Zaburi 48 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 48:1-14

Zaburi 48

Sayuni, Mji Wa Mungu

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.

148:1 2Sam 22:4; Mik 4:1; Yer 10:6; 31:23; Za 86:10; 96:4; 99:2; 135:5; 147:5; 46:4; 87:1; 18:3; 2:6; 1Nya 16:25; Kum 33:19; Isa 2:2; 11:9; 32:16; Zek 8:3; Oba 1:17; Dan 9:16Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

katika mji wa Mungu wetu,

mlima wake mtakatifu.

248:2 Isa 14:13; Za 2:6; 50:2; Mao 2:15; Eze 16:14; 20:6; Yos 13:17; Mt 5:35; Yer 3:19Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,

furaha ya dunia yote.

Kama vilele vya juu sana vya Safoni48:2 Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini. ni Mlima Sayuni,

mji wa Mfalme Mkuu.

348:3 Za 122:7; 18:2Mungu yuko katika ngome zake;

amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.

448:4 2Sam 10:1-19Wakati wafalme walipounganisha nguvu,

waliposonga mbele pamoja,

548:5 Kut 15:16walimwona nao wakashangaa,

wakakimbia kwa hofu.

648:6 Ay 4:14; Mwa 3:16Kutetemeka kuliwashika huko,

maumivu kama ya mwanamke

mwenye utungu wa kuzaa.

748:7 Mwa 10:4; 41:6; 1Fal 10:22; 22:48; Eze 27:26Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi

zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

848:8 Yer 23:6; Mik 4:1; Zek 8:13; 14:11; Isa 2:2Kama tulivyokuwa tumesikia,

ndivyo tulivyoona

katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika mji wa Mungu wetu:

Mungu ataufanya uwe salama milele.

948:9 Za 39:3; 6:4Ee Mungu, hekaluni mwako

tunatafakari upendo wako usiokoma.

1048:10 Kut 6:3; Isa 11:12; 24:16; 42:10; 49:6; Yos 7:9; 1Sam 2:10; Za 22:27; 100:1; 65:5; 98:3; Mal 1:1Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,

sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia,

mkono wako wa kuume umejazwa na haki.

1148:11 Za 97:8Mlima Sayuni unashangilia,

vijiji vya Yuda vinafurahi

kwa sababu ya hukumu zako.

1248:12 Neh 3:1Tembeeni katika Sayuni,

uzungukeni mji,

hesabuni minara yake;

1348:13 2Sam 20:15; Isa 26:1; Mao 2:8; Hab 2:1; Za 78:6; 71:18; 109:13yatafakarini vyema maboma yake,

angalieni ngome zake,

ili mpate kusimulia habari zake

kwa kizazi kijacho.

1448:14 Za 25:5; 73:24; Mit 6:22; Isa 25:9; 49:10; 57:18; 58:11Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;

atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 48:1-14

第 48 篇

上帝的城——錫安

可拉後裔的詩。

1耶和華何等偉大!

我們的上帝在祂的城中,

在祂的聖山上當大受頌讚。

2北面的錫安山雄偉壯麗,

令世人歡喜,

是偉大君王的城。

3上帝在城內的宮中,

祂親自做這城的庇護。

4世上的君王一同聚集,前來攻城。

5他們看見這城後,

大驚失色,慌忙逃跑。

6他們被恐懼籠罩,

痛苦如分娩的婦人。

7你毀滅他們,

如同東風摧毀他施的船隻。

8我們曾經聽說,如今在萬軍之耶和華的城中,

在我們上帝的城中親眼看見:

上帝要堅立這城,直到永遠。(細拉)

9上帝啊,我們在你的殿中默想你的慈愛。

10上帝啊,你秉公行義,

你的名普世皆知,

頌讚你的聲音響徹地極。

11因你的審判,

錫安山歡喜,

猶大的城邑充滿快樂。

12你們要繞著錫安數點她的城樓,

13留意她的城牆,

觀看她的殿宇,

好告訴子孫後代。

14因為上帝永永遠遠是我們的上帝,

祂必引領我們,

直到我們離世之日。