1 Nyakati 17 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 17:1-27

Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

(2 Samweli 7:1-17)

117:1 Mdo 7:46; 1Nya 15:1Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la Bwana liko ndani ya hema.”

217:2 1Nya 22:7; 2Nya 6:7Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.” 3Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

417:4 1Nya 28:3“Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo. 517:5 2Sam 6:21; Kut 40:2; 1Fal 8:4, 16Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa Israeli kutoka Misri mpaka leo. Nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine. 6Je, popote nilipokwenda pamoja na Waisraeli wote, wakati wowote nilimwambia kiongozi yeyote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu, kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?’ 

717:7 2Sam 6:21“Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu Israeli. 8Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani. 917:9 2Nya 15:2; Isa 49:17; Yer 31:12; Eze 34:14Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni, 1017:10 Amu 2:16na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu Israeli. Pia nitawatiisha adui zenu wote.

“ ‘Pamoja na hayo ninakuambia kwamba Bwana atakujengea nyumba: 11Wakati wako utakapokuwa umekwisha, nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako, nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme, mmoja wa wana wako mwenyewe, nami nitaufanya imara ufalme wake. 1217:12 1Fal 5:5; 2Nya 7:18; 13:5Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu, nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele. 1317:13 2Kor 6:18; 2Sam 7:14-15; Ebr 1:5; Lk 1:32; 1Nya 28:6; 22:10Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Kamwe sitaondoa upendo wangu kwake, kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia. 1417:14 1Fal 2:12; 2Nya 9:8; Za 132:11; Yer 33:17; Za 2:6; 89:36; Isa 9:7; Eze 37:25; Dan 2:44; 7:14-27; Mt 21:1-11; Lk 1:33; Ebr 1:8Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele.’ ”

15Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Maombi Ya Daudi

(2 Samweli 7:18-29)

1617:16 2Sam 7:18; 2Fal 19:14; Ay 7:14-17; Mwa 32:10; Za 144:3Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema:

“Mimi ni nani, Ee Bwana Mungu, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo? 17Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee Bwana Mungu.

1817:18 Za 139:1; Yn 21:17“Daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako? Kwa maana wewe unamjua mtumishi wako, 1917:19 2Sam 7:16-17, 25; 2Fal 20:6; Mt 11:26; Efe 1:11Ee Bwana Mungu. Kwa ajili ya mtumishi wako, tena sawasawa na mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana.

2017:20 Kut 8:10; Kum 3:24; Isa 44:6; Kut 15:11; Kum 33:26; 1Sam 2:2; 2Sam 7:22; Za 86:8“Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana Mungu, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe. 2117:21 Kut 6:6Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli: taifa pekee duniani ambalo Mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri? 2217:22 Kut 19:5-6Uliwafanya watu wako Israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele, nawe, Ee Bwana Mungu, umekuwa Mungu wao.

2317:23 1Fal 8:25“Sasa basi, Bwana ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi, 2417:24 2Nya 6:33; Yn 12:28; Za 21:13; 72:19; Mt 6:9, 13ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako.

25“Wewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako Daudi kwamba utamjengea yeye nyumba. Hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya. 2617:26 Kut 34:6; Ebr 6:18Ee Bwana, wewe ndiwe Mungu! Umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri. 2717:27 Za 16:11; 21:6; Rum 11:29; Mwa 27:33; Za 72:17Basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu milele machoni pako; kwa ajili yako, Ee Bwana, umeibariki, nayo itabarikiwa milele.”

Bibelen på hverdagsdansk

1. Krønikebog 17:1-27

Guds pagtsløfte til David og hans slægt

2.Sam. 7,1-29

1Efter at David var flyttet ind i sit kongelige palads, sagde han en dag til profeten Natan: „Her sidder jeg i mit smukke palads af cedertræ—men Herrens Pagts Ark står stadig i et telt!”

2„Gør du bare, hvad du har på hjerte,” svarede Natan, „for Gud er med dig.”

