เอสเธอร์ 1 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เอสเธอร์ 1:1-22

พระนางวัชทีถูกปลด

1เหตุการณ์นี้เกิดขึ้นในสมัยของกษัตริย์เซอร์ซีส1:1 ภาษาฮีบรูว่าอาหะสุเอรัสเป็นอีกรูปหนึ่งของเซอร์ซีส ซึ่งเป็นชื่อเปอร์เซีย ทั้งในข้อนี้และตลอดพระธรรมเอสเธอร์ผู้ทรงปกครอง 127 มณฑลจากอินเดียถึงคูช1:1 คือ ตอนบนของลุ่มแม่น้ำไนล์ 2ครั้งนั้นกษัตริย์เซอร์ซีสทรงครองราชบัลลังก์ในป้อมเมืองสุสา 3และในปีที่สามแห่งรัชกาลของพระองค์ พระองค์ทรงจัดงานเลี้ยงใหญ่ประทานแก่เหล่าขุนนางและข้าราชบริพาร บรรดาแม่ทัพนายกองแห่งมีเดียและเปอร์เซีย เจ้านายและขุนนางจากทุกมณฑลล้วนมาเข้าเฝ้า

4กษัตริย์ทรงแสดงความมั่งคั่งของราชอาณาจักร พระเกียรติ บารมี และความโอ่อ่าตระการตลอด 180 วัน 5หลังจากนั้นกษัตริย์ทรงจัดงานเลี้ยงเจ็ดวันที่ลานอุทยานของพระราชวังสำหรับทุกคนที่อยู่ในป้อมเมืองสุสา ตั้งแต่ผู้ยิ่งใหญ่ที่สุดลงมาถึงผู้น้อยที่สุด 6ในอุทยานมีม่านลินินสีขาวและสีน้ำเงินร้อยด้วยเชือกลินินสีขาวและสีม่วงเข้ากับห่วงเงินบนเสาหินอ่อน มีตั่งทองคำและเงินตั้งอยู่ตามบาทวิถีซึ่งฝังหินแดง หินอ่อน หอยมุก และพลอยราคาแพงอื่นๆ 7เหล้าองุ่นที่นำออกมาแจกจ่ายบรรจุในภาชนะทองคำ แต่ละใบมีรูปทรงและลวดลายไม่ซ้ำกัน กษัตริย์ทรงประทานเหล้าองุ่นหลวงให้ดื่มอย่างเหลือเฟือ 8แขกแต่ละคนดื่มได้ตามใจชอบ เพราะพระองค์ทรงบัญชาพนักงานฝ่ายเหล้าองุ่นให้นำมาบริการตามความพอใจของทุกคน

9พระราชินีวัชทีก็ทรงจัดงานเลี้ยงสำหรับเหล่าสตรีในราชสำนักของกษัตริย์เซอร์ซีสด้วย

10ในวันที่เจ็ดเมื่อกษัตริย์เซอร์ซีสสำราญพระทัยด้วยเหล้าองุ่นก็ตรัสเรียกขันทีประจำพระองค์ทั้งเจ็ดคือ เมหุมาน บิสธา ฮารโบนา บิกธา อาบักธา เศธาร์ และคารคัส 11ให้ไปทูลเชิญพระนางวัชทีสวมมงกุฎมาเข้าเฝ้าพระองค์ เพื่อให้ประชาชนและเหล่าขุนนางได้ยลโฉมเพราะพระนางทรงพระสิริโฉมยิ่งนัก 12แต่เมื่อคนเหล่านี้ไปทูลเชิญตามพระบัญชาของกษัตริย์ พระนางไม่ยอมมา กษัตริย์จึงทรงพระพิโรธยิ่งนัก

13เนื่องจากเป็นประเพณีที่กษัตริย์จะต้องปรึกษากับผู้เชี่ยวชาญในเรื่องกฎหมายและความยุติธรรม พระองค์จึงตรัสกับเหล่านักปราชญ์ผู้เข้าใจยุคสมัย 14ซึ่งเป็นผู้ใกล้ชิดกษัตริย์ที่สุดได้แก่ คารเชนา เชธาร์ อัดมาธา ทารชิช เมเรส มารเสนา และเมมูคาน ขุนนางทั้งเจ็ดแห่งมีเดียและเปอร์เซีย ซึ่งเป็นผู้ที่มีสิทธิพิเศษในการเข้าเฝ้ากษัตริย์และเป็นผู้มีอำนาจสูงสุดในราชอาณาจักร

15พระองค์ตรัสถามว่า “กฎหมายระบุให้ทำอย่างไรบ้างกับพระนางวัชทีซึ่งไม่ยอมปฏิบัติตามคำสั่งของกษัตริย์เซอร์ซีสตามที่ให้ขันทีไปเชิญ?”

