มัทธิว 13 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

มัทธิว 13:1-58

คำอุปมาเรื่องผู้หว่าน

(มก.4:1-20; ลก.8:4-15; 10:23,24)

1ในวันเดียวกันนั้นพระเยซูเสด็จจากบ้านไปประทับที่ริมทะเลสาบ 2มีฝูงชนมากมายยิ่งนักมารุมล้อมพระองค์ พระองค์จึงทรงลงไปประทับในเรือขณะที่ประชาชนทั้งปวงยืนอยู่บนฝั่ง 3แล้วพระองค์ตรัสหลายสิ่งกับพวกเขาเป็นคำอุปมาเช่น “ชาวนาคนหนึ่งออกไปหว่านเมล็ดพืช 4ขณะที่หว่าน บางเมล็ดก็ตกตามทางและนกมาจิกกินไปหมด 5บางเมล็ดตกบนพื้นกรวดหิน มีเนื้อดินน้อยจึงงอกขึ้นโดยเร็วเพราะดินไม่ลึก 6แต่เมื่อแดดเผาก็เหี่ยวไปเพราะไม่มีราก 7บางเมล็ดตกกลางพงหนามโดนหนามงอกคลุม 8แต่ยังมีบางเมล็ดที่ตกบนดินดีซึ่งเกิดผลร้อยเท่า หกสิบเท่า หรือสามสิบเท่าของที่หว่าน 9ใครมีหู จงฟังเถิด”

10เหล่าสาวกมาหาพระองค์และทูลถามว่า “เหตุใดพระองค์จึงตรัสกับประชาชนเป็นคำอุปมา?”

11พระเยซูทรงตอบว่า “ความลับของอาณาจักรสวรรค์ทรงให้พวกท่านรู้ แต่ไม่ทรงให้พวกเขารู้ 12ผู้ใดมีอยู่แล้วจะได้รับเพิ่มขึ้นจนมีล้นเหลือ ส่วนผู้ที่ไม่มีแม้ซึ่งเขามีอยู่ก็จะถูกริบไปจากเขา 13ด้วยเหตุนี้เราจึงกล่าวกับพวกเขาเป็นคำอุปมาคือ

“แม้ได้ดู แต่พวกเขาก็ไม่เห็น

แม้ได้ฟัง แต่พวกเขาก็ไม่ได้ยินหรือไม่เข้าใจ

14เป็นจริงตามคำพยากรณ์ของอิสยาห์ที่ว่า

“ ‘เจ้าจะฟังแล้วฟังเล่า แต่จะไม่มีวันเข้าใจ

เจ้าจะดูแล้วดูเล่า แต่จะไม่มีวันประจักษ์

15เพราะจิตใจของชนชาตินี้ดื้อด้านไป

พวกเขาไม่ยอมเปิดหูเปิดตา

มิฉะนั้นแล้วพวกเขาจะได้เห็นกับตา

ได้ยินกับหู

เข้าใจด้วยจิตใจ

และหันกลับมา แล้วเราจะรักษาพวกเขาให้หาย’13:15 อสย.6:9,10

16แต่ตาของท่านเป็นสุขเพราะได้เห็น หูของท่านเป็นสุขเพราะได้ยิน 17เพราะเราบอกความจริงแก่ท่านว่าผู้เผยพระวจนะและผู้ชอบธรรมมากมายปรารถนาจะเห็นสิ่งที่ท่านเห็นแต่ไม่ได้เห็น ปรารถนาจะได้ยินสิ่งที่พวกท่านได้ยินแต่ก็ไม่ได้ยิน

18“จงฟังความหมายของคำอุปมาเรื่องผู้หว่านนี้คือ 19เมื่อผู้ใดได้ยินเนื้อความเกี่ยวกับอาณาจักรของพระเจ้าและไม่เข้าใจ มารก็มาฉวยเอาสิ่งที่หว่านลงในใจของเขาไป นี่คือเมล็ดพืชที่หว่านตามทาง 20เมล็ดพืชที่ตกลงบนพื้นที่มีหินมากคือผู้ที่ได้ยินพระวจนะแล้วก็รับไว้ทันทีด้วยความยินดี 21แต่เพราะไม่หยั่งรากลึก จึงคงอยู่แค่ชั่วคราว เมื่อเกิดปัญหาหรือการข่มเหงเนื่องด้วยพระวจนะนั้นก็เลิกราไปอย่างรวดเร็ว 22เมล็ดพืชที่ตกกลางพงหนามคือผู้ที่ได้ยินพระวจนะแต่ถูกความพะวักพะวนในชีวิตนี้ และความหลอกลวงของทรัพย์สมบัติรัดเสียทำให้ไม่เกิดผล 23ส่วนเมล็ดพืชซึ่งตกในดินดีนั้นคือผู้ที่ได้ยินพระวจนะและเข้าใจก็เกิดผลร้อยเท่า หกสิบเท่า หรือสามสิบเท่าของที่หว่านลงไป”

