挪亚三个儿子的后代
1洪水以后,挪亚的儿子闪、含和雅弗都生了儿子,以下是他们的后代。
2雅弗的儿子是歌篾、玛各、玛代、雅完、土巴、米设、提拉。 3歌篾的儿子是亚实基拿、利法、陀迦玛。 4雅完的儿子是以利沙、他施、基提、多单。 5雅弗的这些后代各按宗族、语言和民族分散在沿海自己的国土上。
6含的儿子是古实、麦西10:6 “麦西”希伯来文是Mizraim,就是“埃及”,13节亦同。、弗、迦南。 7古实的儿子是西巴、哈腓拉、撒弗他、拉玛、撒弗提迦。拉玛的儿子是示巴和底但。
8古实也是宁录之父,宁录是世上第一位勇士, 9在耶和华眼中是个孔武有力的猎人,因此有俗话说:“要像宁录那样在耶和华眼中是个孔武有力的猎人。” 10他首先在示拿地区的巴别、以力、亚甲、甲尼各地建国, 11后来扩展到亚述,在那里建立了尼尼微、利河伯、迦拉, 12以及尼尼微与迦拉之间的利鲜大城。
13麦西的后代有路低人、亚拿米人、利哈比人、拿弗土希人、 14帕斯鲁细人、迦斯路希人和迦斐托人。非利士人是迦斐托人的后代。
15迦南生长子西顿和次子赫, 16他的后代还有耶布斯人、亚摩利人、革迦撒人、 17希未人、亚基人、西尼人、 18亚瓦底人、洗玛利人和哈马人。后来迦南各宗族散居在各地。 19迦南的疆域从西顿向基拉耳延伸,远至迦萨,再向所多玛、蛾摩拉、押玛、洗扁延伸,远至拉沙。 20以上记载的都是含的子孙,他们根据自己的宗族、语言、国土和民族散居各处。
21雅弗的哥哥闪是希伯子孙的祖先,他也生了儿子。 22闪的儿子是以拦、亚述、亚法撒、路德、亚兰。 23亚兰的儿子是乌斯、户勒、基帖、玛施。 24亚法撒生沙拉,沙拉生希伯, 25希伯有两个儿子,一个名叫法勒10:25 “法勒”意思是“分开”。,因为那时人们分地而居。法勒的兄弟叫约坍。 26约坍生亚摩答、沙列、哈萨玛非、耶拉、 27哈多兰、乌萨、德拉、 28俄巴路、亚比玛利、示巴、 29阿斐、哈腓拉、约巴。这些都是约坍的儿子。 30他们居住的地方,从米沙直到东边的西发山区。 31以上记载的都是闪的子孙,他们按着自己的宗族、语言、国土和民族散居各处。
32这些人都是洪水以后挪亚三个儿子所生的子孙,他们按着自己的民族和家系散居在各地,繁衍出地上各个民族。
Mataifa Yaliyotokana Na Noa
(1 Nyakati 1:5-23)
110:1 Mwa 2:4; 5:32; 1Nya 1:4Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Wazao Wa Yafethi
210:2 Eze 38:6; 39:1, 6; 27:13-19; 33:26; Ufu 20:8; Isa 66:19Wana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
310:3 Yer 51:27; Eze 27:13-14; 38:6Wana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
410:4 Eze 27:7, 10, 12, 25; 38:13; Za 48:7; 72:10; Isa 2:16; 23:1-6, 12; 66:19; Yer 2:10; 10:9; Yon 1:3; Hes 24:24; Dan 11:30Wana wa Yavani walikuwa:
Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu. 5(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Wazao Wa Hamu
610:6 2Fal 19:9; Nah 3:9; 2Nya 12:3; 16:8; Isa 11:11; 18:1; 20:3; 43:3; Yer 46:9; Eze 27:10; 30:4-9; 38:5; Mwa 9:18; Sef 2:12; 3:10Wana wa Hamu walikuwa:
Kushi, Misraimu,10:6 Yaani Misri. Putu na Kanaani.
