出埃及记 14 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 14:1-31

过红海

1耶和华对摩西说: 2“你吩咐以色列人改变方向,在比·哈希录附近的海边扎营,在红海和密夺之间,对面是巴力·洗分3法老必定以为以色列人走迷了路,被困在旷野。 4我要使法老的心刚硬,使他派兵追赶他们。我要在法老和埃及军兵身上得荣耀,好叫埃及人知道我是耶和华。”于是,以色列人遵命而行。

5有人向埃及王报信,说以色列百姓逃走了。法老和他的臣仆便改变主意,说:“我们怎么可以让以色列人就这样离开我们,不再服侍我们呢?” 6法老便吩咐人预备战车,他亲自领军, 7率领埃及所有的战车,包括六百辆最精锐的战车,每辆车上都有战车长。 8耶和华使埃及王法老的心刚硬,法老就追赶毫无惧色地离开埃及以色列人。 9埃及大军的战车骑兵倾巢而出,在巴力·洗分对面、比·哈希录附近的海边追上了安营的以色列人。

10法老渐渐逼近,以色列人抬头看见埃及人追了上来,非常害怕,便呼求耶和华。 11他们对摩西说:“难道埃及没有坟地,要你带我们出来死在旷野吗?为什么要带我们出埃及呢? 12我们在埃及岂不是对你说过,别管我们,就让我们服侍埃及人吗?服侍埃及人总比死在旷野好啊!” 13摩西对百姓说:“你们不要害怕,站稳了,看耶和华今天怎样解救你们。你们再也看不到你们今天看到的埃及人了。 14耶和华必为你们争战,你们要保持安静。” 15耶和华对摩西说:“为什么向我呼求呢?吩咐以色列人往前走吧。 16你举手向海伸出手杖,把海水分开,以色列人可以从中间的干地走过去。 17我要使埃及人的心刚硬,他们会尾随你们下到海中。我要在法老及其大军、战车和骑兵身上得荣耀。 18当我在法老及其战车和骑兵身上得到荣耀时,埃及人就知道我是耶和华。”

19这时,在以色列队伍前面领路的上帝的天使,转到百姓后面,云柱也随着移到后面立住。 20云柱停在埃及队伍和以色列队伍的中间,埃及人这边一片黑暗,以色列人那边却有光,彼此整夜都无法接近对方。

21摩西向海伸出手,耶和华便整夜用强劲的东风吹退海水,将海底变成干地。海水分开后, 22以色列人踏着干地走入海中,海水在他们左右形成水墙。 23法老的军兵车马紧追不舍,都跟着下到海中。 24到了破晓时分,耶和华从云柱火柱中俯视埃及军队,使他们陷入混乱。 25祂使他们战车的轮子脱落,难以前行。于是,埃及人说:“我们逃命吧,因为耶和华在帮助以色列人攻击我们!”

26耶和华对摩西说:“你向海伸出手,使海水回流,淹没埃及人及其战车和马兵。” 27天刚亮的时候,摩西向海伸出手,海水便恢复原状。埃及人纷纷向岸上逃命,耶和华却使大水把他们卷回海中。 28海水回流,法老的战车和人马都淹没在大海之中,全军覆没。 29以色列人却在干地上走过红海,海水在他们左右形成水墙。 30那天,耶和华就这样从埃及人手中拯救了以色列人。以色列人看见埃及人的尸体横在海边。 31以色列百姓亲眼看见耶和华怎样以大能对付埃及人,他们就敬畏耶和华,又信服祂和祂的仆人摩西

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 14:1-31

Kuvuka Bahari Ya Shamu

1Ndipo Bwana akamwambia Mose, 2“Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni. 3Farao atafikiri kwamba, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga katika nchi kwa kuchanganyikiwa, nalo jangwa limewafungia.’ 414:4 Kut 4:21; Za 71:11; Kut 9:16; Rum 9:17, 22-23; Kut 6:2; 7:5; Eze 32:15Nami nitaufanya moyo wa Farao mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa mimi ndimi Bwana.” Kwa hiyo Waisraeli wakafanya hivyo.

514:5 Mwa 31:21; Za 105:25Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!” 6Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake. 714:7 Kut 15:4Akachukua magari bora mia sita, pamoja na magari mengine yote ya Misri, pamoja na maafisa wa magari hayo yote. 814:8 Kut 11:10; Hes 33:2; Mdo 13:17Bwana akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka Misri kwa ujasiri. 914:9 Mwa 47:17; Yos 24:6; Isa 43:17; Kut 15:9Nao Wamisri, yaani farasi wote wa Farao na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta karibu na Pi-Hahirothi, mkabala na Baal-Sefoni walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari.

