Zaburi 43 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 43:1-5

Zaburi 43

Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea

143:1 Amu 6:31; Za 25:20; 36:3; 109:2; 7:8Ee Mungu unihukumu,

nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu,

niokoe na watu wadanganyifu na waovu.

243:2 Za 44:9; 74:1; 88:14; 89:38; 35:14; 42:9; 28:7; Isa 26:4Wewe ni Mungu ngome yangu.

Kwa nini umenikataa?

Kwa nini niendelee kuomboleza,

nikiwa nimeonewa na adui?

343:3 Za 2:6; 3:4; 27:1; 26:3; 25:5; 2Sam 15:25Tuma hima nuru yako na kweli yako

na viniongoze;

vinilete mpaka mlima wako mtakatifu,

mpaka mahali unapoishi.

443:4 Za 42:2; 26:6; 84:3; 21:6; 16:3; Mwa 4:21Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu,

kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu.

Nitakusifu kwa kinubi,

Ee Mungu, Mungu wangu.

543:5 Za 42:5, 6, 11Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu

Mwokozi wangu na Mungu wangu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 43:1-5

第 43 篇

流亡异乡者的祷告

1上帝啊,

求你为我伸张正义,

在不虔敬的人面前为我辩护,

救我脱离诡诈邪恶的人。

2你是保护我的上帝,

你为何丢弃我?

为何让我受仇敌的攻击,

使我哀伤不已呢?

3求你以光明和真理引导我,

领我到你的圣山,到你的居所。

4我要到上帝的祭坛前,

到赐我喜乐的上帝面前。

上帝啊,我的上帝,

我要弹琴赞美你。

5我的心啊!

你为何沮丧?为何烦躁?

要仰望上帝,

因为我还要赞美祂——我的救主,我的上帝。