Habakuki 2 – NEN & NASV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Habakuki 2:1-20

12:1 Isa 21:8; Za 48:13; 85:8; Eze 3:17; Za 73:16, 17; 5:3Nitasimama katika zamu yangu,

na kujiweka mwenyewe juu ya maboma;

nitatazama nione atakaloniambia,

na ni jibu gani nitakalotoa kuhusu lalamiko hili.

Jibu La Bwana

22:2 Isa 8:1; 30:8; Kum 27:8; Rum 4:24; 15:4; Yer 36:2; Eze 24:2; Ufu 1:19Kisha Bwana akajibu:

“Andika ufunuo huu,

na ukaufanye wazi juu ya vibao,

ili mpiga mbiu akimbie nao.

32:3 Dan 10:14; 11:27; 8:17; Za 27:14; Eze 12:25Kwa kuwa ufunuo huu unasubiri wakati uliokubalika;

unazungumzia mambo ya mwisho,

na kamwe hautakosea.

Iwapo utakawia, wewe usubiri;

kwa hakika utakuja na hautachelewa.

42:4 Eze 18:9; Yn 3:36; 2Kor 5:7; Rum 1:17; Gal 3:11; Ebr 10:37-38“Tazama, amejaa majivuno;

anavyovitamani si vya unyofu:

lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake:

52:5 Mit 20:1; Isa 2:11; Mit 27:20; 30:15-16; Hab 1:9hakika mvinyo humsaliti;

ni mwenye kiburi na hana amani.

Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu

na kama kifo kamwe hatosheki;

anajikusanyia mataifa yote

na kuchukua watu wote mateka.

62:6 Isa 14:4; Amo 2:8“Je, watu wote hawatamsuta kwa dhihaka na kumbeza, wakisema,

“ ‘Ole wake yeye akusanyaye bidhaa zilizoibwa

na kujifanyia utajiri kwa kutoza kwa nguvu!

Ataendelea hivi kwa muda gani?’

72:7 Mit 29:1Je, wadai wako hawatainuka ghafula?

Je, hawataamka na kukufanya utetemeke?

Kisha utakuwa mhanga kwao.

82:8 Zek 1:122:8 Isa 33:1; Yer 50:17-18; Oba 1:15; Zek 2:8-9; Eze 39:10Kwa kuwa umeteka nyara mataifa mengi,

watu waliobaki watakuteka nyara wewe.

Kwa kuwa umemwaga damu ya mtu;

umeharibu nchi na miji, na kila mmoja ndani yake.

92:9 Yer 22:13; 51:13; Ay 39:27; Isa 10:14“Ole wake yeye ajengaye milki yake kwa mapato ya udhalimu,

awekaye kiota chake juu,

ili kukimbia makucha ya uharibifu!

102:10 Yer 26:19; Nah 3:6Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi,

ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako.

112:11 Yos 24:27; Zek 5:4; Lk 19:40Mawe ya kuta yatapiga kelele,

na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.

122:12 Eze 22:2; Mik 3:10“Ole wake yeye ajengaye mji kwa kumwaga

damu na kuusimamisha mji kwa uhalifu!

132:13 Isa 50:11; 47:13Je, Bwana Mwenye Nguvu Zote hakuonyesha

kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto,

na kwamba mataifa

yanajichosha bure?

142:14 Kut 16:7; Hes 14:21; Isa 11:9Kwa kuwa dunia itajazwa na maarifa ya utukufu wa Bwana,

kama maji yaifunikavyo bahari.

152:15 Mit 23:20“Ole wake yeye awapaye jirani zake kileo,

akiimimina kutoka kwenye kiriba

cha mvinyo mpaka wamelewa,

ili apate kutazama miili yao iliyo uchi.

162:16 Eze 23:32-34; Hos 4:7; Law 10:9; Mao 4:21; Za 16:5; Isa 51:22Utajazwa na aibu badala ya utukufu.

Sasa ni zamu yako! Kunywa na ujifunue!

Kikombe kutoka kwenye mkono wa kuume wa Bwana kinakujia,

na aibu itafunika utukufu wako.

172:17 Yer 50:33; 51:35; 50:15Ukatili ulioifanyia Lebanoni utakufunika,

na uharibifu uliowafanyia wanyama utakutisha.

Kwa sababu umemwaga damu ya mtu;

umeharibu nchi na miji na kila mmoja aliyeko ndani yake.

182:18 1Sam 12:21; Amu 10:14; Isa 40:19; Yer 5:21; 14:22; 10:14; 1Kor 12:2“Sanamu ina thamani gani,

kwani mwanadamu ndiye alichonga?

Ama kinyago kinachofundisha uongo?

Kwa kuwa yeye aliyekitengeneza

hutegemea kazi ya mikono yake mwenyewe;

hutengeneza sanamu zisizoweza kuzungumza.

192:19 1Fal 18:27; Yer 10:4; Hos 4:12; Dan 5:4, 23Ole wake yeye auambiaye mti, ‘Uwe hai!’

Ama asemaye na jiwe lisilo na uhai, ‘Amka!’

Je, linaweza kuongoza?

Limefunikwa kwa dhahabu na fedha;

hakuna pumzi ndani yake.

202:20 Za 11:4; Isa 41:1Lakini Bwana yuko katika Hekalu lake takatifu;

dunia yote na inyamaze mbele yake.”

