มัทธิว 12 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

มัทธิว 12:1-50

เจ้าเหนือวันสะบาโต

(มก.2:23-28; 3:1-6; ลก.6:1-11)

1ครั้งนั้นพระเยซูเสด็จผ่านทุ่งนาในวันสะบาโต สาวกของพระองค์หิวจึงเด็ดรวงข้าวมากิน 2เมื่อพวกฟาริสีเห็นก็ทูลพระองค์ว่า “ดูเถิด! พวกศิษย์ของท่านทำสิ่งที่ผิดบัญญัติในวันสะบาโต”

3พระองค์ตรัสตอบว่า “พวกท่านไม่ได้อ่านหรือว่าดาวิดทำอะไรเมื่อเขากับพรรคพวกหิวโหย? 4ดาวิดเข้าไปในพระนิเวศของพระเจ้าและเขากับพวกกินขนมปังศักดิ์สิทธิ์ซึ่งขัดต่อบทบัญญัติ เพราะมีแต่ปุโรหิตเท่านั้นที่รับประทานขนมปังศักดิ์สิทธิ์ได้ 5ท่านไม่ได้อ่านในหนังสือบทบัญญัติหรือที่ว่าในวันสะบาโตปุโรหิตในพระวิหารทำงานของตนซึ่งเป็นการละเมิดกฎวันสะบาโต แต่ไม่มีความผิด? 6เราบอกท่านว่า ผู้12:6 หรือสิ่งเช่นเดียวกับข้อ 41 และ 42ซึ่งยิ่งใหญ่กว่าพระวิหารอยู่ที่นี่ 7หากท่านเข้าใจความหมายของข้อความที่ว่า ‘เราประสงค์ความเมตตา ไม่ใช่เครื่องบูชา’12:7 ฮชย. 6:6 ท่านก็คงจะไม่กล่าวโทษผู้ที่ไม่มีความผิด 8เพราะบุตรมนุษย์ทรงเป็นเจ้าเหนือวันสะบาโต”

9จากที่นั่นพระองค์เสด็จเข้าไปในธรรมศาลาของพวกเขา 10และชายมือลีบคนหนึ่งอยู่ที่นั่น พวกเขาหาเหตุที่จะจับผิดพระองค์จึงทูลถามว่า “การรักษาโรคในวันสะบาโตผิดบัญญัติหรือไม่?”

11พระองค์ตรัสแก่พวกเขาว่า “หากใครในพวกท่านมีแกะตัวหนึ่งและแกะนั้นตกบ่อในวันสะบาโต เขาจะไม่ฉุดดึงแกะขึ้นจากบ่อหรือ? 12คนๆ หนึ่งมีค่ายิ่งกว่าแกะตัวหนึ่งสักเพียงใด ฉะนั้นการทำความดีในวันสะบาโตก็ถูกต้องตามบทบัญญัติแล้ว”

13แล้วพระองค์ตรัสกับชายคนนั้นว่า “จงเหยียดมือออกมา” เขาจึงเหยียดมือออกและมือนั้นก็กลับเป็นปกติดีเหมือนมืออีกข้างหนึ่ง 14แต่พวกฟาริสีออกไปวางแผนกันว่าจะฆ่าพระเยซูได้อย่างไร

ผู้รับใช้ที่พระเจ้าทรงเลือก

15พระเยซูทรงทราบเช่นนี้จึงปลีกพระองค์ไปจากที่นั่น คนเป็นอันมากติดตามพระองค์มาและพระองค์ทรงรักษาคนป่วยของพวกเขาให้หายโรคทุกคน 16พระองค์ทรงเตือนพวกเขาไม่ให้แพร่งพรายว่าพระองค์คือใคร 17ทั้งนี้เป็นจริงตามที่ได้กล่าวไว้ผ่านทางผู้เผยพระวจนะอิสยาห์ว่า

18“นี่คือผู้รับใช้ของเราซึ่งเราเลือกสรรไว้

ผู้ที่เรารักและชื่นชม

เราจะส่งวิญญาณของเราลงมาเหนือเขา

และเขาจะประกาศความยุติธรรมแก่บรรดาประชาชาติ

19เขาจะไม่วิวาทหรือส่งเสียงร้อง

จะไม่มีผู้ใดได้ยินเสียงของเขาที่ถนน

20ไม้อ้อช้ำแล้วเขาจะไม่หัก

และไส้ตะเกียงที่ริบหรี่เขาจะไม่ดับ

จนกว่าเขาจะนำความยุติธรรมไปสู่ชัยชนะ

21บรรดาประชาชาติจะหวังใจในนามของเขา”12:21 อสย.42:1-4

พระเยซูกับเบเอลเซบุบ

(มก.3:23-27; ลก.11:17-22)

