Zaburi 71
Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha
171:1 Kum 23:15; Rut 2:12; Za 22:5Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,
usiache nikaaibika kamwe.
271:2 2Fal 19:1671:2 Kut 34:6Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,
unitegee sikio lako uniokoe.
371:3 Za 18:2Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,
mahali nitakapokimbilia kila wakati;
toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe
ni mwamba wangu na ngome yangu.
471:4 2Fal 19:19; Za 140:4; Mwa 48:16Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,
kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.
571:5 Za 9:18; 25:5; Ay 4:6; Yer 17:7Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi,
tegemeo langu tangu ujana wangu.
671:6 Ay 3:16; Za 9:1; 22:9; 34:1; 52:9; 119:164; 145:2Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,
ulinitoa tumboni mwa mama yangu.
Nitakusifu wewe daima.
771:7 Kum 28:46; 1Kor 4:9; Za 61:3; 2Sam 22:3Nimekuwa kama kioja kwa wengi,
lakini wewe ni kimbilio langu imara.
871:8 Za 71:15; 51:15; 63:5; 96:6; 104:1Kinywa changu kimejazwa sifa zako,
nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
971:9 Za 51:11; 92:14; Kum 4:31; 31:6Usinitupe wakati wa uzee,
wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
1071:10 Za 3:7; 10:8; 59:3; 31:13; Mt 1:10; 12:14Kwa maana adui zangu wananisengenya,
wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
1171:11 Isa 40:27; 54:7; Mt 27:46; Za 7:2; 9:10; Mao 5:20Wanasema, “Mungu amemwacha,
mkimbilieni mkamkamate,
kwani hakuna wa kumwokoa.”
1271:12 Za 38:21, 22; 22:19Ee Mungu, usiwe mbali nami,
njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.
1371:13 Ay 8:22; Za 15:3; 70:2; Yer 18:19Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,
wale wanaotaka kunidhuru
na wafunikwe kwa dharau na fedheha.
1471:14 Za 25:3; 42:5; 130:7; 131:3Lakini mimi, nitatumaini siku zote,
nitakusifu zaidi na zaidi.
1571:15 Za 71:8; 66:6; 51:14Kinywa changu kitasimulia haki yako,
wokovu wako mchana kutwa,
ingawa sifahamu kipimo chake.
1671:16 Za 77:12; 106:2; 118:15; 9:1; 145:4Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja
na kutangaza matendo yako makuu,
nitatangaza haki yako, yako peke yako.
1771:17 Yer 7:13; Ay 5:9; Za 26:7; 86:10; 96:3; Kum 4:5Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,
hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.
1871:18 Isa 46:4; Kut 9:16; Ay 8:8; Yoe 1:3; Za 78:4; 145:4; 22:30, 31Ee Mungu, usiniache,
hata niwapo mzee wa mvi,
mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,
nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.
1971:19 Lk 1:49; Za 36:5; 35:10; 77:13; 89:8; 126:2Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,
wewe ambaye umefanya mambo makuu.
Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?
2071:20 Za 80:3, 19; 25:17; 85:4; 63:9; Hos 6:2Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,
utanihuisha tena,
kutoka vilindi vya dunia
utaniinua tena.
2171:21 Za 18:35; 86:17; Isa 12:1; 40:1, 2; 49:13; 54:10Utaongeza heshima yangu
na kunifariji tena.
2271:22 Za 33:2; 92:3; 144:9; Ay 21:12; 2Fal 19:22Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi
kwa ajili ya uaminifu wako;
Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,
nitakuimbia sifa kwa zeze.
2371:23 Za 20:5; Kut 15:13Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha
ninapokuimbia sifa,
mimi, ambaye umenikomboa.
2471:24 Za 35:28; Es 9:2Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki
mchana kutwa,
kwa maana wale waliotaka kunidhuru,
wameaibishwa na kufadhaishwa.
Ne m’abandonne pas dans ma vieillesse
1C’est en toi, Eternel, ╵que je cherche un refuge.
Que jamais cela ne tourne à ma confusion !
2Toi qui es juste, ╵délivre-moi ! ╵Oui, secours-moi !
Tends l’oreille vers moi ╵et sauve-moi !
3Sois le rocher ╵où je trouve un refuge,
où je peux accéder ╵à tout moment,
où tu as résolu ╵de me sauver !
Car tu es mon rocher, ╵ma forteresse.
4Mon Dieu, délivre-moi ╵des criminels,
des gens iniques ╵et violents.
5O Seigneur Eternel, ╵sur toi je compte,
car, depuis ma jeunesse, ╵ma confiance est en toi.
6Oui, depuis ma naissance71.6 ma naissance: autre traduction : le sein maternel., ╵je prends appui sur toi.
Depuis que je suis sorti du sein maternel, ╵tu me soutiens71.6 Autre traduction : C’est toi qui m’as fait sortir du sein maternel..
Tu es sans cesse ╵mon sujet de louange.
7Pour beaucoup, je suis un prodige,
et toi, tu es pour moi ╵un abri fortifié.
8Ma bouche est pleine ╵de louanges pour toi
et, chaque jour, ╵elle publie ta gloire.
9En ma vieillesse, ╵ne me délaisse pas ;
quand diminuent mes forces, ╵ne m’abandonne pas !
10Mes ennemis ╵discourent contre moi,
ceux qui m’épient, ╵ensemble se concertent,
11disant : « Dieu l’a abandonné !
Poursuivez-le ! ╵Saisissez-vous de lui !
Il n’est personne ╵qui puisse le sauver. »
12Mais toi, ô Dieu, ╵ne reste pas si loin !
Mon Dieu, viens vite à mon secours !
13Qu’ils soient remplis de honte ╵et disparaissent,
tous mes accusateurs !
Qu’ils soient couverts d’opprobre, ╵d’ignominie,
ces gens qui cherchent à me nuire !
14Mais moi, sans cesse, ╵je serai plein d’espoir.
De plus en plus, ╵je veux chanter ta gloire.
15Oui, tous les jours, j’annoncerai ╵tes actes de justice ╵et de salut,
dont je ne connais pas le nombre71.15 Autre traduction : bien que je ne possède pas l’art de l’écrivain..
16Par ta puissance, ╵ô Seigneur Eternel, ╵je me présenterai
et je rappellerai ╵que toi seul tu es juste.
17Tu m’as instruit, ╵ô Dieu, dès ma jeunesse ;
jusqu’à ce jour, ╵je publie tes merveilles.
18Et maintenant que je suis vieux, ╵que j’ai les cheveux blancs,
ô Dieu, ne m’abandonne pas,
et je pourrai ╵dire ta force ╵dès aujourd’hui ╵aux hommes de mon temps,
et ta puissance ╵aux générations à venir.
19Ta justice, ô Dieu, est immense,
car tu as fait ╵des choses merveilleuses !
Qui donc, ô Dieu, ╵serait semblable à toi ?
20Tu nous as fait ╵passer par des détresses ╵et des malheurs sans nombre.
Tu nous feras revivre
et, du fond des abîmes, ╵tu me retireras.
21Veuille me rendre ╵encore plus honoré,
et me consoler à nouveau.
22Moi, en retour, ╵je te célébrerai ╵au son du luth
pour ta fidélité, mon Dieu.
Je te célébrerai ╵en jouant de la lyre,
Saint d’Israël !
23Je pousserai des cris de joie, ╵je chanterai en ton honneur
de tout mon être ╵car tu m’as délivré.
24Je redirai sans cesse ╵que tu es juste.
Ils seront confondus, ╵couverts de honte,
ces gens qui cherchent à me nuire.