诗篇 8 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 8:1-9

第 8 篇

上帝的荣耀与人的尊贵

大卫的诗,交给乐长,迦特乐器伴奏。

1我们的主耶和华啊,

你的名在地上何其尊贵!

你的荣耀充满诸天。

2你使孩童和婴儿的口发出颂赞,

好叫你的仇敌哑口无言。

3我观看你指头创造的穹苍和你摆列的月亮星辰,

4人算什么,你竟顾念他!

世人算什么,你竟眷顾他!

5你叫他比天使低微一点,

赐他荣耀和尊贵作冠冕。

6你派他管理你亲手造的万物,

使万物降服在他脚下:

7牛羊、田野的兽、

8空中的鸟、海里的鱼及其他水族。

9我们的主耶和华啊,

你的名在地上何其尊贵!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 8:1-9

Zaburi 8

Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.

18:1 1Nya 16:10; Lk 2:9; Hab 3:3; Kut 15:11; Za 57:5; 108:5; 113:4; 148:13Ee Bwana, Bwana wetu,

tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

Umeuweka utukufu wako

juu ya mbingu.

28:2 Mt 11:25; 21:16; Za 143:12; 1Kor 1:27Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao

umeamuru sifa,

kwa sababu ya watesi wako,

kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.

38:3 Mwa 1:16; 15:5; Kum 10:14; Kut 8:19; 1Kor 15:41; 1Nya 16:26; 2Nya 2:12; Za 102:25Nikiziangalia mbingu zako,

kazi ya vidole vyako,

mwezi na nyota,

ulizoziratibisha,

48:4 1Nya 29:14; Ebr 2:6; Ay 7:17; Za 144:3mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

binadamu ni nani hata unamjali?

58:5 Mwa 1:26; Za 21:5; 103:4Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,

ukamvika taji ya utukufu na heshima.

68:6 Mwa 1:28; Ay 10:3; Za 19:1; 102:25; 145:10; Isa 26:12; 29:23; 45:11; Ebr 1:10; 2:6-8; 1Fal 5:3; 1Kor 15:25, 27; Efe 1:22; 1Kor 15:27Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;

umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.

78:7 Mwa 13:5; 26:14; 2:19Mifugo na makundi yote pia,

naam, na wanyama wa kondeni,

88:8 Mwa 1:26ndege wa angani na samaki wa baharini,

naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.

98:9 Ay 11:7; Za 35:10Ee Bwana, Bwana wetu,

tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!