16แล้วเมมูคานทูลตอบต่อหน้ากษัตริย์และต่อหน้าเหล่าขุนนางว่า “พระนางวัชทีไม่ได้ทรงทำผิดต่อองค์กษัตริย์เท่านั้น แต่ต่อขุนนางและประชาราษฎร์ทั้งปวงในทุกมณฑลของกษัตริย์เซอร์ซีสด้วย 17เพราะหญิงทั้งปวงจะรู้ถึงการกระทำของพระนาง และจะพากันดูแคลนสามี และพูดกันว่า ‘กษัตริย์เซอร์ซีสทรงบัญชาให้พระราชินีวัชทีไปเข้าเฝ้า แต่พระนางไม่ยอมไป’ 18ในวันนี้บรรดาหญิงสูงศักดิ์แห่งมีเดียและเปอร์เซียซึ่งได้ยินการกระทำของพระนางวัชที ก็จะปฏิบัติต่อขุนนางของกษัตริย์ในทำนองเดียวกัน จะทำให้ขาดความเคารพและเกิดความขัดแย้งไม่มีที่สิ้นสุด

19“ฉะนั้นหากฝ่าพระบาททรงดำริชอบ ขอให้ร่างพระราชโองการเป็นกฎหมายของชาวมีเดียและเปอร์เซียซึ่งจะล้มเลิกไม่ได้ ห้ามพระนางวัชทีเข้าเฝ้าฝ่าพระบาทอีก ทั้งให้ฝ่าพระบาทประทานตำแหน่งพระราชินีแก่คนอื่นซึ่งดีกว่าพระนาง 20เมื่อประกาศพระราชโองการนี้ทั่วราชอาณาจักรอันกว้างใหญ่ไพศาลของฝ่าพระบาทแล้ว หญิงทั้งปวงจะเคารพสามี ตั้งแต่ผู้น้อยที่สุดไปจนถึงผู้ใหญ่ที่สุด”

21กษัตริย์และขุนนางทั้งปวงเห็นชอบในคำทูลนี้ ฉะนั้นกษัตริย์ทรงทำตามที่เมมูคานทูลเสนอ 22และมีพระราชสาส์นออกไปยังทุกมณฑลทั่วราชอาณาจักร เป็นภาษาถิ่นครบทุกภาษา ประกาศว่าผู้ชายทุกคนเป็นผู้ปกครองเหนือครัวเรือนของตน

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 1:1-22

Malkia Vashti Aondolewa

11:1 Ezr 4:16; Es 9:30Hili ndilo lililotokea wakati wa utawala wa Mfalme Ahasuero, yule aliyetawala juu ya majimbo mia na ishirini na saba tangu Bara Hindi hadi Kushi.1:1 Kushi hapa ina maana ya Ethiopia. 2Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala katika kiti chake cha enzi katika ngome ya mji wa Shushani. 31:3 1Fal 3:15Katika mwaka wa tatu wa utawala wake, alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake wote pamoja na maafisa. Akawaalika viongozi wa jeshi wa Uajemi na Umedi, wana wa wafalme na wakuu wa majimbo.

