Zaburi 88
Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
188:1 Za 51:14; 3:4; 22:2; Lk 18:7Ee Bwana, Mungu uniokoaye,
nimelia mbele zako usiku na mchana.
2Maombi yangu yafike mbele zako,
utegee kilio changu sikio lako.
388:3 Ay 33:22; Isa 38:10; Za 6:3; 25:17; 107:18Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,
na maisha yangu yanakaribia kaburi.88:3 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
488:4 Za 31:12; 18:1Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,
niko kama mtu asiye na nguvu.
588:5 Za 31:22Nimetengwa pamoja na wafu,
kama waliochinjwa walalao kaburini,
ambao huwakumbuki tena,
ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
688:6 Za 30:1; 69:15; Mao 3:55; Yon 2:3Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,
katika vina vya giza nene.
788:7 Za 7:11; 42:7Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,
umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
888:8 Ay 3:23; 19:13; Za 31:11; Yer 32:2; 33:1Umenitenga na rafiki zangu wa karibu
na kunifanya chukizo kwao.
Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;
988:9 Za 38:10; 5:2; 143:6; Ay 11:13nuru ya macho yangu
imefifia kwa ajili ya huzuni.
Ee Bwana, ninakuita kila siku,
ninakunyooshea wewe mikono yangu.
1088:10 Za 6:5Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?
Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?
1188:11 Za 30:9Je, upendo wako hutangazwa kaburini,
uaminifu wako katika Uharibifu?88:11 Yaani Abadon.
1288:12 Ay 10:21; 31:12; Mhu 8:10Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,
au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?
1388:13 Za 30:2; 5:3; 55:17; 119:147Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;
asubuhi maombi yangu huja mbele zako.
1488:14 Za 43:2; 13:1Ee Bwana, kwa nini unanikataa
na kunificha uso wako?
1588:15 Dan 9:26; Za 9:12; 129:1; Yer 22:21; Eze 16:22; Hos 2:15; Isa 53:8; Ay 6:4; 18:11; 2Kor 4:8Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;
nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.
1688:16 Za 7:11; Ay 6:4Ghadhabu yako imepita juu yangu;
hofu zako zimeniangamiza.
1788:17 Za 124:4Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;
zimenimeza kabisa.
1888:18 Za 88:8; 38:11; Ay 19:13Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;
giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.
1Een psalm van de Korachieten voor de koordirigent. Te zingen bij ziekte en droefheid. Het leerzame gedicht werd gemaakt door de Ezrahiet Heman.
2Here,
U bent de God die mij redt.
Dag en nacht roep ik U aan
en kom ik tot U.
3Laat mijn gebed U toch bereiken,
luister toch naar mij!
4Nog meer ziekten en tegenslagen kan ik niet verdragen.
Ik heb het gevoel dat ik ga sterven.
5Men beschouwt mij als iemand die de dood nabij is,
alle kracht is uit mij geweken.
6Eigenlijk hoor ik al bij de gestorvenen,
de mensen aan wie U niet meer denkt
en die door U zijn vergeten.
7U hebt mij door de diepste diepte
en door de donkerste duisternis gevoerd.
8U hebt Zich tegen mij gekeerd
en ik kan dat niet verdragen.
Ik heb het gevoel
alsof U mij tegen de grond hebt geslagen.
9U hebt ervoor gezorgd dat mijn kennissen
mij niet meer willen zien en van mij gruwen.
Ik zie geen uitweg meer.
10Ik weet niet meer waar ik het zoeken moet.
Dag in, dag uit bid ik tot U, Here.
Mijn handen strek ik naar U uit.
11Kunt U wonderen onder de doden doen?
Kunnen de geesten van de gestorvenen U prijzen?
12Spreekt men in het graf over uw liefde en goedheid?
Blijkt uw trouw waar lichamen vergaan?
13Kan uw grote macht dan in de duisternis
worden bekendgemaakt?
Blijkt uw rechtvaardigheid dan daar
waar alles en iedereen wordt vergeten?
14Toch roep ik naar U, Here.
Ik leg alles ʼs morgens voor U neer.
15Here, waarom verwerpt U mij?
Waarom wilt U mij niet zien?
16Van jongs af aan heb ik het moeilijk
en ben ik vaak ernstig ziek.
Het is aan mij te zien hoe U mij beproeft,
ik weet mij geen raad meer.
17Uw toorn gaat als vuur over mij heen
en ik word vernietigd door wat U mij aandoet.
18Ik kan er niet aan ontkomen,
alles komt op mij af.
19U hebt ervoor gezorgd dat vrienden en kennissen
mij niet meer willen kennen,
ik hoor van niemand meer iets.