Zaburi 75 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 75:1-10

Zaburi 75

Mungu Ni Mwamuzi

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.

175:1 Yos 3:5; Za 44:1; 71:16; 77:12; 105:2; 107:8, 15; 145:5, 12, 18Ee Mungu, tunakushukuru,

tunakushukuru wewe,

kwa kuwa jina lako li karibu;

watu husimulia matendo yako ya ajabu.

275:2 Kut 13:10; Za 7:11Unasema, “Ninachagua wakati maalum;

ni mimi nihukumuye kwa haki.

375:3 Ebr 1:3; Isa 24:19; 1Sam 2:8; 2Sam 22:8Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,

ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.

475:4 Za 5:5; Zek 1:21; 1Sam 2:3Kwa wale wenye majivuno ninasema,

‘Msijisifu tena,’

kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.

575:5 Ay 15:25Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;

msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’ ”

6Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi

au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.

775:7 Mwa 16:5; Ufu 18:8; 1Sam 2:7; Ay 5:11; Za 50:6; 58:11; 147:6; Eze 21:26; Dan 2:21; Lk 1:52Bali Mungu ndiye ahukumuye:

Humshusha huyu na kumkweza mwingine.

875:8 Mit 23:30; Isa 51:17; Yer 25:15; Zek 12:2; Ufu 14:10; Ay 21:20Mkononi mwa Bwana kuna kikombe

kilichojaa mvinyo unaotoka povu

uliochanganywa na vikolezo;

huumimina, nao waovu wote wa dunia

hunywa mpaka tone la mwisho.

975:9 Za 40:10; 76:6; 108:1; Mwa 24:12Bali mimi, nitatangaza hili milele;

nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.

1075:10 Za 89:17; 92:10; 112:9; 148:14Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,

bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.

Korean Living Bible

시편 75:1-10

의로운 심판에 대한 감사

(아삽의 시. ‘멸하지 말라’ 는 곡조에 맞춰 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)

1하나님이시여,

우리가 주께 감사하고

감사하는 것은

주께서 행하신 놀라운 일이

주가 우리와 가까이 계심을

선포하기 때문입니다.

2주께서 말씀하셨습니다.

“정한 때가 되면

내가 공정하게 재판하리라.

3땅과 세상 모든 민족이

흔들릴지라도

땅의 기둥은 확고할 것이니

내가 그 기둥을 세웠음이라.

4나는 교만한 자들에게

거만을 부리지 말라고 경고했으며

악인들에게 거만한 콧대를

낮추라고 하였다.

5너희는 허세를 부리며

교만하게 말하지 말아라.”

6사람을 높이는 일은

세상의 그 누구도 할 수 없으며

7오직 재판장이 되시는 하나님만이

사람을 높이기도 하시고

낮추기도 하신다.

8여호와의 손에

분노의 포도주가 담긴 잔이 있어

거품이 이는구나.

그가 그것을 쏟으시면

세상의 모든 악인들이

그 분노의 포도주를

찌꺼기까지 다 마셔야 할 것이다.

9그러나 나는 항상

야곱의 하나님을 선포하고

그를 찬양하리라.

10그가 악인들의 힘을

꺾어 버리실 것이나

의로운 자들은

힘을 얻게 하실 것이다.