คำอุปมาเรื่องวัชพืช

24พระเยซูทรงยกคำอุปมาอีกว่า “อาณาจักรสวรรค์เปรียบเหมือนคนหว่านเมล็ดพันธุ์ดีในนาของตน 25แต่ขณะที่ทุกคนหลับอยู่ศัตรูของเขามาหว่านวัชพืช13:25 เป็นวัชพืชที่เป็นพิษ มีลักษณะคล้ายข้าวสาลีและข้าวไรย์ จะแยกออกจากกันได้ก็เมื่อใกล้เก็บเกี่ยวแทรกปนกับข้าวสาลีแล้วก็จากไป 26เมื่อข้าวสาลีงอกและออกรวง วัชพืชก็ปรากฏขึ้นด้วย

27“คนรับใช้มาบอกเจ้าของนาว่า ‘นายขอรับ ท่านหว่านข้าวดีในนาไม่ใช่หรือ? ก็แล้ววัชพืชมาจากไหน?’

28“นายตอบว่า ‘ฝีมือของศัตรู’

“คนรับใช้ถามว่า ‘ให้พวกเราไปถอนทิ้งดีไหม?’

29“นายตอบว่า ‘อย่าเลย เพราะขณะถอนวัชพืชเจ้าอาจจะถอนข้าวสาลีขึ้นมาด้วย 30ให้ทั้งคู่งอกขึ้นไปด้วยกันจนถึงเวลาเกี่ยว ถึงตอนนั้นเราจะบอกคนเกี่ยวให้เก็บวัชพืชก่อนและมัดเป็นฟ่อนนำไปเผาไฟ แล้วเก็บข้าวสาลีนำมาไว้ในยุ้งฉางของเรา’”

คำอุปมาเรื่องเมล็ดมัสตาร์ดและเชื้อขนม

(มก.4:30-32; ลก.13:18-21)

31พระองค์ทรงยกคำอุปมาอีกข้อหนึ่งว่า “อาณาจักรสวรรค์เปรียบเหมือนเมล็ดมัสตาร์ดซึ่งมีคนเอาไปเพาะในทุ่งของตน 32แม้เมล็ดนั้นเล็กกว่าเมล็ดทั้งปวง แต่เมื่องอกขึ้นก็ใหญ่ที่สุดในสวนและกลายเป็นต้นให้นกในอากาศมาเกาะกิ่ง”

33แล้วทรงยกคำอุปมาอีกข้อหนึ่งว่า “อาณาจักรสวรรค์เปรียบเหมือนเชื้อขนมซึ่งผู้หญิงเอาไปผสมในแป้งกองใหญ่13:33 ภาษากรีกว่า3 สาตอน(ประมาณ 20 กิโลกรัม)จนแป้งทั้งก้อนฟูขึ้น”

34ทั้งหมดนี้พระเยซูตรัสแก่ฝูงชนเป็นคำอุปมา พระองค์ไม่ได้ตรัสสิ่งใดกับพวกเขาเลยนอกจากคำอุปมา 35ทั้งนี้เป็นจริงตามที่กล่าวไว้ผ่านทางผู้เผยพระวจนะว่า

“ข้าพเจ้าจะเอื้อนเอ่ยคำอุปมา

จะเผยสิ่งที่ซ่อนเร้นไว้ตั้งแต่ครั้งทรงสร้างโลก”13:35 สดด.78:2

ทรงอธิบายคำอุปมาเรื่องวัชพืช

36จากนั้นทรงละฝูงชนเข้าไปในบ้าน เหล่าสาวกมาทูลพระองค์ว่า “ขอทรงอธิบายคำอุปมาเรื่องวัชพืชด้วยเถิด”

37พระเยซูตรัสตอบว่า “ผู้ที่หว่านเมล็ดพันธุ์ดีคือบุตรมนุษย์ 38นาคือโลก เมล็ดพันธุ์ดีหมายถึงพลเมืองของอาณาจักรของพระเจ้า ส่วนวัชพืชหมายถึงพลเมืองของมาร 39ศัตรูที่หว่านวัชพืชนั้นคือมาร เวลาเก็บเกี่ยวคือเมื่อสิ้นยุค และผู้เก็บเกี่ยวคือทูตสวรรค์

