Zaburi 121 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 121:1-8

Zaburi 121

Bwana Mlinzi Wetu

Wimbo wa kwenda juu.

1Nayainua macho yangu nitazame vilima,

msaada wangu utatoka wapi?

2121:2 Mwa 1:1; Za 104:5Msaada wangu hutoka kwa Bwana,

Muumba wa mbingu na dunia.

3121:3 1Sam 2:9; Isa 27:3Hatauacha mguu wako uteleze,

yeye akulindaye hatasinzia,

4121:4 Za 127:1hakika, yeye alindaye Israeli

hatasinzia wala hatalala usingizi.

5121:5 Za 1:6Bwana anakulinda,

Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,

6121:6 Isa 49:10jua halitakudhuru mchana,

wala mwezi wakati wa usiku.

7121:7 Za 9:9, 10; 91:9, 10; Ay 5:19; Mit 12:21Bwana atakukinga na madhara yote,

atayalinda maisha yako,

8121:8 Kum 28:6; Mit 2:8Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka,

tangu sasa na hata milele.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 121:1-8

121

1私は山の神々に助けを仰ぐべきなのでしょうか。

2いいえ、真の助けは、

山々を造られた主から来るのです。

主は、天をもお造りになりました。

3-4このお方は、私が決してつまずいたり、

足をすべらせたり、倒れたりしないように

守ってくださいます。

また、眠り込んだりもなさいません。

いつも大きく目を見開いて、

見守っていてくださいます。

5主は自ら、あなたのために配慮してくださるのです。

危険からも守ってくださいます。

6昼も夜も注意深く、

7あらゆる害悪を寄せつけず、

あなたいのちを守られます。

8主はあなたが出て行くのも帰って来るのも見守り、

いつもあなたを守ってくださいます。