آمادگی برای بنای خانهٔ خدا
(اول پادشاهان 5:1-18، 7:13،14)
1سليمان تصميم گرفت خانهای برای عبادت خداوند و قصری برای خودش بسازد. 2اين كار احتياج به هفتاد هزار كارگر، هشتاد هزار سنگتراش و سه هزار و ششصد سركارگر داشت. 3سليمان قاصدی را با اين پيام نزد حيرام، پادشاه صور فرستاد: «همانطور كه برای پدرم داوود چوب سرو فرستادی تا قصر خود را بسازد، برای من هم بفرست. 4در نظر دارم خانهای برای عبادت خداوند، خدای خود بسازم تا در آن مكان مقدس در حضور خداوند بخور خوشبو بسوزانيم و نان مقدس را به طور مرتب در خانهٔ خدا بگذاريم و هر روز صبح و عصر و روزهای سَبَت و در جشنهای ماه نو و ساير عيدهای خداوند، خدايمان در آنجا قربانی تقديم كنيم زيرا اين حكم خدا به قوم اسرائيل است. 5میخواهم برای خدا خانهٔ بزرگی بسازم، زيرا خدای ما از جميع خدايان بزرگتر است. 6اما چه كسی میتواند خانهای كه شايستهٔ او باشد، بسازد؟ حتی آسمانها نيز گنجايش او را ندارند! من كيستم كه برای او خانهای بسازم؟ اين مكانی كه میسازم فقط عبادتگاهی خواهد بود كه در آن برای عبادت او بخور بسوزانيم.
7«پس صنعتگر ماهری برايم بفرست كه زرگری، نقرهكاری و فلزكاری بداند و در بافتن پارچههای ارغوانی، قرمز و آبی ماهر باشد. در ضمن، او بايد حكاكی نيز بداند تا در كنار صنعتگران يهودا و اورشليم كه پدرم داوود آنها را برگزيده، كار كند. 8همچنين چوبهای سرو، صنوبر و صندل از جنگلهای لبنان برای من بفرست، زيرا افراد تو در بريدن چوب ماهر هستند و مردان من هم به ايشان كمک خواهند كرد. 9مقدار زيادی چوب لازم است، چون خانهای كه میخواهم بسازم بسيار بزرگ و باشكوه است. 10من دو هزار تن گندم و دو هزار تن جو، چهارصد هزار ليتر شراب و چهارصد هزار ليتر روغن زيتون به چوببران تو خواهم داد.»
11حيرام پادشاه در جواب سليمان چنين نوشت: «چون خداوند قوم خود را دوست دارد به همين جهت تو را پادشاه آنها كرده است. 12خداوند، خدای اسرائيل را كه آفرينندهٔ آسمان و زمين است شكر و سپاس باد كه چنين پسر دانا و هوشيار و فهميدهای به داوود داده تا عبادتگاهی برای خداوند و قصری برای خود بسازد.
13«من صنعتگر پدرم، حورام را میفرستم. او مردی دانا و با استعداد است. 14مادرش يهودی و از قبيلهٔ دان است و پدرش اهل صور میباشد. او در زرگری و نقرهكاری و فلزكاری بسيار ماهر است. در ضمن در سنگتراشی و نجاری و نساجی سررشته دارد. در حكاكی تجربهٔ زيادی دارد و از عهدهٔ انجام هر طرحی برمیآيد. او با صنعتگران تو و آنانی كه سرور من داوود تعيين كرده، كار خواهد كرد. 15پس گندم، جو، روغن زيتون و شرابی را كه وعده دادهای، بفرست. 16ما نيز از کوههای لبنان به قدر احتياج الوار تهيه خواهيم كرد و آنها را به هم بسته، به آب میاندازيم و از كنار دريا به طور شناور به يافا میآوريم. از آنجا تو میتوانی آنها را تحويل گرفته، به اورشليم ببری.»
17در اين هنگام سليمان تمام بيگانههای اسرائيل را سرشماری كرد؛ تعداد آنها ۱۵۳,۶۰۰ نفر بود. (اين سرشماری غير از سرشماری بود كه داوود به عمل آورده بود.) 18سليمان ۷۰,۰۰۰ نفر از آنها را برای حمل بار، ۸۰,۰۰۰ نفر را برای تراشيدن سنگ در كوهستان و ۳,۶۰۰ نفر را به عنوان سركارگر تعيين كرد.
Maandalizi Ya Kujenga Hekalu
(1 Wafalme 5:1-18)
12:1 Kum 12:5; 1Fal 5:5; Mhu 2:14Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe. 22:2 2Nya 10:4; 1Fal 5:15Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
32:3 2Sam 5:11; 1Nya 14:1Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro:
“Unitumie magogo ya mierezi kama ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake la kifalme la kuishi. 42:4 Kut 12:5; 25:30; Law 24:8; Kut 29:42; Hes 28:10; Kut 30:7; Mt 12:4Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za Bwana Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.
52:5 1Nya 22:5; 16:25; Za 135:5; Kut 15:11; Za 86:8-9; Yer 10:6“Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa, kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote. 62:6 1Fal 8:27; Yer 23:24; 2Nya 6:28; Kut 3:11; Isa 66:1Lakini ni nani awezaye kumjengea Hekalu, maadamu mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kumtosha? Mimi ni nani basi hata nimjengee Hekalu, isipokuwa liwe tu mahali pa kutolea dhabihu za kuteketezwa mbele zake?
72:7 Kut 35:31; 1Nya 22:16“Hivyo basi nitumie mtu mwenye ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi za rangi ya zambarau, nyekundu na buluu, mwenye uzoefu wa kutia nakshi, ili afanye kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu wenye ustadi, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.
82:8 1Fal 5:6; 19:11“Pia nitumie magogo ya mierezi, miberoshi na misandali kutoka Lebanoni kwa maana najua kwamba watu wako wanao ujuzi wa kupasua mbao huko. Watu wangu watafanya kazi pamoja na watu wako 9ili wanipatie mbao kwa wingi kwa sababu Hekalu nitakalojenga lazima liwe kubwa na zuri kabisa. 102:10 1Fal 5:11; Ezr 3:7Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,0002:10 Kori 20,000 za ngano ni sawa na lita 4,400. za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,0002:10 Bathi 20,000 za mvinyo au mafuta ni sawa na lita 440,000. za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.”
112:11 1Fal 10:9; 2Nya 9:8; Kum 33:3Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Solomoni kwa barua:
“Kwa sababu Bwana anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.”
122:12 Neh 9:6; Mdo 4:24; Za 146:6; 1Fal 5:7; Za 33:6; 102:25; Ufu 10:6Naye Hiramu akaongeza kusema:
“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
132:13 1Fal 7:13“Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi, 142:14 Kut 31:6; 35:31-35; 1Fal 7:13ambaye mama yake alitoka Dani na baba yake alitoka Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya zambarau, buluu, nyekundu na nguo za kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza mchoro wowote wa kazi anayopewa. Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa bwana wangu, Daudi baba yako.
15“Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi, 162:16 Yos 19:46; Mdo 9:36; Yon 1:3; 1Fal 5:8nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji kutoka Lebanoni nasi tutayafunga pamoja na kuyaweka yaelee baharini mpaka Yafa. Kisha utaweza kuyachukua mpaka Yerusalemu.”
172:17 1Nya 22:2; 2Sam 24:2; 2Nya 8:7-8; 1Fal 5:1Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600. 18Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.