40“วัชพืชถูกถอนมาเผาไฟอย่างไร เมื่อสิ้นยุคก็จะเป็นอย่างนั้น 41บุตรมนุษย์จะส่งทูตสวรรค์ของพระองค์มากำจัดทุกสิ่งอันเป็นต้นเหตุของบาปและกำจัดทุกคนที่ทำชั่วออกจากอาณาจักรของพระองค์ 42แล้วโยนลงในเตาไฟลุกโชนที่ซึ่งจะมีการร่ำไห้และขบเขี้ยวเคี้ยวฟัน 43แล้วผู้ชอบธรรมจะส่องสว่างเหมือนดวงตะวันในอาณาจักรของพระบิดาของพวกเขา ใครมีหูที่จะฟังก็จงฟังเถิด”

คำอุปมาเรื่องขุมทรัพย์ที่ซ่อนอยู่และไข่มุกล้ำค่า

44“อาณาจักรสวรรค์เปรียบเหมือนขุมทรัพย์ที่ซ่อนอยู่ในทุ่งนา เมื่อมีผู้พบเข้าก็กลับซ่อนไว้และด้วยความตื่นเต้นยินดีจึงไปขายทุกสิ่งที่มีแล้วมาซื้อทุ่งนานั้น

45“อนึ่งอาณาจักรสวรรค์เปรียบเหมือนพ่อค้าที่แสวงหาไข่มุกเม็ดงาม 46เมื่อเขาได้พบไข่มุกล้ำค่าเม็ดหนึ่งจึงไปขายทุกสิ่งที่มีมาซื้อไข่มุกนั้น

คำอุปมาเรื่องอวน

47“อาณาจักรสวรรค์ยังเปรียบได้กับอวนซึ่งทอดลงในทะเลและจับปลาได้สารพัดชนิด 48พอเต็มแล้วชาวประมงก็ลากอวนขึ้นฝั่งแล้วคัดเอาแต่ปลาที่ดีใส่ตะกร้า ส่วนที่ไม่ดีก็ทิ้งไป 49เมื่อสิ้นยุคก็จะเป็นเช่นนี้ คือทูตสวรรค์จะมาแยกคนชั่วช้าออกจากคนชอบธรรม 50และนำไปทิ้งลงในเตาไฟอันลุกโชนที่ซึ่งจะมีการร่ำไห้และการขบเขี้ยวเคี้ยวฟัน”

51พระเยซูตรัสถามว่า “ทั้งหมดนี้พวกท่านเข้าใจหรือไม่?”

พวกเขาทูลตอบว่า “เข้าใจพระเจ้าข้า”

52พระองค์ตรัสว่า “เพราะฉะนั้นธรรมาจารย์ทุกคนที่รับคำสอนเกี่ยวกับอาณาจักรสวรรค์ก็เป็นเหมือนเจ้าของบ้านซึ่งนำสมบัติใหม่และสมบัติเก่าออกมาจากคลังของตน”

ผู้เผยพระวจนะซึ่งไม่มีใครนับถือ

(มก.6:1-6)

53เมื่อพระเยซูตรัสคำอุปมาเหล่านี้จบแล้วก็เสด็จออกจากที่นั่น 54เมื่อมาถึงบ้านเกิดของพระองค์ พระองค์ทรงสั่งสอนประชาชนในธรรมศาลาและพวกเขาก็ประหลาดใจและพูดกันว่า “คนนี้ได้สติปัญญาและฤทธิ์อำนาจอัศจรรย์เหล่านี้มาจากไหน? 55เขาเป็นลูกช่างไม้ไม่ใช่หรือ? แม่ของเขาชื่อมารีย์และน้องชายของเขาคือยากอบ โยเซฟ ซีโมน และยูดาส ไม่ใช่หรือ?” 56น้องสาวของเขาทุกคนก็อยู่กับเราไม่ใช่หรือ? แล้วเขาได้สิ่งเหล่านี้มาจากไหนกัน? 57เขาทั้งหลายจึงไม่พอใจพระองค์

ฝ่ายพระเยซูตรัสกับพวกเขาว่า “ผู้เผยพระวจนะขาดคนนับถือก็แต่เฉพาะในบ้านเดิมและในครอบครัวของตนเอง”

