Zaburi 134:1-3 NEN

Zaburi 134:1-3

Zaburi 134

Wito Wa Kumsifu Mungu

Wimbo wa kwenda juu.

134:1 Za 130:6; 113:1; 135:1, 2; Ufu 19:5; Lk 2:37; 1Nya 15:2; 23:30; Hes 16:9Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana,

ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.

134:2 Za 33:2; 103:1; 28:2; 1Tim 2:8Inueni mikono yenu katika pale patakatifu

na kumsifu Bwana.

134:3 Za 124:8; 20:2; 128:5; Law 25:21Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia,

awabariki kutoka Sayuni.

Read More of Zaburi 134