710:7 Isa 21:13; 43:3; 60:6; Mwa 2:11; 25:3; Eze 38:13; 27:15, 20, 22; 1Fal 10:1; 2Nya 9:1; Ay 1:15; 6:19; 16:11; Za 72:10; Yer 25:23-24; 6:20; 49:8; Yoe 3:8; 1Nya 1:32Wana wa Kushi walikuwa:
Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.
Wana wa Raama walikuwa:
Sheba na Dedani.
810:8 Mik 5:6Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani. 910:9 2Nya 14:9; 16:8; Isa 18:2; Mwa 25:27; 27:3Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.” 1010:10 Mwa 11:2, 9; 14:1; 2Nya 36:17; Isa 10:9; 13:1; Yer 21:2; 25:12; 50:1; Ezr 4:9; Amo 6:2; Zek 5:11Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari. 1110:11 Za 83:8; Isa 37:37; Mik 5:6; Sef 2:13; 2Fal 19:36; Yon 1:2; 3:2-3Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala, 12na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
13Misraimu alikuwa baba wa:
Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 1410:14 Mwa 21:32-34; 26:1, 8; Yos 13:2; Amu 3:3; Isa 14:31; Yer 47:1-4; Amo 9:7; Kum 2:23; 1Nya 1:12Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
1510:15 Mwa 9:18; 5:20; 23:3; 25:10; 26:34; 27:46; 49:32; Yos 1:4; 11:8; Amu 10:6; Isa 23:2-4; Yer 25:22; 27:3; 47:4; Eze 16:3; 28:21; 32:30; Yoe 3:4; Zek 9:2; Kut 4:22; Hes 1:20; 3:2; 13:29; 18:15; 33:4; 1Sam 26:6Kanaani alikuwa baba wa:
Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi, 1610:16 Amu 19:10; 1Nya 11:4; Ezr 9:1; Kut 3:8; 2Nya 8:7; Hes 13:29; 21:13; 32:39; Yos 2:10; Kum 1:4; 7:1; Yos 2:10; Mwa 15:18-21Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 1710:17 Mwa 34:2; 36:2; Kut 3:8; Kum 7:1; Amu 3:3Wahivi, Waariki, Wasini, 1810:18 Eze 27:8; 1Nya 18:3; Mwa 12:6; 13:17; 50:11; Kut 13:11; Hes 13:29; 14:25; 21:3; 33:40; Kum 7:1; Amu 1:1Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika, 1910:19 Mwa 11:31; 12:1; 13:12; 14:2; 17:8; 24:3; 26:34; 37:1; 27:46; 28:1-8; 31:18; 35:6; 49:13; Law 25:38; Yos 19:28; Amu 1:18, 31; 18:28; 6:4; 16:1, 21; 2Nya 24:6; 14:13; Kum 2:23; 29:23; Yos 10:41; 11:22; 15:47; 1Sam 6:17; Yer 25:20; 47:1; Amo 1:6; Sef 2:4na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
20Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Wazao Wa Shemu
2110:21 Hes 24:24Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
2210:22 Mwa 14:1; Isa 11:11; 21:2; Yer 25:25; 49:34; Eze 27:23; 32:24; Dan 8:2; Lk 3:36; Hes 24:22-24; Amu 3:10; 1Fal 11:25; 19:15; 20:34; 22:31; 2Fal 5:1; 8:7Wana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
2310:23 Mwa 22:21; Ay 1:1; Yer 25:20; Mao 4:21Wana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
2410:24 Lk 3:35Arfaksadi alikuwa baba wa Shela,
naye Shela akamzaa Eberi.
25Eberi akapata wana wawili:
Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26Yoktani alikuwa baba wa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 2710:27 Eze 27:19Hadoramu, Uzali, Dikla, 2810:28 1Fal 10:1; Ay 6:11; Za 72:10, 15; Isa 60:6; Eze 27:22Obali, Abimaeli, Sheba, 2910:29 1Fal 9:28; 1Nya 29:4; Ay 22:24; 28:16; Za 45:9; Isa 13:12; 10:32; Mwa 9:19Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
32Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.