Zaburi 95
Wimbo Wa Kumsifu Mungu
195:1 Za 34:11; 80:2; 5:11; 81:1; Isa 44:23; Sef 3:14; 2Sam 22:47Njooni, tumwimbie Bwana kwa furaha;
tumfanyie kelele za shangwe
Mwamba wa wokovu wetu.
295:2 Za 42:4; 81:2; 100:2; Mik 6:6; Efe 5:19Tuje mbele zake kwa shukrani,
tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.
395:3 Za 48:1; 86:10; 145:3; 147:5; 47:2; 96:4; 97:9Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu,
mfalme mkuu juu ya miungu yote.
495:4 Za 63:9Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,
na vilele vya milima ni mali yake.
595:5 Mwa 1:9; Za 146:6Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,
na mikono yake iliumba nchi kavu.
695:6 Flp 2:10; Efe 3:14; 2Nya 6:13; 1Kor 6:20; 2Sam 12:16; Za 22:29; 100:3; 149:2; Lk 22:41; Isa 17:7; 54:5; Dan 6:10, 11; Ezr 9:5; 1Fal 8:54; Hos 8:14; Yn 1:3; Ay 35:10Njooni, tusujudu, tumwabudu,
tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,
795:7 Za 74:1; Ebr 3:7kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,
na sisi ni watu wa malisho yake,
kondoo chini ya utunzaji wake.
Kama mkiisikia sauti yake leo,
895:8 Hes 14:22; Mk 10:5; Kut 17:7; Kum 33:8; Ebr 4:7; 3:8, 15; Za 78:40msiifanye mioyo yenu migumu
kama mlivyofanya kule Meriba,95:8 Meriba maana yake ni Kugombana.
kama mlivyofanya siku ile
kule Masa95:8 Masa maana yake ni Kujaribiwa. jangwani,
995:9 Hes 14:22; 1Kor 10:9ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,
ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.
1095:10 Hes 14:34; Mdo 7:36; Isa 53:6; Ebr 3:10, 17; Za 119:67, 176; 58:3; Kut 16:35; Mit 12:26; 16:29; Yer 31:19; 50:6; Eze 34:6; Kum 8:6Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,
nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka,
nao hawajazijua njia zangu.”
1195:11 Hes 14:23; Kum 1:35; Ebr 4:3; 3:7-11Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,
“Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
95
1さあ、主をたたえましょう。
救いの岩である神に向かって、
喜びの声を上げましょう。
2感謝の思いを込めて御前に近づき、
賛美の歌をささげましょう。
3主は、どんな神にもまさる偉大な王であられます。
4主は地中深いところも、そびえ立つ高い山々も、
支配しておられます。
すべてのものは主のものです。
5主は海と陸をお造りになりました。
それらは主のものです。
6さあ、創造主である主の前に出て、
ひざまずきましょう。
7私たちは神の羊であり、神は羊飼いなのです。
今日、呼びかけられる声を聞いたなら、
神のもとへ行きましょう。
8荒野のメリバやマサでのイスラエル国民のように、
強情になってはいけません(出エジプト17・7参照)。
9あの時、あなたがたの先祖は、
わたしの奇跡を何度も目にしながら、
信じようとしなかった。
わたしがどこまで忍耐するかを試そうとするように、
彼らは不平やぐちを言い続けた。
10「この四十年間、
わたしは苦々しい思いで民を見すえてきた。
心も思いも遠く離れているこの民は、
わたしのおきてに見向きもしなかった。
11だから、わたしは激しい怒りを込めて誓った。
彼らに約束した安息の地へ、
彼らが入ることは決してない。」