オバデヤ書 1 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

オバデヤ書 1:1-21

1

オバデヤの幻

1神である主は幻によって、これからエドムの地に起こることをオバデヤに示しました。

オバデヤは言いました。

「主から知らせがあった。

神は国々に使者を遣わして、

次のようにお命じになったと。

『よく聞け。軍を動員し、エドムを滅ぼすのだ。』

2エドムよ。わたしはおまえを国々の中で小さい者とし、

さげすまれる者としよう。

3おまえは人が寄りつけないような高い断崖に住んで、

高慢になっている。

『だれも、ここまで登って来られまい』と誇っている。

思い違いをしてはならない。

4おまえが鷲のように高く舞い上がり、

星の間に巣を設けても、

わたしはおまえを引きずり降ろす」

と主は言います。

5「夜中にどろぼうが来るほうが、はるかにましだ。

根こそぎ持って行きはしないから。

あるいは、ぶどう畑の実を全部盗まれるほうがましだ。

少なくとも落ちた実は残るだろうから。

6だがおまえは、隅から隅まで家捜しされ、奪われる。

宝はすべて見つけ出され、持ち去られる。

7同盟国はみな敵に回り、

この地からおまえを追い出そうとする。

平和を約束しながら、滅ぼすことを企んでいる。

信頼する友が罠をしかけ、

反撃はことごとく失敗する。

8その日、エドム中を捜しても、

賢い者など残っていない」

と主は言う。

「わたしがエドムの賢者たちを愚かにするからだ。

9テマンの最も強力な兵士もあわてふためき、

虐殺者を防げなくなる。

10どうして、そんな目に会うのだろうか。

それは兄弟イスラエルにしたことへの報いだ。

今、おまえの罪は白日のもとにさらされる。

何の抵抗もできず、さんざん辱しめられ、

永遠に切り捨てられる。

11イスラエルが困っていた時、見捨てたからだ。

イスラエルに侵入した者が財宝を持ち去り、

くじでエルサレムを分け合っていても、

知らん顔をして、指一本動かそうとしなかった。

まるで敵のようだった。

12おまえは、そうすべきではなかった。

侵入者がイスラエルを遠い異国へ連れ去るのを見て、

ほくそ笑むべきではなかった。

彼らの不幸を喜ぶべきではなかった。

彼らが困っている時にあざけるべきでなかった。

13そればかりか、災いにつけ込んで、

イスラエルの地に入り、略奪した。

彼らを犠牲にして豊かになったのだ。

14おまえは十字路に立って、逃げようとする者を殺した。

彼らが恐ろしい窮地に立たされた日に、

生き延びた者を捕らえ、敵の手に渡した。

15主はすぐにすべての国に復讐する。

イスラエルにしたとおりのことが、

おまえの身に起こる。

人にしたとおりのことが自分に返ってくる。

16わたしの聖なる山で、

おまえたちはわたしの罰の杯を飲んだ。

回りの国々も飲むことになる。

そうだ、飲んで、よろめきながらあとずさりし、

歴史から姿を消す。

そのような国々は、もう存在しなくなる。

17しかし、エルサレムは避難所となり、逃げ道となる。

イスラエルは再びその地を占領する。

18イスラエルは、

エドムの乾燥した平野に放たれた火となる。

そこには、だれも生き残らない。」

主が、そう語ったのです。

19そして、ネゲブに住む私の民は

エドムの丘陵地を占有し、

ユダの低地に住む者はペリシテの平野を所有し、

エフライムやサマリヤの平野を取り戻します。

ベニヤミンの部族はギルアデを所有します。

20捕囚のイスラエル人は帰って来て、

フェニキヤの海岸地帯を

遠く北のツァレファテまで占領します。

小アジヤに連れて行かれた者も故国に帰り、

ネゲブの辺境の村々を征服します。

21救う者たちがエルサレムに来て、

エドムすべてを支配するからです。

そして、主が王となられるのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Obadia 1:1-21

11:1 Mwa 25:14; Isa 1:1; 21:11; Yoe 3:19; Mal 1:3; Eze 25:12-14; Yer 6:4-5; 49:7-22; Isa 11:14; 18:2; 34:11Maono ya Obadia.

