โยบ 41 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

โยบ 41:1-34

1“เจ้าจับเลวีอาธาน41:1 อาจจะเป็นจระเข้ด้วยเบ็ดได้หรือ?

เอาบ่วงคล้องลิ้นมันได้หรือเปล่า?

2เจ้าสามารถเอาเชือกสนตะพายจมูกของมัน

เอาตะขอแทงขากรรไกรของมันได้หรือ?

3มันจะวอนขอความเมตตาจากเจ้าหรือ?

จะพูดกับเจ้าอย่างนุ่มนวลหรือ?

4มันจะตกลงยินยอม

เป็นทาสรับใช้ของเจ้าตลอดชีวิตหรือ?

5เจ้าจะสามารถเลี้ยงดูมันเหมือนนก

และยกมันให้เป็นเพื่อนเล่นของลูกสาวของเจ้าหรือ?

6พ่อค้าจะมาต่อราคาซื้อมัน

และแบ่งขายกันหรือ?

7หลาวจะระคายผิวของมันหรือ?

ฉมวกจะระคายหัวของมันหรือ?

8หากเจ้าลงมือจับมันสักครั้ง

เจ้าจะจดจำการต่อสู้และเข็ดขยาดไม่กล้าทำอีกเลย!

9เป็นความหวังลมๆ แล้งๆ ที่คิดจะปราบมัน

แค่เห็นมันก็ใจฝ่อแล้ว

10ไม่มีใครดุร้ายพอที่จะไปยั่วมัน

ก็แล้วใครเล่ากล้ายืนขึ้นต่อหน้าเรา?

11ใครเล่าจะมาเอ่ยอ้างฟ้องร้องเราซึ่งเราต้องชดใช้ให้?

ทุกสิ่งภายใต้ฟ้าสวรรค์เป็นของเรา

12“เราจะไม่งดกล่าวถึงแข้งขา

กำลังและเรือนร่างอันสง่างามของมัน

13ใครสามารถถลกผิวหนังของมัน?

ใครสามารถคล้องบังเหียนให้มัน?

14ใครจะกล้าเปิดปากของมัน

ซึ่งมีฟันน่ากลัวเรียงรายอยู่?

15หลังของมันมีเกล็ดเหมือนโล่41:15 หรือความเย่อหยิ่งของมันอยู่ที่เกล็ดซึ่งเหมือนกับโล่

ซ้อนถี่แนบกันเป็นแถว

16ผนึกเรียงกันแน่น

จนอากาศผ่านเข้าไม่ได้

17มันเกาะติดกันสนิท

ยึดแน่นจนไม่อาจแยกจากกันได้

18เวลามันจาม มีแสงแวบวาบออกมา

ดวงตาของมันดั่งแสงอรุณ

19เปลวเพลิงพ่นออกจากปากของมัน

มีประกายไฟแลบออกมา

20ควันคละคลุ้งจากรูจมูกของมัน

เหมือนไอพวยพุ่งจากกาน้ำเดือดซึ่งใช้ต้นกกเป็นฟืน

21ลมหายใจของมันจุดถ่านหินให้ลุกโชน

และเปลวไฟพุ่งขึ้นมาจากปากของมัน

22คอของมันมีกำลังมหาศาล

ความอกสั่นขวัญแขวนนำหน้ามันไป

23เนื้อของมันเกาะติดกันแน่น

แข็งหนาและขยับไม่ได้

24หน้าอกของมันแข็งดั่งศิลา

แกร่งดั่งแท่นของหินโม่

25เมื่อมันลุกขึ้น คนแข็งแรงที่สุดก็ขวัญหนีดีฝ่อ

พอมันขยับตัว พวกเขาก็ถอยหนี

26ดาบ หอก หลาว แหลน

อาวุธใดๆ ไม่มีผลต่อมัน

27สำหรับมัน เหล็กก็ไม่ต่างอะไรกับฟาง

และทองสัมฤทธิ์คือไม้ผุๆ

28ลูกศรไม่สามารถทำให้มันหนีเตลิด

สำหรับมัน หินสลิงก็เหมือนแกลบ

29กระบองก็เป็นเพียงฟางเส้นหนึ่ง

และมันหัวเราะเยาะหอกที่พุ่งเข้าใส่

30ท้องของมันปกคลุมด้วยเกล็ดแหลมเหมือนเศษหม้อแตก

ทิ้งรอยไว้ในโคลนเหมือนเลื่อนนวดข้าว

31มันทำให้ห้วงลึกปั่นป่วนเหมือนหม้อน้ำเดือด

ท้องทะเลพลุ่งพล่านเหมือนหม้อน้ำมันเดือด

32มันทิ้งระลอกฟองผุดประกายอยู่ข้างหลัง

ใครเห็นคงนึกว่าทะเลมีผมหงอก

33ไม่มีอะไรอื่นอีกแล้วในโลกที่เหมือนมัน

เป็นสัตว์ซึ่งไม่รู้จักความกลัว

34มันดูถูกสัตว์ที่เย่อหยิ่งทั้งปวง

มันเป็นราชาเหนือสรรพสิ่งที่ทรนง”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 41:1-34

141:1 Za 104:26; Isa 27:1“Je, waweza kumvua Lewiathani41:1 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. kwa ndoano ya samaki,

au kufunga ulimi wake kwa kamba?