22แล้วเขาพาชายที่มีผีสิงคนหนึ่งซึ่งทั้งตาบอดและเป็นใบ้มาหาพระองค์ พระเยซูทรงรักษาคนนั้น เขาจึงพูดและมองเห็นได้ 23คนทั้งปวงก็ประหลาดใจและพูดกันว่า “เป็นไปได้ไหมที่คนนี้คือบุตรดาวิด?”

24แต่เมื่อพวกฟาริสีได้ยินก็พูดว่า “คนนี้ขับผีออกโดยอาศัยเบเอลเซบุบ12:24 ภาษากรีกว่าเบเซบูลหรือเบเอลเซบูลเช่นเดียวกับข้อ 27เจ้าแห่งผีเท่านั้นเอง”

25พระเยซูทรงทราบความคิดของพวกเขาจึงตรัสกับพวกเขาว่า “ทุกๆ อาณาจักรที่แตกแยกกันเองย่อมถูกทำลาย และทุกๆ บ้านเมืองหรือครัวเรือนที่แตกแยกกันเองย่อมตั้งอยู่ไม่ได้ 26หากซาตานขับไล่ซาตาน มันก็แตกแยกกับตัวเอง แล้วอาณาจักรของมันจะตั้งอยู่ได้อย่างไร? 27และหากเราขับผีออกโดยอาศัยเบเอลเซบุบ คนของพวกท่านเล่าขับผีออกโดยอาศัยใคร? ฉะนั้นพวกเขาจะตัดสินท่าน 28แต่หากเราขับผีออกโดยพระวิญญาณของพระเจ้า อาณาจักรของพระเจ้าก็มาถึงพวกท่านแล้ว

29“หรือคนจะสามารถเข้าไปในบ้านของคนที่แข็งแรงและขนเอาทรัพย์สินของเขาไปได้อย่างไร ถ้าไม่จับคนแข็งแรงนั้นมัดไว้ก่อน? จากนั้นจึงปล้นบ้านของเขาได้

30“ผู้ใดไม่อยู่ฝ่ายเราก็เป็นปฏิปักษ์กับเรา และผู้ใดไม่รวบรวมไว้ให้เราก็ทำให้กระจัดกระจายไป 31ฉะนั้นเราบอกท่านว่าบาปและการหมิ่นประมาททุกอย่างทรงอภัยให้มนุษย์ได้ แต่การหมิ่นประมาทพระวิญญาณทรงอภัยให้ไม่ได้ 32ผู้ใดกล่าวล่วงเกินบุตรมนุษย์จะทรงอภัยให้ แต่ผู้ใดกล่าวล่วงเกินพระวิญญาณบริสุทธิ์จะไม่ทรงอภัยให้ไม่ว่าในยุคนี้หรือในยุคหน้า

33“ถ้าต้นไม้ดีผลก็จะดี ถ้าต้นไม้เลวผลก็จะเลว เพราะจะรู้จักต้นไม้ได้ก็โดยผลของมัน 34เจ้าชาติงูร้าย เจ้าที่เป็นคนชั่วจะพูดสิ่งที่ดีได้อย่างไร? เพราะปากพูดสิ่งที่ล้นออกมาจากใจ 35คนดีนำสิ่งดีๆ ออกมาจากความดีที่สะสมไว้ในตัวเขา ส่วนคนชั่วนำสิ่งชั่วๆ ออกมาจากความชั่วที่สะสมอยู่ในตัวเขา 36แต่เราบอกท่านว่าในวันพิพากษามนุษย์จะต้องให้การเกี่ยวกับถ้อยคำพล่อยๆ ทุกคำที่เขาพูดออกมา 37เพราะท่านจะพ้นผิดหรือถูกลงโทษก็ขึ้นอยู่กับถ้อยคำของท่าน”

หมายสำคัญของโยนาห์

(ลก.11:24-26,29-32)

