Israeli Asiye Na Toba
16:1 Ay 16:9; Kum 32:39; Mao 3:11; Ay 5:18; Isa 10:20; 19:22; Hes 12:13; Yer 3:22; 30:17; Hos 14:4“Njooni, tumrudie Bwana.
Ameturarua vipande vipande
lakini atatuponya;
ametujeruhi lakini
atatufunga majeraha yetu.
26:2 Mit 2:1-9; Za 80:18; 30:5; Mt 16:21Baada ya siku mbili atatufufua;
katika siku ya tatu atatuinua,
ili tuweze kuishi mbele zake.
36:3 Ay 4:3; 29:23; Yoe 2:23; Hos 12:6; Za 72:6; Hos 11:10Tumkubali Bwana,
tukaze kumkubali yeye.
Kutokea kwake ni hakika kama vile
kuchomoza kwa jua;
atatujia kama mvua za masika,
kama vile mvua za vuli
ziinyweshavyo nchi.”
46:4 Hos 11:8; 7:1; 13:3“Nifanye nini nawe, Efraimu?
Nifanye nini nawe, Yuda?
Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,
kama umande wa alfajiri utowekao.
56:5 Yer 5:14; 23:29; Ebr 4:12; Yer 1:9-10Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande
kwa kutumia manabii wangu;
nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,
hukumu zangu zinawaka
kama umeme juu yenu.
66:6 1Sam 15:22; Mk 12:33; Yer 4:22; Hos 2:20; Mit 21:3; Mt 12:7; Za 40:6Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,
kumkubali Mungu zaidi
kuliko sadaka za kuteketezwa.
76:7 Mwa 9:11; Yer 11:10; Hos 5:7; 8:1Wamevunja Agano kama Adamu:
huko hawakuwa waaminifu kwangu.
86:8 Hos 12:11Gileadi ni mji wenye watu waovu,
umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
96:9 Yer 5:30-31; Eze 22:9; Za 10:8; Hos 4:2; Yer 7:9-10Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,
ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;
wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,
wakifanya uhalifu wa aibu.
106:10 Yer 5:31; Eze 23:7; Yer 23:14; Hos 5:3Nimeona jambo la kutisha
katika nyumba ya Israeli.
Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba
na Israeli amenajisika.
116:11 Yoe 3:12-13; Yer 51:33“Pia kwa ajili yako, Yuda,
mavuno yameamriwa.
“Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
Israel Unrepentant
1“Come, let us return to the Lord.
He has torn us to pieces
but he will heal us;
he has injured us
but he will bind up our wounds.
2After two days he will revive us;
on the third day he will restore us,
that we may live in his presence.
3Let us acknowledge the Lord;
let us press on to acknowledge him.
As surely as the sun rises,
he will appear;
he will come to us like the winter rains,
like the spring rains that water the earth.”
4“What can I do with you, Ephraim?
What can I do with you, Judah?
Your love is like the morning mist,
like the early dew that disappears.
5Therefore I cut you in pieces with my prophets,
I killed you with the words of my mouth—
then my judgments go forth like the sun.6:5 The meaning of the Hebrew for this line is uncertain.
6For I desire mercy, not sacrifice,
and acknowledgment of God rather than burnt offerings.
7As at Adam,6:7 Or Like Adam; or Like human beings they have broken the covenant;
they were unfaithful to me there.
8Gilead is a city of evildoers,
stained with footprints of blood.
9As marauders lie in ambush for a victim,
so do bands of priests;
they murder on the road to Shechem,
carrying out their wicked schemes.
10I have seen a horrible thing in Israel:
There Ephraim is given to prostitution,
Israel is defiled.
11“Also for you, Judah,
a harvest is appointed.
“Whenever I would restore the fortunes of my people,