Zaburi 123 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 123:1-4

Zaburi 123

Kuomba Rehema

Wimbo wa kwenda juu.

1123:1 Za 68:5; Isa 6:1; 63:15Ninayainua macho yangu kwako,

kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.

2123:2 Za 25:15Kama vile macho ya watumwa

yatazamavyo mkono wa bwana wao,

kama vile macho ya mtumishi wa kike

yatazamavyo mkono wa bibi yake,

ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu,

mpaka atakapotuhurumia.

3Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu,

kwa maana tumevumilia dharau nyingi.

4Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi,

dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 123:1-4

123

1私は天の王座におられる神を見上げます。

2いつ主があわれんでくださるかと見つめています。

ちょうど、召使が主人の様子をうかがい、

何げない表情にさえ気を配るのと同じように。

3-4主よ、お願いですから、あわれんでください。

私たちはさんざん、金持ちや高慢な者たちに

さげすまれ、あざけられてきたのです。