Zaburi 4
Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.
14:1 Za 13:3; 27:7; 69:16; 30:10; 54:2; 84:8; 88:2; 6:7; 102:2; Mwa 32:7; Amu 2:15Nijibu nikuitapo,
Ee Mungu wangu mwenye haki!
Nipumzishe katika shida zangu;
nirehemu, usikie ombi langu.
24:2 Kut 16:7; Amo 2:4; 2Fal 19:26; Ay 8:22; Yer 13:25; 16:19; Za 12:1; 40:4; 1Sam 4:21Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu
kuwa aibu mpaka lini?
Mtapenda udanganyifu
na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
34:3 Za 6:8; 12:1; 30:4; 31:23; 79:2; Mik 7:2, 7; Kut 33:16; 1Tim 4:7; 2Pet 3:11Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga
wale wamchao kwa ajili yake;
Bwana atanisikia nimwitapo.
44:4 Efe 4:26; Za 63:6; Dan 2:28; Mit 3:74:4 Za 11:1; 25:20; 31:2; 32:11Katika hasira yako, usitende dhambi.
Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya
mkiichunguza mioyo yenu.
54:5 Za 31:6; 37:3; 115:9; Mit 3:5; 28:26; Kum 33:19; Yn 14:1; Isa 26:44:5 Hes 14:18; Isa 65:6-7; Yer 32:17Toeni dhabihu zilizo haki;
mtegemeeni Bwana.
64:6 Hes 6:25; Za 80:3Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye
kutuonyesha jema lolote?”
Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
74:7 Mdo 14:17; Isa 9:3; 35:10; 65:14, 18; Mwa 27:28; Kum 28:51Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa
kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
84:8 Law 26:6; Hes 6:26; Yer 32:37; Ay 11:18; Flp 4:7; Kum 12:10; 33:28; Yn 14:274:8 Law 11:44Nitajilaza chini na kulala kwa amani,
kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana,
waniwezesha kukaa kwa salama.
Salmo 4
Al director musical. Acompáñese con instrumentos de cuerda. Salmo de David.
1Responde a mi clamor,
Dios mío y defensor mío.
Dame alivio cuando esté angustiado,
apiádate de mí y escucha mi oración.
2Y vosotros, señores,
¿hasta cuándo cambiaréis mi gloria en vergüenza?
¿Hasta cuándo amaréis ídolos vanos
e iréis en pos de lo ilusorio? Selah
3Sabed que el Señor honra al que le es fiel;
el Señor me escucha cuando lo llamo.
4Si os enojáis, no pequéis;
en la quietud del descanso nocturno
examinaos el corazón. Selah
5Ofreced sacrificios de justicia
y confiad en el Señor.
6Muchos son los que dicen:
«¿Quién puede mostrarnos algún bien?»
¡Haz, Señor, que sobre nosotros
brille la luz de tu rostro!
7Tú has hecho que mi corazón rebose de alegría,
alegría mayor que la que tienen los que disfrutan de trigo y vino en abundancia.
8En paz me acuesto y me duermo,
porque solo tú, Señor, me haces vivir confiado.