アモス書 1 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

アモス書 1:1-15

1

1アモスはテコアの村に住む羊飼いでした。一日中、丘の中腹にいて、羊が迷い出ないように見張っていたのです。

イスラエルの隣人へのさばき

2ある日、神はアモスに、イスラエルに起ころうとしていることを幻の中で語りました。この幻をアモスが見たのは、ウジヤがユダの王、ヨアシュの子ヤロブアムがイスラエルの王であった時で、地震が起こる二年前のことでした。

アモスは見聞きしたことを、次のように報告しています。

主は、ねぐらからほえるどう猛なライオンのように、

シオンの山にある神殿から、大声で叫びました。

すると突然、カルメル山のみずみずしい牧草地が

しおれて枯れ、羊飼いはみな、声を上げて泣きました。

3主はこう言います。

「ダマスコの民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らは穀物を鉄の打穀棒で打つように、

ギルアデでわたしの民を打った。

4だから、ハザエル王の宮殿に火を放ち、

ベン・ハダデの堅固なとりでを破壊する。

5ダマスコの町の門のかんぬきを折り、

アベンの平野に住む者や、

ベテ・エデンで王位についている者を殺す。

シリヤの民は奴隷としてキルに戻る。」

6主はこう言います。

「ガザは何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

ガザはわたしの民を追い出し、

エドムで奴隷として売った。

7だから、ガザの城壁に火を放ち、

とりではすべて破壊される。

8アシュドデの民を殺し、

エクロンと、アシュケロンの王を滅ぼそう。

残ったペリシテ人は滅びる。」

9主はこう言います。

「ツロの民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らは兄弟であるイスラエルとの協定を破り、

攻撃をしかけて征服し、奴隷としてエドムに渡した。

10だから、ツロの城壁に火を放ち、

とりでも宮殿も灰にする。」

11主はこう言います。

「エドムは何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らは兄弟であるイスラエルを剣で追いかけ、

怒りにまかせて冷酷にふるまった。

12だから、テマンに火をかけ、

ボツラのとりでをすべて灰にする。」

13主はこう言います。

「アモンの民は何度もくり返して罪を犯し、

わたしはそのことを忘れない。

もうこれ以上、処罰を猶予しない。

彼らはギルアデの戦いで、領土を広げるために

残虐なことを行い、剣で妊婦を切り裂いた。

14だから、ラバの城壁に火を放ち、

とりでと宮殿は灰となる。

嵐の時のつむじ風のように、

戦いのものすごい叫び声が上がる。

15王も君主たちも捕囚として連れ去られる。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 1:1-15

11:1 2Sam 14:2; Zek 14:5; 2Fal 14:21-23; Hos 1:1; 2Nya 11:6; Za 78:70; 2Nya 26:23Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.

21:2 Isa 42:13; Yoe 3:16; Amo 9:3; Yer 12:4; Za 29:3Alisema:

Bwana ananguruma toka Sayuni,

pia ananguruma kutoka Yerusalemu;

malisho ya wachunga wanyama yanakauka,

kilele cha Karmeli kinanyauka.”

Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli

31:3 Isa 8:4; 7:9; 17:1-3; 8:4; 2Fal 10:33; Amo 2:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Dameski,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliipura Gileadi

kwa vyombo vya chuma vyenye meno.

41:4 Eze 30:8; Yer 17:27; 49:23-27; 1Fal 20:1; 19:17; 2Fal 6:24Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli

ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.

51:5 Yer 51:30; 49:27; Isa 7:1, 16; 22:6; Zek 9:1; 2Fal 16:9Nitalivunja lango la Dameski;

nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni,1:5 Bonde la Aveni maana yake Bonde la Uovu.

na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni.

Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,”

asema Bwana.

61:6 2Nya 28:18; 1Sam 6:17; Mwa 10:19; 14:6; Oba 1:11; Sef 2:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Gaza,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima

na kuwauza kwa Edomu,

71:7 2Fal 18:8nitatuma moto juu ya kuta za Gaza

ambao utateketeza ngome zake.

81:8 2Nya 26:6; Za 81:14; Eze 25:16; Isa 14:28-32; 34:8; Sef 2:4-7Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi

na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni.

Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,

hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,”

asema Bwana Mwenyezi.

91:9 Isa 23:1-18; 1Fal 5:12; 9:11-14; Yer 25:22; Yoe 3:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Tiro,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu,

na kutokujali mapatano ya undugu,

101:10 Yer 47:6; Eze 26:2-4; Isa 23:1-18; 34:8; Zek 9:1-4Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro

ambao utateketeza ngome zake.”

111:11 Yer 49:7-22; Eze 25:12-14; Zek 1:15; Mal 1:4; Za 83:6; Hes 20:14-21; 2Nya 28:17Hili ndilo Bwana asemalo:

“Kwa dhambi tatu za Edomu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga,

alikataa kuonyesha huruma yoyote,

kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote

na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.

121:12 Mwa 36:11-15; Mao 1:9-10; Isa 34:5; 63:1-6; Eze 25:12-14; Mal 1:2-5Nitatuma moto juu ya Temani

ambao utateketeza ngome za Bosra.”

131:13 Mwa 19:38; 34:29; Yer 49:1-6; 2Fal 8:12; Hos 13:16; Eze 21:28Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Amoni,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi

ili kuongeza mipaka yake.

141:14 Kum 3:11; Ay 39:25; Eze 25:5; Amo 2:2; Isa 30:30; Yer 23:19Nitatuma moto kwenye kuta za Raba

ambao utateketeza ngome zake

katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano,

katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.

151:15 Yer 25:21; 49:1-3; Eze 21:28-32; 25:2-7; 1Nya 20:1Mfalme wake atakwenda uhamishoni,

yeye pamoja na maafisa wake,”

asema Bwana.