241:2 Isa 37:29; Eze 19:4; Isa 30:28Waweza kupitisha kamba puani mwake,

au kutoboa taya lake kwa kulabu?

341:3 1Fal 20:31Je, ataendelea kukuomba umhurumie?

Atasema nawe maneno ya upole?

441:4 Kut 21:6Je, atafanya agano nawe ili umtwae

awe mtumishi wako maisha yake yote?

5Je, utamfuga na kumfanya rafiki kama ndege,

au kumfunga kamba kwa ajili ya wasichana wako?

6Je, wafanyabiashara watabadilishana bidhaa kwa ajili yake?

Watamgawanya miongoni mwa wafanyao biashara?

741:7 Ay 40:24Je, waweza kuijaza ngozi yake kwa vyuma vyenye ncha kali,

au kichwa chake kwa mkuki wa kuvulia samaki?

841:8 Ay 3:8Kama ukiweka mkono wako juu yake,

utavikumbuka hivyo vita na kamwe hutarudia tena!

941:9 Ay 40:16Tumaini lolote la kumtiisha ni kujidanganya;

kule kumwona tu kunamwangusha mtu chini.

1041:10 Ay 3:8; 2Nya 20:6; Ufu 6:17; 1Kor 10:22Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza.

Ni nani basi awezaye kusimama dhidi yangu?

1141:11 Ay 34:33; Yos 3:11; Rum 11:35; Mdo 4:24; Mwa 14:19; Kum 10:14Ni nani mwenye madai dhidi yangu ili nipate kumlipa?

Kila kitu kilicho chini ya mbingu ni mali yangu.

1241:12 Ay 40:18; 39:11“Sitashindwa kunena juu ya maungo yake,

nguvu zake na umbo lake zuri.

1341:13 Ay 30:11; 39:10Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje?

Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?

1441:14 Za 22:13Nani athubutuye kuufungua mlango wa kinywa chake,

kilichozungukwa na meno yake ya kutisha pande zote?

1541:15 Ay 40:17Mgongo wake una safu za ngao

zilizoshikamanishwa imara pamoja;

16kila moja iko karibu sana na mwenzake,

wala hakuna hewa iwezayo kupita kati yake.

17Zimeunganishwa imara kila moja na nyingine;

zimengʼangʼaniana pamoja wala haziwezi kutenganishwa.

1841:18 Ay 40:17Akipiga chafya mwanga humetameta;

macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.

1941:19 Dan 10:6Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake;

cheche za moto huruka nje.

2041:20 Za 18:8Moshi hufuka kutoka puani mwake,

kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.

2141:21 Ay 4:9; Isa 11:4; 10:17; Yer 4:4Pumzi yake huwasha makaa ya mawe,

nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.

2241:22 Ay 39:11Nguvu hukaa katika shingo yake;

utisho hutangulia mbele yake.

23Mikunjo ya nyama yake imeshikamana imara pamoja;

iko imara na haiwezi kuondolewa.

2441:24 Mt 18:6Kifua chake ni kigumu kama mwamba,

kigumu kama jiwe la chini la kusagia.

2541:25 Ay 39:20; 3:8Ainukapo, mashujaa wanaogopa;

hurudi nyuma mbele yake anapokwenda kwa kishindo.

2641:26 Ay 8:18; 40:24Upanga unaomfikia haumdhuru,

wala mkuki au mshale wala fumo.

2741:27 Ay 41:29Chuma hukiona kama unyasi,

na shaba kama mti uliooza.

2841:28 Za 91:5Mishale haimfanyi yeye akimbie;

mawe ya kombeo kwake ni kama makapi.

2941:29 Ay 41:27; 5:22Rungu kwake huwa kama kipande cha jani kavu;

hucheka sauti za kugongana kwa mkuki.

3041:30 Isa 28:27; Amo 1:3; Isa 41:15Sehemu zake za chini kwenye tumbo

zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu,

zikiacha mburuzo kwenye matope

kama chombo chenye meno cha kupuria.

3141:31 1Sam 2:14; Eze 32:2Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa ichemkayo,

na kukoroga bahari kama chungu cha marhamu.

32Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta;

mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi.

3341:33 Ay 40:19Hakuna chochote duniani kinacholingana naye:

yeye ni kiumbe kisicho na woga.

3441:34 Ay 28:8Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna;

yeye ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.”