Mema Ya Muda Mfupi Na Yale Ya Kudumu
113:1 1Sam 2:25; Mit 10:1; 12:1; 15:5Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye,
bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
213:2 Mit 12:14Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema,
bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.
313:3 Za 12:2; Yak 3:2; Mit 10:6; Ay 1:22Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake,
bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.
413:4 Mit 21:25-26Mvivu hutamani sana na hapati kitu,
bali nafsi ya mwenye bidii
hutoshelezwa kikamilifu.
513:5 Kol 3:9; Rum 12:9Mwenye haki huchukia uongo,
bali waovu huleta aibu na fedheha.
613:6 Mit 11:3-5; Yer 44:5Haki humlinda mtu mwadilifu,
bali uovu humwangusha mwenye dhambi.
713:7 2Kor 6:10Mtu mmoja hujifanya tajiri, kumbe hana chochote;
mwingine hujifanya maskini, kumbe ana utajiri mwingi.
813:8 Mit 15:16Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake,
bali mtu maskini hasikii kitisho.
913:9 Ay 18:5; Mit 4:18-19Nuru ya mwenye haki hungʼaa sana,
bali taa ya mwovu itazimwa.
1013:10 Amu 19:30; Mit 9:9Kiburi huzalisha magomvi tu,
bali hekima hupatikana kwa wale wanaozingatia ushauri.
1113:11 Mit 10:2; 9:9; 20:21Fedha isiyo ya halali hupungua,
bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo huongezeka.
1213:12 Mit 10:11Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,
bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
1313:13 Hes 15:31; Kut 9:20; Mit 16:20; 2Nya 36:16Yeye anayedharau mafundisho anajiletea maangamizi,
bali yeye anayeheshimu agizo hupewa tuzo.
1413:14 Mit 10:11; 14:27Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,
ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
15Ufahamu mzuri hupata upendeleo,
bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.
1613:16 Es 5:11; Mit 12:23Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa,
bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.
1713:17 Mit 10:26; 25:13Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,
bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
1813:18 Mit 15:31-32; Za 141:5Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu,
bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
1913:19 Mit 10:11Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi,
bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.
2013:20 2Nya 10:8Yeye atembeaye na mwenye hekima atapata hekima,
bali rafiki wa mpumbavu hupata madhara.
2113:21 Za 32:10; Mit 19:17; 11:12Balaa humwandama mtenda dhambi,
bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.
2213:22 Es 8:2; Mhu 2:26Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi,
bali mali ya wenye dhambi imehifadhiwa
kwa ajili ya wenye haki.
2313:23 Mit 12:11Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi,
bali dhuluma hukifutilia mbali.
2413:24 Mit 29:15-17; Efe 6:4Yeye aizuiaye fimbo yake hampendi mwanawe,
bali yeye ampendaye
huwa mwangalifu kumwadibisha.
2513:25 Za 34:10; Mit 10:3Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo wake,
bali tumbo la mwovu hutaabika kwa njaa.
1智慧儿听从父训,
嘲讽者不听责备。
2口出良言尝善果,
奸徒贪行残暴事13:2 “奸徒贪行残暴事”或译“奸徒必饱受虐待”。。
3说话谨慎,可保性命;
口无遮拦,自取灭亡。
4懒惰人空有幻想,
勤快人心想事成。
5义人憎恶虚谎,
恶人行事可耻。
6公义守卫正直的人,
邪恶倾覆犯罪之徒。
7有人强充富有,
其实身无分文;
有人假装贫穷,
却是腰缠万贯。
8富人用财富赎命,
穷人却免受惊吓。
9义人的光灿烂,
恶人的灯熄灭。
10自高自大招惹纷争,
虚心受教才是睿智。
11不义之财必耗尽,
勤俭积蓄财富增。
12盼望无期,使人忧伤;
夙愿得偿,带来生机13:12 “带来生机”希伯来文是“使人像棵生命树”。。
13蔑视训言,自招灭亡;
敬畏诫命,必得赏赐。
14智者的训言是生命之泉,
可使人避开死亡的网罗。
15睿智使人蒙恩惠,
奸徒之路通灭亡。
16明哲知而后行,
愚人炫耀愚昧。
17奸恶的使者陷入灾祸,
忠诚的使者带来医治。
18不受管教的贫穷羞愧,
接受责备的受到尊崇。
19愿望实现使心甘甜,
远离恶事为愚人憎恶。
20与智者同行必得智慧,
与愚人结伴必受亏损。
21祸患追赶罪人,
义人必得善报。
22善人为子孙留下产业,
罪人给义人积聚财富。
23穷人的田地出产丰富,
因不公而被抢掠一空。
24不用杖管教儿女是憎恶他们,
疼爱儿女的随时管教他们。
25义人丰衣足食,
恶人食不果腹。