Zaburi 145:8-13 NEN

Zaburi 145:8-13

145:8 Za 57:10; 86:15; 103:8; Kut 34:6; Hes 14:18; Yn 1:17; Mao 3:22Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma,

si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

145:9 1Nya 16:34; Mt 19:17; Nah 1:7; Mk 10:18; Mdo 14:17; Za 103:13, 14; 136:1; 100:5Bwana ni mwema kwa wote,

ana huruma kwa vyote alivyovifanya.

145:10 Za 8:6; 103:22; 139:14; 148:14; 19:1; 149:9; 30:4; 115:17-18Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu,

watakatifu wako watakutukuza.

Watasimulia utukufu wa ufalme wako

na kusema juu ya ukuu wako,

145:12 Za 103:19; 105:1; 75:1; Isa 2:10, 19, 21ili watu wote wajue matendo yako makuu

na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

145:13 Kut 15:18; 1Tim 1:17; 2Pet 1:11; Ufu 11:15; Kum 7:9; 1Kor 1:9; Yos 23:14Ufalme wako ni ufalme wa milele,

mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

Read More of Zaburi 145