3Men samme nat sagde Gud til Natan: 4„Sig til min tjener David, at han ikke skal bygge et hus til mig! 5Jeg har endnu aldrig haft et hus at bo i. Min bolig har været et telt lige siden den dag, jeg førte Israels folk ud af Egypten, og jeg er flyttet med dem fra den ene lejrplads til den anden. 6Har jeg nogen sinde beklaget mig over det til de ledere, jeg indsatte som hyrder for mit folk? Har jeg bedt nogen af dem om at bygge mig et fornemt hus af cedertræ?

7Derfor skal du give David følgende besked fra den almægtige Herre: ‚Jeg hentede dig fra græsgangen, hvor du vogtede får, og satte dig til at være leder for mit folk. 8Overalt hvor du kom frem, var jeg med dig og tilintetgjorde dine fjender. Jeg vil gøre dig lige så berømt som de kendteste mænd i verden. 9-10Jeg har givet mit folk et sted at slå sig ned og bo uden frygt, og uden at blive mishandlet af deres fjender, sådan som det skete før i tiden, dengang jeg indsatte dommere til at lede mit folk. Jeg har skaffet dig fred fra alle dine fjender.

Hør nu efter, hvad jeg siger: I stedet for at du bygger mig et hus, vil jeg „bygge” dig et kongehus. 11Når du engang er død, skal en af dine efterkommere overtage tronen, og jeg vil gøre hans kongedømme stærkt. 12Han skal bygge mig et tempel, og jeg vil gøre hans herredømme urokkeligt for evigt.17,12 Det hebraiske udtryk „for evigt” betegner en ikke nærmere fastsat tidsperiode uden nogen klar afslutning. Det kan betyde noget vedvarende gennem alle kommende generationer i al fremtid, eller det kan betyde så længe vedkommende lever, jf. 1.Sam. 1,22; 13,13; 20,23.42. 13Jeg vil være hans far, og han skal være min søn. Jeg vil altid være trofast over for ham. Jeg vil ikke rive kongemagten ud af hans hænder, som jeg gjorde med din forgænger. 14Jeg indsætter ham som konge i mit rige og leder for mit folk for evigt. Ja, hans herredømme vil vare til evig tid.’ ”

15Så gik Natan til David og fortalte ham alt, hvad Gud havde sagt. 16David gik da ind i teltet, hvor arken stod, og han satte sig for Herrens ansigt og bad: „Herre, min Gud, du har allerede gjort så meget for mig. 17Og nu giver du mig tilmed løfter, der gælder mine efterkommere langt ud i fremtiden! Min Herre og Gud, du har løftet sløret for dine planer!17,17 Betydningen af den hebraiske tekst er usikker. 18Hvad mere kan jeg sige om den ære, du viser mig? Du ved, at jeg ønsker at tjene dig. 19Du har gjort dette for din tjeners skyld, og fordi du ville det. Det er store løfter, du har åbenbaret for mig. 20Herre, du er uendelig stor—der er ingen anden Gud end dig! Det ved vi så godt. 21Hvilket andet folk på den vide jord har du gjort så meget for som for Israel, dit eget folk? Du har befriet dit folk, så de kunne bringe ære til dit navn. Du har udført mægtige undere ved at frelse dit folk fra slaveriet i Egypten og drive de andre folkeslag bort foran dig. 22Du udvalgte Israels folk til at være dit folk for evigt, og du blev Israels Gud.

23-24Min Herre og Gud, gid det løfte, du har givet mig og min slægt, må stå fast for evigt. Må dets opfyldelse bringe dig evig ære, så folk erkender, at Israels Gud er den almægtige Gud. Må din tjener Davids slægt altid tjene dig. 25Min Gud, du har sagt, at du vil bygge mig et kongehus. Det er derfor, jeg drister mig til at komme med en bøn til dig. 26Min Herre og min Gud, du har givet mig gode løfter for fremtiden. 27Velsign min slægt, så den altid må bestå for dit ansigt. Når du, Herre, velsigner min slægt, vil den altid være velsignet!”