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu:

Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

mtadharauliwa kabisa.

31:3 Isa 14:13; 16:6; 2Fal 14:7; 2Nya 25:11-12; Ufu 18:7Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

wewe unayeishi katika majabali ya miamba

na kufanya makao yako juu,

wewe unayejiambia mwenyewe,

‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

41:4 Isa 10:14; 14:13; 14:14, 15; Ay 20:6; Amo 9:2; Yer 49:16; Hab 2:9Ingawa unapaa juu kama tai

na kufanya kiota chako kati ya nyota,

nitakushusha chini kutoka huko,”

asema Bwana.

51:5 Isa 24:13; Kum 4:27; 24:21“Ikiwa wevi wangekuja kwako,

ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

je, wasingebakiza zabibu chache?

6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

71:7 Yer 30:14; Za 41:9Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

lakini hutaweza kuugundua.

81:8 Ay 5:12; Isa 29:14“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

91:9 Mwa 36:11, 34; Amo 2:16; Za 76:5; Yer 49:22; Nah 3:13Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

kila mmoja katika milima ya Esau

ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

101:10 Yoe 3:19; Amo 1:11-12; Za 137:7; Mwa 47:21; Eze 35:5, 15; Mal 1:4; Eze 25:12-14; 35:9Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

aibu itakufunika;

utaangamizwa milele.

111:11 Ay 6:27; Nah 3:10; Eze 24:6Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

ulikuwa kama mmoja wao.

121:12 Eze 25:6; 35:15; Mit 17:5; 24:17; Mik 4:11; Ay 31:29Usingemdharau ndugu yako

katika siku ya msiba wake,

wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

katika siku ya maangamizi yao,

wala kujigamba sana

katika siku ya taabu yao.

131:13 Eze 35:5Usingeingia katika malango ya watu wangu

katika siku ya maafa yao,

wala kuwadharau katika janga lao

katika siku ya maafa yao,

wala kunyangʼanya mali zao

katika siku ya maafa yao.

14Usingengoja kwenye njia panda

na kuwaua wakimbizi wao,

wala kuwatoa watu wake waliosalia

katika siku ya shida yao.

151:15 Yer 46:10; 50:29; Hab 2:8; Amu 1:7; Za 137:8; Eze 35:15; Yoe 2:31; 3:7-8; Eze 30:3; Amo 5:8“Siku ya Bwana iko karibu

kwa mataifa yote.

Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

161:16 Yer 25:15; 49:12; Mao 4:21-22; Isa 51:17; Kut 15:17; Eze 25:12-14Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

watakunywa na kunywa,

nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

171:17 Za 69:35; 74:2; Isa 14:1-2; Amo 9:11-15; Zek 8:12Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

na wale watakaookoka;

nao utakuwa mtakatifu,

nayo nyumba ya Yakobo

itamiliki urithi wake.

181:18 Zek 12:6; Yer 49:10; Isa 1:31Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

Hakutakuwa na watakaosalimika

kutoka nyumba ya Esau.”

Bwana amesema.

191:19 Isa 11:14; Sef 2:7; Yer 31:5; Hes 1:36Watu kutoka nchi ya Negebu

wataikalia milima ya Esau,

na watu kutoka miteremko ya vilima

watamiliki nchi ya Wafilisti.

Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

naye Benyamini atamiliki Gileadi.

201:20 Lk 4:26; Yer 33:13; 1Fal 17:9-10Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

watamiliki miji ya Negebu.

211:21 Dan 2:24, 44; Ufu 11:15; Zek 14:9; Isa 19:20; Amu 3:9; Za 22:28; 47:9Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

kutawala milima ya Esau.

Nao ufalme utakuwa wa Bwana.