Mithali 4 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 4:1-27

Hekima Ni Bora Kupita Vitu Vyote

14:1 Mit 1:8; 19:20; Ay 8:10Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu;

sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.

2Ninawapa mafundisho ya maana,

kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.

34:3 1Nya 29:1; 2Sam 12:24Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,

ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,

44:4 Mit 7:2; 1Nya 28:9baba alinifundisha akisema,

“Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote;

yashike maagizo yangu na wewe utaishi.

54:5 Mit 3:13-18; 16:16Pata hekima, pata ufahamu;

usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.

64:6 2The 2:10; Mit 2:11Usimwache hekima naye atakuweka salama;

mpende, naye atakulinda.

74:7 Mt 13:44-46; Mit 23:23Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima.

Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.

84:8 1Sam 2:30; Mit 3:18Mstahi, naye atakukweza;

mkumbatie, naye atakuheshimu.

94:9 Mit 1:8-9Atakuvika shada la neema kichwani mwako

na kukupa taji ya utukufu.”

104:10 Kum 11:21; Mit 3:2Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia,

nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.

114:11 1Sam 12:23; 2Sam 22:37; Za 5:8Ninakuongoza katika njia ya hekima

na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.

124:12 Ay 18:7; Yer 13:16; Za 18:36Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa;

ukimbiapo, hutajikwaa.

134:13 Mit 3:22Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;

mshike, maana yeye ni uzima wako.

144:14 Za 1:1; Mit 1:15Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu

wala usitembee katika njia ya watu wabaya.

15Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo;

achana nayo, na uelekee njia yako.

164:16 Za 36:4; Mik 7:3Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu;

wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.

174:17 Mwa 49:5; Za 73:6; Mit 1:10-19; Isa 59:6; Yer 22:3; Hab 1:2; Mal 2:16Wanakula mkate wa uovu,

na kunywa mvinyo wa jeuri.

184:18 Mt 5:14; Ay 17:9; Isa 26:7; Dan 12:3; Yn 8:12Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,

ambayo hungʼaa zaidi na zaidi mpaka mchana mkamilifu.

194:19 Ay 18:5; Yn 12:35Lakini njia ya waovu ni kama giza nene;

hawajui kinachowafanya wajikwae.

204:20 Za 34:11-16; Mit 1:8-9; 5:1Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia;

sikiliza kwa makini maneno yangu.

214:21 Mit 3:21Usiruhusu yaondoke machoni pako,

yahifadhi ndani ya moyo wako;

224:22 Mit 3:8kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata

na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

234:23 Mit 10:11; Mt 12:34Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo,

maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.

24Epusha kinywa chako na ukaidi;

weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.

254:25 Ay 31:1Macho yako na yatazame mbele,

kaza macho yako moja kwa moja mbele yako.

264:26 Ebr 12:13Sawazisha mapito ya miguu yako

na njia zako zote ziwe zimethibitika.

274:27 Law 10:11; Kum 28:14Usigeuke kulia wala kushoto;

epusha mguu wako na ubaya.

Korean Living Bible

잠언 4:1-27

지혜의 유익

1내 아들들아, 너희 아버지가 가르치는 말을 잘 들어라. 유의해서 들으면 깨달 음을 얻을 것이다.

2내가 너희에게 건전한 것을 가르친다. 너희는 나의 교훈을 저버리지 말아라.

3나도 한때는 외아들로서 부모의 사랑을 받던 어린 시절이 있었다.

4그때 나의 아버지는 이런 말씀으로 나를 교훈하셨다. “내가 하는 말을 기억하고 잊지 말아라. 내 명령을 지켜라. 그러면 네가 살 것이다.

5지혜와 깨달음을 얻어라. 내 말을 잊어버리거나 무시하지 말아라.

6지혜를 버리지 말아라. 지혜가 너를 보호할 것이다. 지혜를 사랑하라. 지혜가 너를 지킬 것이다.

7지혜는 가장 소중한 것이다. 지혜를 얻어라. 그 어떤 것을 희생하고서라도 깨달음을 얻어라.

8지혜를 찬양하라. 지혜가 너를 높일 것이다. 지혜를 고이 간직하라. 지혜가 너를 영화롭게 할 것이다.

9지혜가 우아한 화관을 네 머리에 씌우고 영광스러운 면류관을 너에게 줄 것이다.”

10내 아들아, 내 말을 듣고 받아들여라. 그러면 네가 장수할 것이다.

11내가 너에게 지혜와 옳은 길을 가르쳤으니

12네가 걸어갈 때 네 걸음이 방해를 받지 않을 것이며 네가 달려갈 때에도 걸려 넘어지지 않을 것이다.

13내 교훈을 잊지 말고 굳게 지켜라. 이것은 너의 생명과도 같은 것이다.

14너는 악인들이 가는 곳에 가지 말고 그들의 행동을 본받지 말아라.

15너는 악한 길을 피하고 그들의 길로 가지 말며 돌아서라.

16악인들은 나쁜 짓을 하지 않으면 4:16 원문에는 ‘자지 못하며’직성이 풀리지 않으며 남을 해치지 않으면 잠이 오지 않는다.

17그들은 악의 빵을 먹고 폭력의 술을 마신다.

18의로운 자의 길은 점점 밝아져서 완전히 빛나는 아침 햇빛 같으며

19악인의 길은 캄캄한 어두움과 같아서 그들이 넘어져도 무엇에 걸려 넘어졌는지조차 알지 못한다.

20내 아들아, 내가 하는 말에 귀를 기울이고 주의 깊게 들어라.

21그것을 네게서 떠나지 말게 하고 네 마음에 깊이 간직하라.

22내 말은 깨닫는 자에게 생명이 되고 온 몸에 건강이 된다.

23그 무엇보다도 네 마음을 지켜라. 여기서부터 생명의 샘이 흘러나온다.

24더럽고 추한 말을 버려라. 거짓되고 잘못된 말은 입 밖에도 내지 말아라.

25너는 앞만 바라보고 시선을 다른 곳으로 돌리지 말며

26네 걸음을 조심하고 4:26 또는 ‘네 모든 길을 든든히 하라’무엇을 하든지 확실하게 하라.

27너는 곁길로 벗어나지 말고 네 발을 악에서 떠나게 하라.