Zaburi 76 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 76:1-12

Zaburi 76

Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote

Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.

176:1 Za 99:3Katika Yuda, Mungu anajulikana,

jina lake ni kuu katika Israeli.

276:2 Mwa 14:18; Ebr 7:1; Za 2:6; 2Sam 5:7Hema lake liko Salemu,

makao yake katika Sayuni.

376:3 Za 46:9; Eze 39:9Huko alivunja mishale imetametayo,

ngao na panga, silaha za vita.

476:4 Za 36:9; Eze 38:12Wewe unangʼaa kwa mwanga,

mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

576:5 Amu 20:44; Za 13:3; Mt 9:24; Isa 46:12; Yer 51:39Mashujaa hulala wametekwa nyara,

hulala usingizi wao wa mwisho;

hakuna hata mmoja wa watu wa vita

anayeweza kuinua mikono yake.

676:6 Kut 15:1; Zek 12:4; Nah 2:13; Za 50:21Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,

farasi na gari la vita vilikaa kimya.

776:7 Ay 41:10; Nah 1:6; 1Nya 16:25; Ezr 9:15; Ufu 6:17; Za 2:5Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.

Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?

876:8 1Nya 16:30; Eze 38:20Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,

nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:

976:9 Za 9:8; 58:11; 74:22; 82:8; 96:13; 72:4wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,

kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

1076:10 Kut 9:16; Rum 9:17Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,

na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.

1176:11 Mhu 5:4-5; Za 68:35; Law 22:18; Za 50:14; 2Nya 32:23Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;

nchi zote za jirani na walete zawadi

kwa Yule astahiliye kuogopwa.

12Huvunja roho za watawala;

anaogopwa na wafalme wa dunia.

Korean Living Bible

시편 76:1-12

승리의 찬가

(아삽의 시. 성가대 지휘자를 따라 현악기에 맞춰 부른 노래)

1유다에 알려지신 하나님,

그의 이름은 이스라엘에서

위대하시다!

2그는 76:2 또는 ‘살렘에’예루살렘에

거처를 정하시고

시온산에 계신다.

3그는 거기서 적의 화살과

방패와 칼과 그 밖의 모든 무기를

꺾어 버리셨다.

4하나님이시여,

76:4 또는 ‘주는 영화로우시며 약탈한 산에서 존귀하시도다’주의 대적을 무찌르신 산에서

돌아오실 때

주는 영광스럽고

위엄이 있습니다.

5용감한 병사들이 약탈을 당하고

죽음의 잠을 자고 있으니

제아무리 장사라도

자기 손을 들어올릴 수 없습니다.

6야곱의 하나님이시여,

주께서 꾸짖으시므로

전차와 말이 다 엎드러졌습니다.

7주는 모든 사람들이

두려워할 분이십니다.

주께서 노하실 때

누가 감히 주 앞에

설 수 있겠습니까?

8주께서 하늘에서

판결을 선포하실 때

세상이 두려워 잠잠하였으니

9하나님이 땅에서

고통당하는 자들을

구원하시려고 심판하러

일어나신 때였습니다.

1076:10 원문의 뜻이 분명치 않다.사람의 분노는 결국

주께 영광을 가져다 주며

주는 그것을

하나의 도구로 사용하십니다.

11너희는 여호와 너희 하나님께

서약한 것을 지켜라.

너희 주변에 있는 민족들도

마땅히 두려워해야 할 분에게

예물을 드리게 하라.

12그가 통치자들의

교만한 정신을 꺾으시니

세상 왕들이

그를 두려워하는구나.