以赛亚书 52 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

以赛亚书 52:1-15

锡安必获救

1锡安啊,醒来吧,醒来吧,展示你的能力!

圣城耶路撒冷啊,

穿上你华美的衣服!

从今以后,

未受割礼和不洁净的人必不得再进城。

2耶路撒冷啊,抖掉身上的灰尘,

起来,坐到宝座上!

被掳的少女锡安啊,

卸去你颈上的锁链!

3耶和华说:“你们被卖未得分文,你们被赎回也不需分文。” 4主耶和华说:“起先我的子民到埃及寄居,后来亚述人无缘无故地欺压他们。” 5耶和华说:“如今,我这里还有什么呢?我的子民白白地被掳去,辖制他们的人咆哮大叫,我的名整天被亵渎。 6然而,我的子民终会认识我的名。到那日,他们就会知道是我对他们说的,看啊,是我。”

7那穿山越岭之人的脚踪是何等佳美!

他带来佳音,报告平安,

传递喜讯,宣扬救恩,

锡安说:“你的上帝做王了。”

8听啊,你的守望者高声呼喊,

他们在一同欢呼,

因为耶和华回到锡安的时候,

他们必亲眼看见。

9耶路撒冷的荒场啊,

你们要一同欢呼歌唱,

因为耶和华安慰了祂的子民,

救赎了耶路撒冷

10耶和华向万国施展祂的圣臂,

普天下将看见我们上帝的救恩。

11离开吧,离开吧,

离开巴比伦吧!

不要沾染不洁之物。

你们抬耶和华器具的人啊,

要从那里出来,保持洁净。

12你们不用匆忙离开,

也不用奔逃,

因为耶和华必走在你们前面,

以色列的上帝必作你们的后盾。

13看啊,我的仆人行事睿智,

必被提升,受到尊崇,升为至高。

14许多人看见祂就诧异,

祂的面容毁得不成人样,

祂的样貌伤得不成人形。

15祂必洗净许多国家,

君王必因祂而闭口无言。

因为他们将看见未曾听过的事,

明白闻所未闻的事。

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 52:1-15

152:1 Isa 51:9; Es 6:8; Ufu 21:2; Yoe 3:17; Zek 3:4; Isa 49:18; Kut 28:2, 40; Neh 1:1Amka, amka, ee Sayuni,

jivike nguvu.

Vaa mavazi yako ya fahari,

ee Yerusalemu, mji mtakatifu.

Asiyetahiriwa na aliye najisi

hataingia kwako tena.

252:2 Zek 2:7; Isa 29:4; 10:27; Za 81:9; 9:14Jikungʼute mavumbi yako,

inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu.

Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,

ee Binti Sayuni uliye mateka.

352:3 Za 44:12; Isa 45:13; 1:27; 1Pet 1:18Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:

“Mliuzwa pasipo malipo,

nanyi mtakombolewa bila fedha.”

452:4 Mwa 46:6; Isa 10:24Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

“Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri kuishi,

hatimaye, Ashuru wakawaonea.

552:5 Eze 36:20; Rum 2:24; Isa 37:23“Basi sasa nina nini hapa?” asema Bwana.

“Kwa kuwa watu wangu wamechukuliwa pasipo malipo,

nao wale wanaowatawala wanawadhihaki,”

asema Bwana.

“Mchana kutwa

jina langu limetukanwa bila kikomo.

652:6 Isa 49:23; Kut 6:3; Isa 41:26; 10:20Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;

kwa hiyo katika siku ile watajua

kwamba ndimi niliyetangulia kulisema.

Naam, ni mimi.”

752:7 2Sam 18:26; Rum 10:15; 1Kor 15:24-25; Lk 2:14; Isa 42:11; 40:9; Efe 6:15Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema

ilivyo mizuri juu ya milima,

wale wanaotangaza amani,

wanaoleta habari njema,

wanaotangaza wokovu,

wauambiao Sayuni,

“Mungu wako anatawala!”

852:8 Sef 3:9; Eze 3:17; 1Sam 14:16; Isa 56:10; Yer 6:17; Hes 10:36; Zek 8:3Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,

pamoja wanapaza sauti zao kwa furaha.

Wakati Bwana atakaporejea Sayuni,

wataliona kwa macho yao wenyewe.

952:9 Za 98:4; Isa 35:2; Za 74:3; Isa 48:20; Ezr 9:9; Lk 2:25; Isa 51:3Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,

enyi magofu ya Yerusalemu,

kwa maana Bwana amewafariji watu wake,

ameikomboa Yerusalemu.

1052:10 Lk 2:30; Za 67:2; Isa 66:18; 2Nya 32:8; Za 44:3; Isa 30:30; Yos 4:24Mkono mtakatifu wa Bwana umefunuliwa

machoni pa mataifa yote,

nayo miisho yote ya dunia itaona

wokovu wa Mungu wetu.

1152:11 Yer 50:8; 2Kor 6:17; Hes 8:6; 2Tim 2:9; Isa 1:16; 2Nya 36:10; Isa 48:20Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!

Msiguse kitu chochote kilicho najisi!

Tokeni kati yake mwe safi,

ninyi mchukuao vyombo vya Bwana.

1252:12 Kut 14:19; 12:11; Mik 2:13; Yn 10:4Lakini hamtaondoka kwa haraka,

wala hamtakwenda kwa kukimbia;

kwa maana Bwana atatangulia mbele yenu,

Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.

Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi

1352:13 Isa 53:3; Mdo 3:13; Yos 1:8; Isa 20:3; 57:15; Flp 2:9Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;

atatukuzwa, na kuinuliwa juu, na kukwezwa sana.

1452:14 Law 26:32; Ay 2:12; 16:16; 18:20; 2Sam 10:4Kama walivyokuwa wengi

walioshangazwa naye,

kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana

zaidi ya mtu yeyote

na umbo lake kuharibiwa

zaidi ya mfano wa mwanadamu:

1552:15 Ebr 9:13; Rum 15:21; Efe 3:4-5; Za 107:42; Amu 18:19; Law 14:7; 16:14-15hivyo atayashangaza mataifa mengi,

nao wafalme watafunga vinywa vyao kwa sababu yake.

Kwa kuwa yale ambayo hawakuambiwa, watayaona,

nayo yale wasiyoyasikia, watayafahamu.