Utangulizi: Kusudi Na Kiini
11:1 1Fal 4:29-34Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:
2Kwa kupata hekima na nidhamu;
kwa kufahamu maneno ya busara;
31:3 Mit 2:1; 2:1, 9kwa kujipatia nidhamu na busara,
kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
41:4 Mit 8:5, 12; 2:10-11huwapa busara wajinga,
maarifa na akili kwa vijana;
51:5 Mit 9:9wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao,
wenye kupambanua na wapate mwongozo;
61:6 Za 78:2; Mt 13:10-17; Hes 12:8; Amu 14:12kwa kufahamu mithali na mifano,
misemo na vitendawili vya wenye hekima.
71:7 Kut 20:20; Ay 28:28Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa,
lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.
Onyo Dhidi Ya Ushawishi Wa Marafiki Waovu
81:8 Mit 6:20; 22:17; Kum 21:18Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,
wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
91:9 Mit 3:21-22; 4:1-9Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako,
na mkufu wa kuipamba shingo yako.
101:10 Mwa 39:7; Ay 24:15; Kum 13:8; Rum 16:18Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi,
usikubaliane nao.
111:11 Mit 12:6; Yer 5:26; Mik 7:2Kama wakisema, “Twende tufuatane;
tukamvizie mtu na kumwaga damu,
njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;
121:12 Ay 33:18; Mwa 38:25; Za 40:3tuwameze wakiwa hai kama kaburi,1:12 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.
13Tutapata aina zote za vitu vya thamani
na kujaza nyumba zetu kwa nyara.
141:14 Mit 1:19Njoo ushirikiane nasi,
vitu vyote tutakavyopata tutagawana.”
151:15 Za 119:101; Mwa 49:6; Mit 4:14Mwanangu, usiandamane nao.
Usiweke mguu wako katika njia zao,
161:16 Mit 6:18; Isa 59:7kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,
ni wepesi kumwaga damu.
17Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu
wakati ndege wote wanakuona!
181:18 Za 71:10Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe;
hujivizia tu wenyewe!
191:19 Mit 11:19; 15:27; 2Fal 5:20-27Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila;
huuondoa uhai wa wale wenye mali.
Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima
201:20 Ay 28:12; Mt 7:10-13; 9:1-3, 13-15Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,
hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;
21kwenye makutano ya barabara za mji
zenye makelele mengi hupaza sauti,
kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:
221:22 Mit 6:32; 7:7; 8:5; 9:4, 16; Za 50:17“Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini?
Mpaka lini wenye mizaha watafurahia mizaha,
na wapumbavu kuchukia maarifa?
231:23 Yoe 2:28; Yn 7:37Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu,
ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu
na kuwafahamisha maneno yangu.
241:24 Isa 65:12; Zek 7:11Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita
na hakuna yeyote aliyekubali
niliponyoosha mkono wangu,
251:25 Lk 7:30kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote
na hamkukubali karipio langu,
261:26 Za 2:4; Kum 28:63; Mit 10:24mimi nami nitawacheka katika maafa yenu,
nitawadhihaki wakati janga litawapata:
271:27 Za 18:18; Mit 5:12-14wakati janga litawapata kama tufani,
wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli,
wakati dhiki na taabu zitawalemea.
281:28 Isa 1:15; Mik 3:4; Eze 8:18; Hos 5:6“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu;
watanitafuta lakini hawatanipata.
291:29 Ay 21:14; Isa 27:11; Mdo 7:51Kwa kuwa walichukia maarifa,
wala hawakuchagua kumcha Bwana,
301:30 Ay 21:14; Za 81:11kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu,
na kukataa maonyo yangu,
311:31 2Nya 36:16; Yer 14:16watakula matunda ya njia zao,
na watashibishwa matunda ya hila zao.
321:32 Isa 66:4; Yer 2:19Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua,
nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.
331:33 Hes 24:21; Za 25:12; 112:8Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama,
atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”
箴言的價值
1這是大衛的兒子以色列王所羅門的箴言。
2為使人認識智慧和教誨,
領悟真知灼見;
3為使人接受勸誡,
為人處事仁義、公平、正直;
4使愚昧人明智,
使青年有知識和明辨力;
5使智者聽了長學問,
明哲聽了得指引;
6使人領悟箴言和比喻,
明白智者的話和謎語。
7知識始於敬畏耶和華,
愚人輕視智慧和教誨。
8孩子啊,
你要聽從父親的教誨,
不可背棄母親的訓言。
9因為這要作你頭上的華冠,
頸上的項鏈。
10孩子啊,惡人若引誘你,
千萬不要聽從。
11他們若說:「跟我們來吧,
我們去埋伏殺人,
暗害無辜者取樂;
12我們要像陰間一樣生吞他們,
整個吞沒他們,
使他們如墜入墳墓的人;
13我們必得到各樣寶物,
把戰利品裝滿我們的房屋。
14跟我們一起幹吧,
大家有福同享!」
15孩子啊,
不要走他們的道,
切莫行他們的路。
16因為他們奔向罪惡,
急速地去殺人流血。
17在飛鳥眼前設網羅,徒勞無功。
18他們埋伏,卻自流己血;
他們伏擊,卻自害己命。
19這就是貪愛不義之財者的結局,
不義之財終要奪去他們的性命。
智慧的勸誡
20智慧在大街上高喊,
在廣場上揚聲,
21在熱鬧的市集宣告,
在城門口演說:
22「你們愚昧人喜愛愚昧,
嘲諷者以嘲弄為樂,
無知者厭惡知識,
要到什麼時候呢?
23你們若因我的責備而回轉,
我就向你們顯明我的旨意1·23 「我就向你們顯明我的旨意」希伯來文是「我就將我的靈澆灌你們」。,
叫你們明白我的話語。
24我呼喚你們,
你們卻充耳不聞;
我向你們招手,
你們卻視若無睹。
25你們漠視我的勸誡,
不接受我的責備。
26因此,
你們遭遇災難時,
我必發笑;
驚恐臨到你們時,
我必嗤笑——
27那時,恐懼如風暴襲擊你們,
災難如旋風臨到你們,
憂愁和苦難吞沒你們。
28你們呼求我,
我也不回答;
你們懇切地尋找我,
卻找不到。
29因為你們厭惡知識,
不願意敬畏耶和華,
30不接受我的勸誡,
又藐視我的責備。
31所以,你們必自食其果,
因自己的惡謀而吃盡苦頭。
32愚昧人背離正道,
自招滅亡;
愚頑人逍遙自在,
毀掉自己。
33然而,那聽從我的必安然居住,
得享安寧,
不怕災禍。」