Ayubu 1:12 NEN

Ayubu 1:12

1:12 Ay 2:6; 1Kor 10:13Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, kila kitu alicho nacho kiko mikononi mwako, lakini juu ya huyo mtu mwenyewe usimguse hata kwa kidole.”

Ndipo Shetani akatoka mbele za Bwana.

Read More of Ayubu 1