38แล้วมีบางคนในพวกฟาริสีและธรรมาจารย์มาทูลพระองค์ว่า “ท่านอาจารย์ เราอยากเห็นหมายสำคัญจากท่าน”

39พระองค์ตรัสว่า “คนในยุคที่ชั่วร้ายและทรยศต่อพระเจ้า ขอแต่หมายสำคัญ! แต่เขาจะไม่ได้รับหมายสำคัญอื่นยกเว้นหมายสำคัญของผู้เผยพระวจนะโยนาห์ 40เพราะโยนาห์อยู่ในท้องปลาใหญ่สามวันสามคืนฉันใด บุตรมนุษย์ก็จะอยู่ในใจกลางแผ่นดินโลกสามวันสามคืนฉันนั้น 41ในวันพิพากษาชาวนีนะเวห์จะยืนขึ้นพร้อมกับคนในยุคนี้และกล่าวโทษพวกเขาเพราะชาวนีนะเวห์ได้กลับใจใหม่โดยคำเทศนาของโยนาห์และบัดนี้ผู้12:41 หรือสิ่งเช่นเดียวกับข้อ 42ที่ยิ่งใหญ่กว่าโยนาห์ก็อยู่ที่นี่ 42ในวันพิพากษาราชินีแห่งแดนใต้จะลุกขึ้นพร้อมกับคนในยุคนี้และกล่าวโทษพวกเขา เพราะพระนางมาจากสุดโลกเพื่อรับฟังสติปัญญาของโซโลมอน และบัดนี้ผู้ที่ยิ่งใหญ่กว่าโซโลมอนก็อยู่ที่นี่

43“เมื่อวิญญาณชั่ว12:43 ภาษากรีกว่าโสโครกออกจากผู้ใดแล้ว มันก็ไปทั่วถิ่นแล้ง แสวงหาที่พักและไม่พบ 44มันจึงว่า ‘ข้าจะกลับไปยังบ้านที่ข้าจากมา’ พอมาถึงก็พบว่าบ้านนั้นว่างอยู่ เก็บกวาดสะอาด และจัดเป็นระเบียบเรียบร้อย 45จึงไปพาผีอื่นๆ อีกเจ็ดตนซึ่งชั่วร้ายยิ่งกว่ามันเข้ามาอาศัยที่นั่นด้วย และในที่สุดสภาพของคนนั้นก็เลวร้ายยิ่งกว่าตอนแรกเสียอีก คนในยุคที่ชั่วร้ายนี้ก็จะเป็นเช่นนั้น”

มารดาและน้องชายของพระเยซู

(มก.3:31-35; ลก.8:19-21)

46ขณะพระเยซูกำลังตรัสอยู่กับฝูงชน มารดาและบรรดาน้องชายของพระองค์มายืนอยู่ด้านนอกต้องการจะพูดกับพระองค์ 47มีผู้ทูลพระเยซูว่า “มารดาและน้องชายของท่านมายืนอยู่ด้านนอกต้องการจะพูดกับท่าน”12:47 สำเนาต้นฉบับบางสำเนาไม่มีข้อ 47

48พระเยซูจึงตรัสตอบเขาว่า “ใครคือมารดาและใครคือพี่น้องของเรา?” 49พระองค์ทรงชี้ไปที่เหล่าสาวกของพระองค์และตรัสว่า “นี่คือมารดาและพี่น้องของเรา 50เพราะผู้ใดทำตามพระประสงค์ของพระบิดาของเราในสวรรค์ ผู้นั้นคือมารดาและพี่น้องชายหญิงของเรา”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 12:1-50

Bwana Wa Sabato

(Marko 2:23-28; Luka 6:1-5)

112:1 Kum 23:25Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, nao wakaanza kuvunja masuke ya nafaka na kuyala. 212:2 Kut 20:10; Yn 9:6Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”

312:3 1Sam 21:1-6Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa? 412:4 Law 24:5-9Aliingia katika nyumba ya Mungu, akala mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya, isipokuwa makuhani peke yao. 512:5 Hes 28:9-10; Yn 7:22-23Au hamjasoma katika Sheria kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia? 612:6 Mt 12:41-42Nawaambia wazi kwamba, yeye aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa. 712:7 Hos 6:6; Mt 9:13Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia, 812:8 Mt 8:20kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono

(Marko 3:1-6; Luka 6:6-11)

912:9 Mk 3:1; Lk 6:6Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia ndani ya sinagogi lao, 1012:10 Lk 14:3; Yn 9:6na huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu, wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?”