4Kwa siku zote 180 mfalme alionyesha utajiri mwingi wa ufalme wake, fahari na utukufu wa enzi yake. 51:5 Amu 14:17; 2Fal 21:18Siku hizo zilipopita, mfalme alifanya karamu kwa muda wa siku saba, katika bustani ya ndani katika jumba la kifalme, kwa ajili ya watu wote kuanzia mdogo hadi mkubwa, waliokuwa katika ngome ya mji wa Shushani. 61:6 Eze 23:41; Amo 3:12; 6:4Bustani ilikuwa na mapazia ya kitani nyeupe na buluu, yaliyofungiwa kamba za kitani nyeupe na kitambaa cha zambarau, kwenye pete za fedha juu ya nguzo za marmar. Kulikuwepo viti vya dhahabu na vya fedha vilivyokuwa vimewekwa kwenye ile sakafu iliyotengenezwa kwa mawe ya rangi, marmar, lulumizi na mawe mengine ya thamani. 7Vyombo vya dhahabu vilitumika kwa watu kunywea mvinyo, kila kimoja tofauti na kingine, naye mfalme akatoa mvinyo kwa wingi kwa kadiri ya ukarimu wake. 8Kwa amri ya mfalme kila mgeni aliruhusiwa kunywa alichotaka, kwa kuwa mfalme alitoa maagizo kwa watumishi wote wa kuhudumu mvinyo kumhudumia kila mtu kwa jinsi alivyotaka.

9Malkia Vashti pia akawafanyia wanawake karamu katika jumba la kifalme la Mfalme Ahasuero.

101:10 Rut 3:7; Dan 5:1-4Siku ya saba, wakati Mfalme Ahasuero alikuwa amesisimka roho yake kwa mvinyo, aliamuru matowashi saba waliokuwa wakimhudumia, yaani, Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkasi, 11kumleta Malkia Vashti mbele ya mfalme akiwa amevaa taji lake la kifalme, ili aonyeshe uzuri wake kwa watu na wakuu, kwa kuwa alikuwa ni mzuri wa kupendeza. 121:12 Mwa 39:19; Mit 19:12Lakini wakati watumishi walipotoa amri ya mfalme, Malkia Vashti alikataa kuja. Ndipo mfalme alighadhibika, na hasira yake ikawaka.

131:13 1Nya 12:32Kwa kuwa ilikuwa desturi ya mfalme kupata ushauri kwa wataalamu katika mambo ya sheria na haki, alizungumza na watu wenye busara, ambao walijua nyakati, 14nao waliokuwa karibu na mfalme ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena na Memukani, wakuu saba wa Uajemi na Umedi waliokuwa na nafasi ya pekee kwa mfalme nao walikuwa na vyeo vya juu kabisa katika utawala wake.

15Mfalme akauliza, “Kulingana na sheria, Malkia Vashti anapaswa kutendewa nini? Malkia hakutii amri ya Mfalme Ahasuero ambayo matowashi walimpelekea.”

16Kisha Memukani akajibu mbele ya mfalme na wakuu, “Malkia Vashti si kwamba amemkosea mfalme tu bali pia amewakosea wakuu wote na watu wa himaya yote ya Mfalme Ahasuero. 17Kwa maana tendo hili la malkia litajulikana kwa wanawake wote, kwa hiyo watawadharau waume zao na kusema, ‘Mfalme Ahasuero aliagiza Malkia Vashti aletwe mbele yake, lakini alikataa.’ 18Leo hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi ambao wamesikia juu ya tabia ya malkia watawatendea wakuu wote wa mfalme vivyo hivyo. Hapatakuwepo na mwisho wa dharau na magomvi.

191:19 Es 8:6; Dan 6:8, 12“Kwa hiyo, kama itampendeza mfalme, atoe amri ya kifalme na iandikwe katika sheria ya Uajemi na Umedi, ambayo haitabadilika, kwamba Vashti kamwe asije tena mbele ya Mfalme Ahasuero. Pia mfalme na atoe hiyo nafasi yake ya umalkia kwa mwanamke mwingine aliye bora kumliko yeye. 20Kisha mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo hadi mkubwa.”

21Mfalme na wakuu wake walipendezwa na shauri hili, hivyo basi mfalme akafanya kama Memukani alivyopendekeza. 221:22 Neh 13:24Alipeleka barua katika sehemu zote za ufalme wake, kwa kila jimbo kwa maandishi yake mwenyewe na kwa kila watu katika lugha yao wenyewe, akitangaza kwa msemo wa kila watu kwamba inampasa kila mwanaume kuwa mtawala wa nyumba yake mwenyewe.