アモス書 2 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

アモス書 2:1-16

2

1主はこう言います。

「モアブの住民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らはエドムの王たちの墓を汚し、

死者を丁重に取り扱わなかったからだ。

2今、その報いとしてモアブに火を放ち、

その火はケリヨテの宮殿をすべて破壊する。

勇士が叫び、角笛が鳴り響くうちに、

モアブは混乱の中で倒れる。

3わたしは彼らの王を滅ぼし、その臣下をみな殺す。」

4主はこう言います。

「ユダの民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らは神の教えを受け入れず、従うことを拒んだからだ。

先祖がそうであったように、

心をかたくなにして罪を犯した。

5だから、ユダを火で滅ぼし、

エルサレムの宮殿もとりでもすべて灰にする。」

イスラエルへのさばき

6主はこう言います。

「イスラエルの民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らはわいろを取って公正な裁判を曲げ、

借金を返せない貧しい者を奴隷に売ったからだ。

それも、たったのくつ一足分の代金のために。

7彼らは貧しい者を踏みつけ、

おとなしい者を足蹴にする。

父と息子とが同じ巫女を犯し、

わたしの聖なる名を傷つけている。

8祭りの日には、

借金のかたに取った着物の上で横になり、

わたしの神殿に、

取り立てた金で買ったぶどう酒を携えて来る。

9わたしが彼らにしてやったことを、よく考えてみよ。

目の前のエモリ人をこの地から追い払ったのは、

このわたしだ。

彼らは杉のように背が高く、樫の木のように強かった。

だが、わたしはその実を切り落とし、根を切った。

10あなたがたをエジプトから連れ出し、

荒野の中を四十年間導き、

エモリ人の地を所有させたのだ。

11また、あなたがたの息子の中から

ナジル人や預言者を選んだ。

イスラエルよ、そうではなかったか」と主は尋ねます。

12「ところがあなたがたは、

ナジル人にむりやりぶどう酒を飲ませて罪を犯させ、

『うるさい、黙れ!』と言って預言者を沈黙させた。

13だから、穀物を満載した荷車がきしむように、

あなたがたをうめかせよう。

14あなたがたの中で一番すばやい戦士が逃げてつまずき、

強い者はみな弱くなり、

勇士ももはや自分のいのちを救えない。

15射かける矢は、みなはずれ、

足の速い者も逃げのびれず、

熟達した騎手も危険地帯を逃げ切ることができない。

16その日には、どんなに勇敢で力のある者も、

武器を捨てて、いのちからがら逃げる。」

神、主がこのように語ったのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 2:1-16

12:1 Eze 25:8; Sef 2:8; 2Fal 3:27; Isa 16:6; 33:2Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Moabu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

ikawa kama chokaa.

22:2 Yer 48:7, 24; Ay 39:25; Yos 6:20Nitatuma moto juu ya Moabu

ambao utateketeza ngome za Keriothi.

Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

32:3 Hes 24:17; Za 2:10; Isa 40:23; Eze 25:8-11; Sef 2:8-9Nitamwangamiza mtawala wake

na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

asema Bwana.

42:4 Law 26:14; 2Sam 12:9, 10; 2Nya 36:14-17; Neh 1:7; Hos 12:2; Eze 9:11; Dan 9:11; 2Fal 17:19; Yer 6:19; 16:12; Isa 5:24; 9:16; 28:15; Kut 34:15Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Yuda,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana

na hawakuzishika amri zake,

kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

miungu ambayo babu zao waliifuata.

52:5 Yer 17:27; Hos 8:14; 2Fal 25:9; Amo 3:11; 2Nya 36:19Nitatuma moto juu ya Yuda

ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

Hukumu Juu Ya Israeli

62:6 Isa 29:21; Yoe 3:3; Amo 5:11, 12; 8:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Wanawauza wenye haki kwa fedha,

na maskini kwa jozi ya viatu.

72:7 Eze 36:20; 22:11; Law 18:21; 20:3; Amo 8:4; 5:11-12; Rum 2:24; Isa 10:2Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

na kukataa haki kwa walioonewa.

Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

82:8 Kut 22:26; Hos 7:14; 1Kor 10:21; Hab 2:6; Amo 6:6; Kum 24:12-14Watu hulala kando ya kila madhabahu

juu ya nguo zilizowekwa rehani.

Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

92:9 Hes 13:32; 21:23-26; Yos 10:12; Ay 18:16; Mal 4:1; Isa 10:33; Za 29:9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

na mwenye nguvu kama mialoni.

Niliyaangamiza matunda yake juu

na mizizi yake chini.

102:10 Kut 6:6; 20:2; Hes 21:23; Yos 13:4; Amo 9:7; Kum 8:2; 2:7“Niliwapandisha toka Misri,

na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

niwape nchi ya Waamori.

112:11 Kut 18:18; Yer 7:25; Hes 6:2-3; Amu 13:5Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

asema Bwana.

122:12 Mdo 4:18; Isa 30:10; Yer 11:21; Amo 7:12-13; Mik 2:6“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

13“Sasa basi, nitawaponda

kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

142:14 1Fal 20:11; Yer 9:23; Za 33:16; Ay 11:20; Isa 30:16-17Mkimbiaji hodari hatanusurika,

wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

152:15 Eze 39:3; Kut 15:21; Zek 10:5; Mhu 9:11Mpiga upinde atakimbia,

askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

162:16 Yer 48:41Hata askari walio mashujaa sana

siku hiyo watakimbia uchi,”

asema Bwana.