58และพระองค์ไม่ได้ทรงกระทำการอัศจรรย์ที่นั่นมากนักเนื่องจากพวกเขาไม่มีความเชื่อ

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 13:1-58

Mfano Wa Mpanzi

(Marko 4:1-9; Luka 8:4-8)

113:1 Mt 13:36; 9:28Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari. 213:2 Lk 5:3Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari. 313:3 Lk 8:5Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. 4Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila. 5Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba. 6Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina. 7Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea. 813:8 Mwa 26:12Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini. 913:9 Mt 11:15Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Sababu Ya Kufundisha Kwa Mifano

(Marko 4:10-12; Luka 8:9-10)

10Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

1113:11 Kol 1:27; 1Yn 2:20, 27Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa. 1213:12 Mt 25:29; Lk 19:26Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa. 1313:13 Yer 5:21; Eze 12:2Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano:

“Ingawa wanatazama, hawaoni;

wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.

1413:14 Mt 1:22; 13:35; Eze 12:2; Isa 6:9; Mdo 28:26-28Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema:

“ ‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa;

na pia mtatazama lakini hamtaona.

1513:15 Isa 6:9-10; Rum 11:8Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu;

hawasikii kwa masikio yao,

na wamefumba macho yao.

Wasije wakaona kwa macho yao,

na wakasikiliza kwa masikio yao,

wakaelewa kwa mioyo yao,

na kugeuka nami nikawaponya.’

1613:16 Mt 16:17; Lk 10:23-24Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia. 1713:17 Ebr 11:13; 1Pet 1:10-12Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.

Maelezo Ya Mfano Wa Mbegu

(Marko 4:13-20; Luka 8:11-15)

1813:18 Mk 4:14; Lk 8:11“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi: 1913:19 Mt 4:23; 5:37Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia. 2013:20 Isa 58:2; Eze 33:31, 32; Yn 5:35Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha. 2113:21 Mt 11:6; 26:31Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa. 2213:22 Mt 19:23; 1Tim 6:9-10, 17Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. 2313:23 Mt 13:8Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”

Mfano Wa Magugu

2413:24 Mt 25:1; Mk 4:26-39Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. 25Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake. 26Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.

27“Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’

28“Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’

“Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’

29“Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo. 3013:30 Mt 3:12Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’ ”

Mfano Wa Mbegu Ya Haradali

(Marko 4:30-32; Luka 13:18-19)

3113:31 Mt 17:20; Lk 17:6Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake. 3213:32 Za 104:12; Dan 4:12Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”

Mfano Wa Chachu

(Luka 13:20-21)

3313:33 Mt 13:24; Mwa 18:6; Gal 5:9Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”

Sababu Ya Yesu Kutumia Mifano

(Marko 4:33-34)

3413:34 Mk 4:33-34Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano. 3513:35 Za 78:2; 1Kor 2:7Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema:

“Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano;

nitahubiri mambo yaliyofichika

tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”

Ufafanuzi Wa Mfano Wa Magugu

3613:36 Mt 15:15; 13:24-30Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”

3713:37 Mt 8:20Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu. 3813:38 Yn 8:44-45; 1Yn 3:10Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu. 3913:39 Yoe 3:13; Mt 24:3; 28:20; Ufu 14:15Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika.

4013:40 Yn 15:6“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. 4113:41 Mt 8:20; 24:31Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote. 4213:42 Mt 13:50; 8:12Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno. 4313:43 Dan 12:3; Mt 11:15Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.

Mfano Wa Hazina Iliyofichwa Na Lulu

4413:44 Mt 13:24; Isa 55:1; Flp 3:7-8“Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”

4513:45 Mt 13:24“Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi. 4613:46 Mt 2:4; 3:14, 15; 8:10, 19Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”

Mfano Wa Wavu

4713:47 Mt 13:24; 22:9-10“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina. 48Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa. 4913:49 Mt 25:32Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. 5013:50 Mt 8:12Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”

51Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?”

Wakamjibu, “Ndiyo.”

5213:52 Wim 7:13Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”

Yesu Akataliwa Nazareti

(Marko 6:1-6; Luka 4:16-30)

5313:53 Mt 7:28Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka. 5413:54 Mt 4:23; 7:28Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?” 5513:55 Lk 3:23; Yn 6:42; Mt 12:46“Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 5613:56 Yn 7:15, 52Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?” 5713:57 Yn 6:61; Lk 4:24; Yn 4:44Wakachukizwa naye.

Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”

5813:58 Mk 6:5, 6Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.