Zaburi 84:8-12
84:8 Za 4:1Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;
nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.
84:9 1Sam 16:6; Za 2:2; 59:11; 18:50; 132:17Ee Mungu, uitazame ngao yetu,
mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.
84:10 1Nya 23:5Siku moja katika nyua zako ni bora
kuliko siku elfu mahali pengine;
afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu
kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
84:11 Isa 60:19; Yer 43:13; Ufu 21:23; Mwa 15:1; Za 34:10Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao,
Bwana hutoa wema na heshima;
hakuna kitu chema anachowanyima
wale ambao hawana hatia.
84:12 Za 2:12Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.