Marafiki
16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,
ewe mzuri kupita wanawake wote?
Mpenzi wako amegeukia njia ipi,
tupate kumtafuta pamoja nawe?
Mpendwa
26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
kwenye vitalu vya vikolezo,
kujilisha bustanini
na kukusanya yungiyungi.
36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,
na mpenzi wangu ni wangu;
yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
Shairi La Tano
Mpenzi
46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
upendezaye kama Yerusalemu,
umetukuka kama jeshi lenye bendera.
5Uyageuze macho yako mbali nami,
yananigharikisha.
Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
wanaoteremka kutoka Gileadi.
6Meno yako ni kama kundi la kondoo
watokao kuogeshwa.
Kila mmoja ana pacha lake,
hakuna hata mmoja aliye peke yake.
76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako
ni kama vipande viwili vya komamanga.
86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,
masuria themanini
na mabikira wasiohesabika;
96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
ni wa namna ya pekee,
binti pekee kwa mama yake,
kipenzi cha yeye aliyemzaa.
Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;
malkia na masuria walimsifu.
Marafiki
10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,
ametukuka kama nyota zifuatanazo?
Mpenzi
116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
ili kutazama machipuko ya bondeni,
kuona kama mizabibu imechipua
au kama mikomamanga imechanua maua.
12Kabla sijangʼamua,
shauku yangu iliniweka
katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.
Marafiki
136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;
rudi, rudi ili tupate kukutazama!
Mpenzi
Kwa nini kumtazama Mshulami,
kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.
Jerusalems unge piger:
1„Du smukkeste blandt kvinder, sig os,
hvor din elskede er gået hen,
så vi kan hjælpe dig med at finde ham!”
Den unge pige:
2„Min elskede er gået ned i sin have til bedene med krydderurter.
Der græsser han sin flok og plukker liljer.
3Min elskede er min, og jeg er hans.
Han græsser sin flok mellem liljerne.”
Femte sang: De nygiftes glæde over hinanden
Den unge mand:
4„Min elskede, du er yndig som kongebyen Tirtza,
bedårende som Jerusalem,
ærefrygtindgydende som en række bannere.6,4 Eller „som en marcherende hær.”
5Se ikke så direkte på mig,
for dine øjnes skønhed overvælder mig.
Dit hår bølger nedad som en flok sorte geder
på en bakkeskråning i Gilead.
6Dine tænder er hvide som en nyvasket fåreflok;
hver har sin tvilling, ingen står alene.
7Dine kinder bag sløret er røde
som to halve granatæbler.
8Om jeg så havde tres dronninger og firs medhustruer
foruden utallige tjenestepiger,
9ville du overgå dem alle i skønhed, min due—
du er fuldkommen!
Du er din mors eneste datter,
du er hendes yndling,
og hun har kun godt at sige om dig.
Byens piger priser din skønhed, når de ser dig,
dronninger og medhustruer lovpriser din charme og ynde.
10‚Hvem er skøn som morgenrøden,’ spørger de,
‚smuk som månen, strålende som solen,
og ærefrygtindgydende som en række bannere?’6,10 Eller „en hær under banner”.
11Jeg gik ned gennem nøddehegnet for at finde blomster i dalen,
for at se, om der var nye skud på vinrankerne
og blomsterknopper på granatæbletræerne.
12Jeg var ude af mig selv af kærlighed.
Giv mig dér din dejlige ‚myrra’, du fyrstedatter.”6,12 Teksten er uklar. Jf. 7,11-13.