Zaburi 96
Mungu Mfalme Mkuu
(1 Nyakati 16:23-33)
196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
mwimbieni Bwana dunia yote.
296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;
yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,
lakini Bwana aliziumba mbingu.
696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;
nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.
896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
leteni sadaka na mje katika nyua zake.
996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
dunia yote na itetemeke mbele zake.
1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”
Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;
atawahukumu watu kwa uadilifu.
1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;
bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,
pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,
anakuja kuihukumu dunia.
Ataihukumu dunia kwa haki,
na mataifa katika kweli yake.
96
1世界中どこででも、
主に新しい歌をささげましょう。
2賛美の声を上げましょう。
日ごと、だれかに、神の救いを人々に知らせましょう。
3栄光に輝く主を世界中に伝え、
神のお働きを話して聞かせましょう。
4主は、ことばで言い表せないほど偉大で、
大いにほめたたえられるべきお方です。
他の神々には目もくれず、
このお方だけを礼拝しなさい。
5他国の神々は、人が作った偶像にすぎません。
しかし私たちの主は、天を造られたお方です。
6栄誉と威光が神を包み、
力と美が宮に立ちこめています。
7世界の国々よ、
主だけに栄光と力があることを認めなさい。
8主にふさわしい栄誉をささげ、
供え物を携えて来て礼拝しなさい。
9きよい生活を守ることによって主を礼拝しなさい。
全地は神の前で震えおののきなさい。
10諸国民に、主の支配が行き渡ると告げなさい。
神の権威はいつまでも落ちることなく、
主はすべての国を公平にさばかれるのです。
11天は喜び、地は小躍りしなさい。
見渡す限りの海は、
鳴りとどろいて神の栄光を伝えなさい。
12青々とした野原を見て、ほめたたえなさい。
草の一本一本が、主の偉大さを物語っているのです。
森の木々も、こずえを鳴らして賛美しなさい。
13主は世界をさばくために来てくださり、
公平で真実なさばきを下されます。