New Amharic Standard Version

ዕንባቆም 2:1-20

1በመጠበቂያዬ ላይ እቆማለሁ፤

በምሽጉ ቅጥር ላይ ወጥቼ እቈያለሁ፤

ምን እንደሚለኝ፣

ለክርክሩም2፥1 ወይም በተገሠጽሁ ጊዜ የምሰጠውን ምላሽ የምሰጠውን መልስ ለማወቅ እጠባበቃለሁ።

የእግዚአብሔር መልስ

2እግዚአብሔርም እንዲህ ሲል መለሰ፤

“በቀላሉ እንዲነበብ፣

ራእዩን ጻፈው፤

በሰሌዳም ላይ ቅረጸው።

3ራእዩ የተወሰነለትን ጊዜ ይጠብቃልና፤

ስለ መጨረሻውም ይናገራል፤

እርሱም አይዋሽም፤

የሚዘገይ ቢመስልም ጠብቀው፤

በርግጥ ይመጣል2፥3 የሚመጣ ሰው እንዳለ የሚያመለክቱ አሉ።፤ ከቶም አይዘገይም።

4“እነሆ፤ እርሱ ታብዮአል፤

ምኞቱ ቀና አይደለም፤

ጻድቅ ግን በእምነት2፥4 በታማኝነቱ የሚሉ አሉ። ይኖራል።

5በርግጥ የወይን ጠጅ አታልሎታል፤

ትዕቢተኛ ነው፤ ከቶ አያርፍም፤

እንደ ሲኦል2፥5 መቃብር የሚሉ አሉ። ስስታም ነው፣

እንደ ሞት ከቶ አይጠግብም፤

ሕዝቦችን ለራሱ ይሰበስባል፤

ሰዎችንም ሁሉ ማርኮ ይወስዳል።

6“ታዲያ በእንደዚህ ዐይነቱ ሰው ላይ በማፌዝና በመዘበት እንዲህ እያሉ ሁሉም አይሣለቁበትምን?

“ ‘የተሰረቀውን ሸቀጥ ለራሱ ለሚያከማች፣

ራሱን በዐመፅ ባለጠጋ ለሚያደርግ ወዮለት!

ይህ የሚቀጥለውስ እስከ መቼ ነው?’

7ባለ ዕዳ ያደረግሃቸው ድንገት አይነሡብህምን?

ነቅተውስ አያስደነግጡህምን?

በእጃቸውም ትወድቃለህ።

8አንተ ብዙ ሕዝብ ስለ ዘረፍህ፣

የተረፉት ሕዝቦች ይዘርፉሃል፤

የሰው ደም አፍስሰሃልና፤

አገሮችንና ከተሞችን፣ በውስጣቸው የሚኖሩትን ሁሉ አጥፍተሃል።

9“በተጭበረበረ ትርፍ መኖሪያውን ለሚገነባ፣

ከጠላት እጅ ለማምለጥ፣

ቤቱን በከፍታ ላይ ለሚሠራ ወዮለት!

10የብዙ ሰዎች ነፍስ እንዲጠፋ አሢረሃል፤

በገዛ ቤትህ ላይ ውርደትን፣ በራስህም ላይ ጥፋትን አምጥተሃል።

11ድንጋይ ከቅጥሩ ውስጥ ይጮኻል፤

ከዕንጨት የተሠሩ ተሸካሚዎችም ይመልሱለታል።

12“ከተማን ደም በማፍሰስ ለሚሠራ፣

በወንጀልም ለሚመሠርታት ወዮለት።

13ሰዎች፣ ለእሳት ማገዶ እንዲሆን እንዲለፉ፣

ሕዝቦችም በከንቱ እንዲደክሙ፣

እግዚአብሔር ጸባኦት ወስኖ የለምን?

14ውሃ ባሕርን እንደሚሸፍን ሁሉ፣

ምድርም የእግዚአብሔርን ክብር በማወቅ ትሞላለችና።

15“ኀፍረተ ሥጋቸውን ለማየት፣

ባልንጀሮቹን ለሚያጠጣ፣

እስኪሰክሩም ድረስ ወይን ለሚቀዳላቸው ወዮለት!

16በክብር ፈንታ ዕፍረት ትሞላለህ፤

አሁን ደግሞ ተራው የአንተ ነውና፤ ጠጣ፤ ኀፍረተ ሥጋህም ይገለጥ፤

በእግዚአብሔር ቀኝ እጅ ያለው ጽዋ ይመለስብሃል፤

ክብርህንም ውርደት ይሸፍነዋል።

17በሊባኖስ ላይ የሠራኸው ግፍ ያጥለቀልቅሃል፤

እንስሳቱን ማጥፋትህም ያስደነግጥሃል፤

የሰው ደም አፍስሰሃልና፤

አገሮችንና ከተሞችን በውስጣቸው የሚኖሩትንም ሁሉ አጥፍተሃልና።

18“የሰው እጅ የቀረጸው ጣዖት፣

ሐሰትንም የሚናገር ምስል ምን ፋይዳ አለው?

ሠሪው በገዛ እጁ ሥራ ይታመናልና፣

መናገር የማይችሉ ጣዖታትን ይሠራልና።

19ዕንጨቱን፣ ‘ንቃ!’

ሕይወት የሌለውንም ድንጋይ፣ ‘ተነሣ!’ ለሚል ወዮለት፤

በውኑ ማስተማር ይችላልን?

እነሆ፤ በወርቅና በብር ተለብጧል፤

እስትንፋስም የለውም።”

20እግዚአብሔር ግን በተቀደሰ መቅደሱ አለ፣

ምድር ሁሉ በፊቱ ጸጥ ትበል።