Zaburi 69 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 69:1-36

Zaburi 69

Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

169:1 Za 42:7; 32:6; Yon 2:5Ee Mungu, niokoe,

kwa maana maji yamenifika shingoni.

269:2 Ay 30:19Ninazama kwenye vilindi vya matope,

pasipo mahali pa kukanyaga,

Nimefika kwenye maji makuu,

mafuriko yamenigharikisha.

369:3 Za 6:6; 119:82Nimechoka kwa kuomba msaada,

koo langu limekauka.

Macho yangu yanafifia,

nikimtafuta Mungu wangu.

469:4 Yn 15:25; Za 25:19; 35:19; 38:19; 40:14; 119:95; Isa 32:7Wale wanaonichukia bila sababu

ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

wengi ni adui kwangu bila sababu,

wale wanaotafuta kuniangamiza.

Ninalazimishwa kurudisha

kitu ambacho sikuiba.

569:5 Za 38:5; 44:21Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

wala hatia yangu haikufichika kwako.

6Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,

wakutumainio wasiaibishwe

kwa ajili yangu;

wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

Ee Mungu wa Israeli.

769:7 Yer 15:15; Za 39:8; 44:15Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

aibu imefunika uso wangu.

869:8 Ay 19:13-15; Za 31:11; 38:11; Isa 53:3; Yn 7:5Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

969:9 Yn 2:17; Rum 15:3; Za 89:50-51Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

1069:10 Za 35:13Ninapolia na kufunga,

lazima nivumilie matusi.

1169:11 2Sam 3:31; Za 35:13Ninapovaa nguo ya gunia,

watu hunidharau.

1269:12 Mwa 18:1; 23:10; Ay 30:9Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

nimekuwa wimbo wa walevi.

1369:13 Isa 49:8; 2Kor 6:2; Za 17:7; 51:1Lakini Ee Bwana, ninakuomba,

kwa wakati ukupendezao;

katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

1469:14 Za 69:2; 144:7Uniokoe katika matope,

usiniache nizame;

niokoe na hao wanichukiao,

kutoka kwenye vilindi vya maji.

1569:15 Za 36:6; 68:22; Hes 21:33; Yer 22:2069:15 Za 28:1; 124:4, 5; Hes 16:33Usiache mafuriko yanigharikishe

au vilindi vinimeze,

au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

1669:16 Za 63:3Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

kwa huruma zako nyingi unigeukie.

1769:17 Za 22:24; 143:7; 50:15; 66:14Usimfiche mtumishi wako uso wako,

uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

1869:18 Za 49:15Njoo karibu uniokoe,

nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

1969:19 Za 22:6Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

kufedheheshwa na kuaibishwa,

adui zangu wote unawajua.

2069:20 Ay 16:2; Isa 63:5; Za 142:4Dharau zimenivunja moyo

na nimekata tamaa,

nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

wa kunituliza, lakini sikumpata.

2169:21 Hes 6:3; Lk 23:36; Mt 27:34, 48; Mk 15:23, 36; Yn 19:28-30Waliweka nyongo katika chakula changu

na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

2269:22 1Sam 28:9; Ay 18:10Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

nayo iwe upatilizo na tanzi.

2369:23 Rum 11:9-10Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

nayo migongo yao iinamishwe daima.

2469:24 Za 79:6; Yer 10:25Uwamwagie ghadhabu yako,

hasira yako kali na iwapate.

2569:25 Law 26:43; Mt 23:38; Mdo 1:20Mahali pao na pawe ukiwa,

wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

2669:26 Ay 19:22; Zek 1:15Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

2769:27 Neh 4:5; Za 109:14Walipize uovu juu ya uovu,

usiwaache washiriki katika wokovu wako.

2869:28 Kut 32:32-33; Lk 10:20; Eze 13:9Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

2969:29 Za 20:1Mimi niko katika maumivu na dhiki;

Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

3069:30 Za 28:7; 34:3Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

3169:31 Za 50:9-13; 51:16Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,

zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

3269:32 Za 34:2; 22:26Maskini wataona na kufurahi:

ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

3369:33 Za 12:5Bwana huwasikia wahitaji

wala hadharau watu wake waliotekwa.