1112:11 Lk 15:5Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa? 1212:12 Mt 6:26; 10:31Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

13Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine. 1412:14 Mwa 37:18; Yn 11:53Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Yesu jinsi watakavyoweza kumuua.

Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu

1512:15 Mt 4:23Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao, akaondoka mahali hapo. Watu wengi wakamfuata, naye akawaponya wagonjwa wao wote, 1612:16 Mt 8:4akiwakataza wasiseme yeye ni nani. 1712:17 Isa 42:1-4; 41:9Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:

1812:18 Mt 3:7; Isa 42:1-4; 41:9“Tazama mtumishi wangu niliyemchagua,

mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Nitaweka Roho wangu juu yake,

naye atatangaza haki kwa mataifa.

19Hatagombana wala hatapiga kelele,

wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

20Mwanzi uliopondeka hatauvunja,

na utambi unaofuka moshi hatauzima,

mpaka atakapoifanya haki ishinde.

2112:21 Isa 42:1-4Katika Jina lake mataifa

wataweka tumaini lao.”

Yesu Na Beelzebuli

(Marko 3:20-30; Luka 11:14-23)

2212:22 Mt 4:24; 9:32-33Kisha wakamletea mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, na alikuwa kipofu na bubu. Yesu akamponya, hata akaweza kusema na kuona. 2312:23 Mt 9:27Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

2412:24 Mk 3:22; Mt 9:34Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli,12:24 Beelzebuli au Beelzebubu; pia 12:27. mkuu wa pepo wachafu.”

2512:25 Mt 9:4Yesu alijua walichokuwa wakiwaza, hivyo akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila mji au watu wa nyumba moja waliogawanyika dhidi yao wenyewe hawawezi kusimama. 2612:26 Mt 4:10Kama Shetani akimtoa Shetani, atakuwa amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utawezaje kusimama? 2712:27 Mdo 19:13Nami kama natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, watu wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu. 2812:28 1Yn 3:8; Mt 3:2Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu.

2912:29 Isa 49:24-25; Lk 11:21-22“Au tena, mtu awezaje kuingia katika nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Akishamfunga, ndipo hakika anaweza kuteka nyara mali zake.

3012:30 Mk 9:40; Yn 11:52; Lk 11:23“Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya. 3112:31 Mk 3:28-29; Lk 12:10Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. 3212:32 Tit 2:12; Efe 1:21; Ebr 6:5Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao.

Mti Na Matunda Yake

(Luka 6:43-45)

3312:33 Mt 7:16-17; Lk 6:43-44“Ufanye mti kuwa mzuri, nayo matunda yake yatakuwa mazuri. Au ufanye mti kuwa mbaya, na matunda yake yatakuwa mabaya. Kwa maana mti hutambulika kwa matunda yake. 3412:34 Mt 3:7; 23:33; 15:18; Yn 8:43Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake. 3512:35 Lk 6:45Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka hazina ya mambo mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka hazina ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake. 36Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo maana walilonena. 37Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Ishara Ya Yona

(Marko 8:11-12; Luka 11:29-32)

3812:38 Yn 6:30; 1Kor 1:22Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

3912:39 Yn 1:7; Mt 8:20; 16:21Lakini yeye akawajibu, “Kizazi kiovu na cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ishara ya nabii Yona. 4012:40 Yn 2:1, 2; 1:17; Mt 8:20; 16:21Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la nyangumi12:40 Nyangumi ni samaki mkubwa sana. kwa siku tatu, usiku na mchana, vivyo hivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku tatu, usiku na mchana. 4112:41 Yn 1:2; 3:15Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona. 4212:42 1Fal 10:2; 2Nya 9:1Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.”

Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu

(Luka 11:24-26)

43“Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. 44Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’ Naye arudipo huikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri. 4512:45 2Pet 2:20Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu.”

Mama Na Ndugu Zake Yesu

(Marko 3:31-35; Luka 8:19-21)

4612:46 Lk 11:24; Ay 1:7; 1Pet 5:8Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye. 47Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”

4812:48 Lk 2:49Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?” 49Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu! 5012:50 Mt 6:10; Yn 15:14Kwa maana yeyote afanyaye mapenzi ya Baba yangu wa mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.”