دوم تواريخ 1 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

دوم تواريخ 1:1-17

دعای سليمان برای كسب حكمت

(اول پادشاهان 3‏:1‏-15)

1سليمان، پسر داوود پادشاه بر تمام قلمرو اسرائيل مسلط شد زيرا خداوند، خدايش با او بود و به او قدرت بخشيده بود. 2‏-3او تمام فرماندهان سپاه، مقامات مملكتی و ساير رهبران اسرائيل را احضار كرد تا همراه او به جبعون بروند. در آنجا ايشان را به خيمهٔ عبادت قديمی1‏:2‏و3 موسی حدود ۵۰۰ سال قبل از سلطنت سليمان، خيمهٔ عبادت را بر پا داشته بود.‏ كه بوسيلهٔ موسی خدمتگزار خدا بر پا شده بود، برد. موسی اين خيمه را هنگامی ساخت كه بنی‌اسرائيل هنوز در بيابان سرگردان بودند. 4(بعد داوود پادشاه، خيمه‌ای ديگر در اورشليم بر پا نمود و صندوق عهد خداوند را از قريت يعاريم به آنجا انتقال داد.) 5‏-6قربانگاه مفرغی كه بصل‌ئيل (پسر اوری، نوهٔ حور) ساخته بود، هنوز جلو خيمهٔ عبادت قرار داشت. سليمان و كسانی كه دعوت شده بودند، جلو قربانگاه جمع شده، خداوند را عبادت كردند و سليمان برای خداوند هزار قربانی سوختنی تقديم كرد.

7آن شب خدا به سليمان ظاهر شد و به او فرمود: «هر چه می‌خواهی از من درخواست كن تا به تو بدهم.»

8سليمان عرض كرد: «ای خدا، تو به پدرم داوود بسيار محبت نشان دادی و حالا هم تاج و تخت او را به من بخشيده‌ای 9و مرا پادشاه قومی ساخته‌ای كه مثل غبار زمين بی‌شمارند. پس به وعده‌ای كه به پدرم داوود دادی وفا كن 10و به من حكمت و معرفت ببخش تا بتوانم اين مردم را اداره كنم، زيرا كيست كه بتواند اين قوم عظيم تو را اداره كند؟»

11خداوند فرمود: «حال كه بزرگترين آرزوی تو اين است، و تو خواهان ثروت و افتخار و طول عمر نبودی و مرگ دشمنانت را از من نخواستی، بلكه خواستی به تو حكمت و بصيرت ببخشم تا قوم مرا رهبری و اداره كنی، 12پس من هم، حكمت و بصيرتی را كه درخواست نمودی به تو می‌دهم. در ضمن چنان ثروت و افتخاری به تو می‌بخشم كه هيچ پادشاهی تا به حال آن را نداشته و بعد از اين نيز نخواهد داشت.» 13بنابراين سليمان از خيمهٔ عبادت بالای تپهٔ جبعون به زير آمد و به اورشليم بازگشت تا بر قوم اسرائيل فرمانروايی كند.

ثروت و شهرت سليمان

(اول پادشاهان 10‏:26‏-29 و دوم تواريخ 9‏:25‏-28)

14سليمان هزار و چهارصد عرابه و دوازده هزار اسب داشت كه برخی را در پايتخت و بقيه را در شهرهای ديگر نگه می‌داشت. 15در روزگار سليمان، نقره و طلا در اورشليم مثل ريگ بيابان فراوان بود! و الوارهای گرانبهای سرو، مانند چوب معمولی مصرف می‌شد! 16اسبهای سليمان را از مصر و قيليقيه می‌آوردند و تاجران سليمان همه را يكجا به قيمتهای عمده می‌خريدند. 17قيمت يک عرابهٔ مصری ششصد مثقال نقره و قيمت يک اسب، صد و پنجاه مثقال نقره بود. آنها همچنين اسبهای اضافی را به پادشاهان حيتی و سوری می‌فروختند.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 1:1-17

Solomoni Aomba Hekima

(1 Wafalme 3:1-15)

11:1 1Fal 2:26; 2Nya 12:1; Mwa 39:2; Hes 14:43; 1Nya 29:25; Mwa 21:22; 1Nya 17:8; Mt 28:20Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.

21:2 1Nya 28:1; 2Nya 29:20; 30:2Ndipo Solomoni akasema na Israeli wote, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, waamuzi na viongozi wote katika Israeli, pamoja na wakuu wa jamaa. 31:3 Law 17:4; Kut 36:8; 40:18; 1Fal 3:4Naye Solomoni na kusanyiko lote wakakwea mpaka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kwa kuwa huko ndiko Hema la Kukutania la Mungu lilipokuwa, ambalo Mose mtumishi wa Bwana alikuwa amelitengeneza huko jangwani. 41:4 2Sam 6:2, 17; 1Nya 15:25Basi Daudi alikuwa amelipandisha Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu mpaka mahali alipokuwa amepatengeneza kwa ajili yake, kwa sababu alikuwa amesimamisha hema kwa ajili ya hilo Sanduku huko Yerusalemu. 51:5 Kut 38:2; 31:2; 1Nya 13:3Lakini yale madhabahu ya shaba ambayo Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, alikuwa ametengeneza yalikuwa huko Gibeoni mbele ya Maskani ya Bwana Mungu, hivyo Solomoni na kusanyiko lote walimtafuta Mungu huko. 61:6 1Fal 3:4Solomoni akapanda huko yalikokuwa madhabahu ya shaba mbele za Bwana katika Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu 1,000 za sadaka za kuteketezwa juu yake.

71:7 2Nya 7:12; Isa 58:9; 1Fal 3:5; Mit 3:5Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”

81:8 1Nya 23:1; 28:5Solomoni akamjibu Mungu, “Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake. 91:9 2Sam 7:25; 1Fal 8:25; Mwa 12:2Sasa, Bwana Mungu, ahadi yako kwa baba yangu Daudi na ithibitike, kwa kuwa umenifanya mimi mfalme juu ya watu ambao ni wengi kama mavumbi ya nchi. 101:10 Hes 27:17; Mit 8:15-16; Kum 31:2; 1Fal 3:9; Za 119:34; Mit 3:13; Yak 1:5Nakuomba unipe mimi hekima na maarifa, ili niweze kuongoza watu hawa, kwa kuwa ni nani awezaye kutawala hawa watu wako walio wengi hivi?”

111:11 Kum 17:17; 1Sam 16:7; 1Fal 3:11; 8:18Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa jambo hili ndilo shauku ya moyo wako na hukuomba mali, utajiri au heshima, wala kifo kwa ajili ya adui zako, nawe kwa kuwa hukuomba maisha marefu, bali umeomba hekima na maarifa ili kuongoza watu wangu ambao nimekufanya uwe mfalme juu yao, 121:12 1Nya 29:12-25; Neh 13:26; Efe 3:20; 2Nya 9:22; Za 34:9-10; Mt 6:33; Mhu 2:9kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”

Fahari Ya Solomoni

(1 Wafalme 10:26-29)

13Ndipo Solomoni akaenda mpaka Yerusalemu kutoka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kutoka mbele ya Hema la Kukutania. Naye akatawala Israeli.

141:14 1Sam 8:11; 1Fal 9:19; 4:26Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu. 151:15 1Fal 9:28; Isa 60:5; Ay 22:24; 1Fal 10:27Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani. 16Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.1:16 Yaani Kilikia. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue. 171:17 Wim 1:9Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 6001:17 Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7. za fedha, na farasi kwa shekeli 150.1:17 Shekeli 150 ni sawa na kilo 1.7. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.