Habakuki 1 – NEN & NASV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Habakuki 1:1-17

11:1 Nah 1:1Neno alilopokea nabii Habakuki.

Lalamiko La Habakuki

21:2 Za 13:1-2; 22:1-2; 6:3; 27:7; Yer 14:9Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada,

lakini wewe husikilizi?

Au kukulilia, “Udhalimu!”

Lakini hutaki kuokoa?

31:3 Ay 9:23; Yer 20:8; Za 55:9Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma?

Kwa nini unavumilia makosa?

Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu;

kuna mabishano na mapambano kwa wingi.

41:4 Ay 12:6; Za 12:8; 58:2Kwa hiyo sheria imepotoshwa,

nayo haki haipo kabisa.

Waovu wanawazunguka wenye haki,

kwa hiyo haki imepotoshwa.

Jibu La Bwana

5“Yatazame mataifa,

uangalie na ushangae kabisa.

Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu

ambacho hungeamini,

hata kama ungeambiwa.

6Nitawainua Wakaldayo,

watu hao wakatili na wenye haraka,

ambao hupita dunia yote

kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.

7Ni watu wanoogopwa na wanaotisha;

wenyewe ndio sheria yao,

na huinua heshima yao wenyewe.

8Farasi wao ni wepesi kuliko chui,

na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo.

Askari wapanda farasi wao huenda mbio;

waendesha farasi wao wanatoka mbali.

Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;

91:9 Hab 2:5wote wanakuja tayari kwa fujo.

Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele

kama upepo wa jangwani,

na kukusanya wafungwa

kama mchanga.

101:10 2Nya 36:6; Yer 33:4Wanawabeza wafalme,

na kuwadhihaki watawala.

Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma;

wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.

111:11 Yer 4:11-12; Dan 4:30Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele:

watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”

Lalamiko La Pili La Habakuki

121:12 Mwa 21:33; Isa 31:1; 37:23; Kut 33:22; Isa 10:6; Mwa 49:24; Za 118:17Ee Bwana, je, wewe sio wa tangu milele?

Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa.

Ee Bwana, umewachagua wao ili watekeleze hukumu;

Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.

131:13 Za 18:26; Mao 3:34-36; Za 25:3; Ay 21:7Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu,

wala huwezi kuvumilia makosa.

Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu?

Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu

wanawameza wale wenye haki

kuliko wao wenyewe?

14Umewafanya watu kama samaki baharini,

kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

151:15 Yer 5:26; Isa 19:8; Ay 18:8; Yer 16:16Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana,

anawakamata katika wavu wake,

anawakusanya katika juya lake;

kwa hiyo anashangilia na anafurahi.

161:16 Yer 44:8Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake,

na kuchoma uvumba kwa juya lake,

kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe,

na anafurahia chakula kizuri.

171:17 Isa 14:6; 19:8Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake,

akiangamiza mataifa bila huruma?

New Amharic Standard Version

ዕንባቆም 1:1-17

1ነቢዩ ዕንባቆም የተቀበለው ንግር፤

የዕንባቆም ማጕረምረም

2እግዚአብሔር ሆይ፤ ለርዳታ እየተጣራሁ፣

አንተ የማትሰማው እስከ መቼ ነው?

“ግፍ በዛ” ብዬ እየጮኽሁ፣

አንተ የማታድነው እስከ መቼ ነው?

3ስለ ምን በደልን እንዳይ አደረግኸኝ?

እንዴትስ ግፍ ሲፈጸም ትታገሣለህ?

ጥፋትና ግፍ በፊቴ አለ፤

ጠብና ግጭት በዝቷል።

4ስለዚህ ሕግ ላልቷል፤

ፍትሕ ድል አይነሣም፤

ፍትሕ ይጣመም ዘንድ፣

ክፉዎች ጻድቃንን ይከብባሉ።

የእግዚአብሔር መልስ

5“ቢነገራችሁም እንኳ፣

የማታምኑትን እናንተን፣

በዘመናችሁ አንድ ነገር ስለማደርግ፣

እነሆ፤ ሕዝቡን እዩ፤ ተመልከቱም፤

እጅግም ተደነቁ።

6የራሳቸው ያልሆኑትን መኖሪያ ስፍራዎች ለመያዝ፣

ምድርን ሁሉ የሚወርሩትን፣

ጨካኝና ፈጣን የሆኑትን፣

ባቢሎናውያንን1፥6 ከለዳውያን ማለት ነው። አስነሣለሁ።

7እነርሱም የሚያስፈሩና የሚያስደነግጡ ናቸው፤

ፍርዳቸውና ክብራቸው፣

ከራሳቸው ይወጣል።

8ፈረሶቻቸው ከነብር ይልቅ ፈጣኖች፣

ከማታም ተኵላ ይልቅ ጨካኞች ናቸው።

ፈረሰኞቻቸው በፍጥነት ይጋልባሉ፤

ከሩቅ ስፍራም ይመጣሉ።

ነጥቆ ለመብላት እንደሚቸኵል አሞራ ይበርራሉ፤

9ሁሉም ለዐመፅ ታጥቀው ይመጣሉ።

ሰራዊታቸው1፥9 የዕብራይስጡ ቃል ትርጕም በትክክል አይታወቅም። እንደ ምድረ በዳ ነፋስ ወደ ፊት ይገሠግሣል፤

ምርኮኞችንም እንደ አሸዋ ይሰበስባል።

10ነገሥታትን ይንቃል፤

በገዦችም ላይ ያፌዛል፤

በምሽግ ሁሉ ላይ ይሥቃል፤

የዐፈር ቍልል ሠርቶም ይይዘዋል።

11ከዚያም በኋላ እንደ ነፋስ ዐልፎ ይሄዳል፤

ጕልበታቸውን አምላካቸው ያደረጉ በደለኞች ናቸው።”

የዕንባቆም ዳግመኛ ማጕረምረም

12እግዚአብሔር ሆይ፤ ከዘላለም ጀምሮ ያለህ አይደለህምን?

የእኔ አምላክ፣ የእኔ ቅዱስ እኛ አንሞትም፤

እግዚአብሔር ሆይ፤ እንዲፈርዱ ሾመሃቸዋል፤

ዐለት ሆይ፤ ይቀጡ ዘንድ ሥልጣን ሰጠሃቸው።

13ዐይኖችህ ክፉውን እንዳያዩ እጅግ ንጹሓን ናቸው፤

አንተ በደልን መታገሥ አትችልም፤

ታዲያ፣ አታላዮችን ለምን ትታገሣለህ?

ክፉው ከራሱ ይልቅ ጻድቅ የሆነውን ሲውጠውስ፣

ለምን ዝም ትላለህ?

14አንተ ሰዎችን በባሕር ውስጥ እንዳለ ዓሣ፣

ገዥ እንደሌላቸውም የባሕር ፍጥረታት አደረግህ።

15ክፉ ጠላት ሁሉንም በመንጠቆ ያወጣቸዋል፤

በመረቡ ይይዛቸዋል፤

በአሽክላው ውስጥ ይሰበስባቸዋል፤

በዚህም ይደሰታል፤ ሐሤትም ያደርጋል።

16በእነርሱ ተዝናንቶ ይኖራልና፤

ምግቡም ሠብቷል።

ስለዚህ ለመረቡ ይሠዋል፤

ለአሽክላውም ያጥናል።

17ታዲያ መረቡን ባለማቋረጥ መጣል፣

ሕዝቦችንስ ያለ ርኅራኄ መግደል አለበትን?