Zaburi 122 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 122:1-9

Zaburi 122

Sifa Kwa Yerusalemu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1122:1 Isa 49:10; Yer 31:6; Zek 8:21Nilishangilia pamoja na wale walioniambia,

“Twende nyumbani ya Bwana.”

2Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama

malangoni mwako.

3122:3 2Sam 5:9; Efe 2:21Yerusalemu imejengwa vyema kama mji

ambao umeshikamanishwa pamoja.

4122:4 Kum 16:16; Kut 16:34Huko ndiko makabila hukwea,

makabila ya Bwana,

kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo

waliopewa Israeli.

5Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,

viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.

6122:6 Za 26:8; Isa 62:6; Yer 51:50Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu:

“Wote wakupendao na wawe salama.

7122:7 1Sam 25:6; Za 48:3Amani na iwepo ndani ya kuta zako

na usalama ndani ya ngome zako.”

8Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki,

nitasema, “Amani iwe ndani yako.”

9122:9 Za 128:5Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu,

nitatafuta mafanikio yako.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 122:1-9

122

1エルサレムの主の宮に行こうと

誘われた時のうれしさは忘れられません。

2-3私たちは今、都の雑踏の中に立っています。

4神のおきてに従って、

イスラエル中の主の民がここに集まり、

主を礼拝し、感謝と賛美をささげるのです。

5都の門のそばでは、

裁判官が人々の論争を裁いています。

6エルサレムの平和のために祈ってください。

この都を愛する人々に繁栄がもたらされますように。

7エルサレムの城壁のうちに平和がみなぎり、

宮殿は富み栄えますように。

8この都に住む友、兄弟のために願います。

9主の宮にふさわしい平和で満たされますようにと。