwa 3:9; Yn 8:44Kisha Bwana akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?”

Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”

104:10 Mwa 9:5; 37:20, 26; Kut 21:12; Hes 35:33; Kum 21:7-9; 2Sam 4:11; Ay 16:18; 24:2; 31:38; Za 9:12; 106:38; Ebr 12:24; Ufu 6:9-10Bwana akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini. 114:11 Kum 11:28; 2Fal 2:24Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako. 124:12 Kum 28:15-24; Za 37:25; 59:15; 109:10Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”

13Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili. 144:14 2Fal 17:18; Za 51:11; 139:7-12; Yer 7:15; 52:3; Kum 28:64-67; Mwa 9:6; Kut 21:12-14; Law 24:17; Hes 35:19-21, 27; 1Fal 2:32; 2Fal 11:16Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”

154:15 Eze 9:4, 6; Kut 21:20; Law 26:21; Za 79:12Lakini Bwana akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha Bwana akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue. 164:16 Yud 11; Mwa 2:8Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.

174:17 Za 55:9; 49:11Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake. 18Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.

194:19 Mwa 2:9; 29:28; Kum 21:15; Rut 4:11; 1Sam 1:2Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila. 20Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama. 214:21 Mwa 31:27; Kut 15:20; 1Sam 16:16; 1Nya 25:3; Za 33:2; 43:4; 150:4; Isa 16:11; Dan 3:5; Ay 21:12; 30:31Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi. 224:22 Kut 35:35; 1Sam 13:19; 2Fal 24:14Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.

234:23 Mwa 9:6-9; Kut 20:13; 21:12; 23:7; Law 19:18; 24:17; Kum 27:24Lameki akawaambia wake zake,

“Ada na Sila nisikilizeni mimi;

wake wa Lameki sikieni maneno yangu.

Nimemuua mtu kwa kunijeruhi,

kijana mdogo kwa kuniumiza.

244:24 Kum 32:35; 2Fal 9:7; Za 18:47; Isa 35:4; Yer 51:56; Mt 18:22; Nah 1:2Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba,

basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”

254:25 Mwa 5:3; 1Nya 1:1Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.” 264:26 Mwa 5:3; 12:8; 13:4; 21:33; 22:9; 26:25; 33:20; Lk 3:38; Kut 17:15; Sef 3:9; 1Fal 18:24; Za 116:17; Yoe 2:32; Mdo 2:21Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi.

Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la Bwana.