1014:10 Kut 15:25; Yos 24:7; Neh 9:9; Za 5:2; 34:17; 50:15; 107:6, 28Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua macho yao, wakawaona Wamisri wakija nyuma yao. Wakashikwa na hofu, wakamlilia Bwana. 1114:11 Kut 5:21; 16:13; 17:3; Hes 11:1; 14:22; 20:4; 21:5; Kum 9:7Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba hayakuwako makaburi huko Misri hata umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini kututoa Misri? 1214:12 Kut 5:21; 15:24; 17:2; Za 106:7-8Hatukukuambia tulipokuwa huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri? Ingekuwa vyema zaidi kwetu kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani!”

1314:13 Mwa 15:1; 1Sam 12:16; 2Nya 20:17; Isa 41:10-14Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Bwana atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena. 1414:14 Kut 15:3; Kum 1:30; 3:22; 20:4; Yos 10:14; 23:3; 2Sam 5:24; 2Nya 20:29; Neh 4:20; Za 24:8; Isa 42:13; Yer 41:12; 1Sam 12:16; Za 37:7; 46:10; 116:7; Isa 28:12; 30:15; Zek 2:13Bwana atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu.”

1514:15 Yos 7:10Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Kwa nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele. 1614:16 Kut 4:2, 17; Isa 10:26; Hes 20:8-11Inua fimbo yako na unyooshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita mahali pakavu baharini. 1714:17 Kut 4:21Nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini wakiwafuatia. Nami nitajipatia utukufu kupitia Farao pamoja na jeshi lake lote, kupitia magari yake ya vita na wapanda farasi wake. 1814:18 Kut 6:2; Eze 32:15Nao Wamisri watajua kwamba Mimi ndimi Bwana nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake.”

1914:19 Mwa 16:7; Isa 63:9; Kut 13:2; 1Kor 10:1; Isa 26:7; 42:16; 49:10; 52:10; 58:8Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma, 2014:20 Yos 24:7ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.

2114:21 Kut 7:19; 4:2; Ay 26:12; Isa 14:27; 23:11; 51:15; Yer 31:35; Mdo 7:36; Mwa 41:6; Kut 15:8; 2Sam 22:16; 1Fal 19:11; Ay 38:1; 40:6; Yer 23:19; Nah 1:3; Mwa 8:1; 2Fal 2:8; Za 74:13; 78:13; 114:5; 136:13; Isa 63:12Ndipo Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, naye Bwana akayasukuma maji ya bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji yakagawanyika, 2214:22 Hes 33:8; Yos 24:6; Isa 43:16; 63:11; 1Kor 10:1; Kut 3:12; 15:19; Kum 31:6-8; Yos 3:16; 4:22; Neh 9:11; Za 66:6; 77:19; 106:9; Isa 11:15; 41:10; 43:5; 44:27; 50:2; 51:10; 63:13; Yer 46:28; Nah 1:4; Ebr 11:29; Kut 15:8; Yos 3:13nao Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.

23Wamisri wakawafuatia ndani ya bahari, pamoja na farasi wote wa Farao, magari ya vita na wapanda farasi. 2414:24 Kut 13:21; 1Kor 10:1; Kut 23:27; Yos 10:10; 1Sam 5:9; 5:9; 7:10; 14:15; 2Sam 5:24; 2Fal 7:6; 19:7Karibia mapambazuko, Bwana akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha. 2514:25 Kum 32:31; 1Sam 2:2; 4:8; Kut 14:14Mungu akayaondoa magurudumu ya magari yao, kwa hivyo wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri wakasema, “Tuachane na Waisraeli! Bwana anawapigania dhidi ya Misri.”

Wafuatiaji Wazama

26Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya bahari ili maji yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya vita na wapanda farasi wao.” 2714:27 Yos 4:18; Kut 15:1; Kum 1:40; 11:4; Za 78:53; 106:11; 136:15; Ebr 11:29Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, wakati wa mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, lakini Bwana akawasukumia ndani ya bahari. 2814:28 Kut 15:19; Yos 24:7; Kut 15:5; Amu 4:16; Neh 9:11Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika.

2914:29 Yos 24:11; 2Fal 2:8; Za 74:15; 78:13Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto. 3014:30 1Sam 14:23; 1Nya 11:14; Za 44:7; 106:8-10; Isa 43:3; 50:2; 51:9-10; 60:16Siku ile Bwana akawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamisri, nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni mwa bahari wakiwa wamekufa. 3114:31 Kut 9:16; Za 147:5; Kut 20:18; Kum 31:13; Yos 4:24; 1Sam 12:18; Za 76:6-7; 112:1; Kut 4:5; Za 22:4; 40:3; 106:12; Yn 2:11; 11:45Basi Waisraeli walipoona uwezo mkubwa Bwana aliodhihirisha dhidi ya Wamisri, watu wakamwogopa Bwana na wakaweka tumaini lao kwake na kwa Mose mtumishi wake.