3469:34 Za 96:11; 98:7; Isa 44:23Mbingu na dunia zimsifu,

bahari na vyote viendavyo ndani yake,

3569:35 Oba 1:17; Ezr 9:9; Za 51:18kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

na kuijenga tena miji ya Yuda.

Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

3669:36 Za 25:13; 37:29watoto wa watumishi wake watairithi

na wale wote walipendao jina lake

wataishi humo.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 69:1-36

第 69 篇

祈求上帝拯救的禱告

大衛作的詩,交給樂長,調用「百合花」。

1上帝啊,求你拯救我,

因為洪水快把我淹沒;

2我深陷泥沼,無法站穩腳;

我落入深淵,被洪流淹沒。

3我連連呼救,已聲嘶力竭;

我期盼上帝的幫助,望眼欲穿。

4無故恨我的人不計其數,

無故害我的仇敵勢力強大,

逼我償還我沒有偷過的東西。

5上帝啊,你知道我的愚昧,

我的罪惡也瞞不過你。

6主——萬軍之耶和華啊,

求你不要使等候你的人因我而受辱;

以色列的上帝啊,

求你不要讓信靠你的人因我而蒙羞。

7我為了你的緣故遭受辱罵,

羞辱滿面。

8我的弟兄視我為陌生人,

我的手足看我為外人。

9我對你的殿充滿炙熱的愛,

辱罵你之人的辱罵都落在我身上。

10我悲傷禁食,

他們就羞辱我。

11我披上麻衣,

他們就譏笑我。

12我成了街談巷議的話題,

醉漢作歌取笑我。

13可是,耶和華啊,

在你悅納人的時候,

我向你禱告。

上帝啊,

求你以你的大愛和信實拯救我。

14求你救我脫離泥沼,

不要讓我沉下去;

求你救我脫離恨我的人,

使我離開深淵。

15求你不要讓洪水淹沒我,

深淵吞滅我,

墳墓吞噬我。

16耶和華啊,求你答應我的禱告,

因為你充滿慈愛和良善;

求你以無限的憐憫眷顧我。

17求你不要掩面不理你的僕人。

我正身陷困境,

求你快快答應我。

18求你前來拯救我,

把我從仇敵手中救贖出來。

19你知道我受的辱罵、欺凌和羞辱,

你看到了我仇敵的所作所為。

20他們的辱罵使我心碎,

令我絕望無助。

我渴望有人同情,卻沒有一個;

期望有人安慰,卻無一人。

21他們給我苦膽當食物,

又拿醋給我解渴。

22願他們面前的宴席變為網羅,

成為他們的陷阱。

23願他們眼目昏暗,無法看見;

願他們哆哆嗦嗦,直不起腰來。

24求你把烈怒傾倒在他們身上,

將怒氣撒向他們。

25願他們的家園一片荒涼,

願他們的帳篷無人居住。

26因為他們迫害你擊打過的人,

嘲笑你所打傷之人的痛苦。

27求你清算他們的種種罪行,

不要讓他們有份於你的拯救之恩。

28願他們的名字從生命冊上被抹去,

不得和義人的名字列在一起。

29上帝啊,

我陷入痛苦和憂傷,

求你拯救我,保護我。

30我要用歌聲讚美上帝的名,

以感恩的心尊崇祂。

31這要比獻上有蹄有角的公牛等祭牲更討耶和華喜悅。

32卑微的人看見這一切就歡喜快樂,

願你們尋求上帝的人精神振奮。

33耶和華垂聽窮苦人的祈求,

不輕看祂被囚的子民。

34願天地都讚美祂,

願海和其中的一切都讚美祂!

35因為上帝必拯救錫安

重建猶大的城邑。

祂的子民要住在那裡,

擁有那片土地。

36祂僕人的後裔要承受那地方為業,

凡愛祂的人都要住在那裡。