Zaburi 76
Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
176:1 Za 99:3Katika Yuda, Mungu anajulikana,
jina lake ni kuu katika Israeli.
276:2 Mwa 14:18; Ebr 7:1; Za 2:6; 2Sam 5:7Hema lake liko Salemu,
makao yake katika Sayuni.
376:3 Za 46:9; Eze 39:9Huko alivunja mishale imetametayo,
ngao na panga, silaha za vita.
476:4 Za 36:9; Eze 38:12Wewe unangʼaa kwa mwanga,
mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
576:5 Amu 20:44; Za 13:3; Mt 9:24; Isa 46:12; Yer 51:39Mashujaa hulala wametekwa nyara,
hulala usingizi wao wa mwisho;
hakuna hata mmoja wa watu wa vita
anayeweza kuinua mikono yake.
676:6 Kut 15:1; Zek 12:4; Nah 2:13; Za 50:21Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,
farasi na gari la vita vilikaa kimya.
776:7 Ay 41:10; Nah 1:6; 1Nya 16:25; Ezr 9:15; Ufu 6:17; Za 2:5Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.
Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
876:8 1Nya 16:30; Eze 38:20Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,
nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
976:9 Za 9:8; 58:11; 74:22; 82:8; 96:13; 72:4wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,
kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
1076:10 Kut 9:16; Rum 9:17Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,
na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
1176:11 Mhu 5:4-5; Za 68:35; Law 22:18; Za 50:14; 2Nya 32:23Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza;
nchi zote za jirani na walete zawadi
kwa Yule astahiliye kuogopwa.
12Huvunja roho za watawala;
anaogopwa na wafalme wa dunia.
승리의 찬가
(아삽의 시. 성가대 지휘자를 따라 현악기에 맞춰 부른 노래)
1유다에 알려지신 하나님,
그의 이름은 이스라엘에서
위대하시다!
2그는 76:2 또는 ‘살렘에’예루살렘에
거처를 정하시고
시온산에 계신다.
3그는 거기서 적의 화살과
방패와 칼과 그 밖의 모든 무기를
꺾어 버리셨다.
4하나님이시여,
76:4 또는 ‘주는 영화로우시며 약탈한 산에서 존귀하시도다’주의 대적을 무찌르신 산에서
돌아오실 때
주는 영광스럽고
위엄이 있습니다.
5용감한 병사들이 약탈을 당하고
죽음의 잠을 자고 있으니
제아무리 장사라도
자기 손을 들어올릴 수 없습니다.
6야곱의 하나님이시여,
주께서 꾸짖으시므로
전차와 말이 다 엎드러졌습니다.
7주는 모든 사람들이
두려워할 분이십니다.
주께서 노하실 때
누가 감히 주 앞에
설 수 있겠습니까?
8주께서 하늘에서
판결을 선포하실 때
세상이 두려워 잠잠하였으니
9하나님이 땅에서
고통당하는 자들을
구원하시려고 심판하러
일어나신 때였습니다.
1076:10 원문의 뜻이 분명치 않다.사람의 분노는 결국
주께 영광을 가져다 주며
주는 그것을
하나의 도구로 사용하십니다.
11너희는 여호와 너희 하나님께
서약한 것을 지켜라.
너희 주변에 있는 민족들도
마땅히 두려워해야 할 분에게
예물을 드리게 하라.
12그가 통치자들의
교만한 정신을 꺾으시니
세상 왕들이
그를 두려워하는구나.