Zaburi 3
Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
13:1 1Sam 15:12Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi!
Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
23:2 Za 22:8; 22:7, 8; 71:11Wengi wanasema juu yangu,
“Mungu hatamwokoa.”
33:3 Mwa 15:1; Za 27:6; 2Fal 25:27Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote;
umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
43:4 Ay 30:20; Za 2:6; 27:6Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu,
naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
53:5 Law 26:6; Mdo 12:6; Za 4:8; 17:15; 139:18; Mit 3:24Ninajilaza na kupata usingizi;
naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
63:6 Za 23:4; 27:3; 118:11; Ay 11:15Sitaogopa makumi elfu ya adui,
wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
73:7 2Nya 6:41; Mt 6:13; Za 6:4; 7:1; 59:1; 57:4; 109:21; 119:153; Isa 25:9; 33:22; 35:4; 36:15; 37:20; Yer 42:11; Mao 3:16; Ay 16:10; 29:17; Mit 30:14Ee Bwana, amka!
Niokoe, Ee Mungu wangu!
Wapige adui zangu wote kwenye taya,
vunja meno ya waovu.
83:8 Za 27:1; 37:39; 62:1; Hes 6:23; Isa 43:3, 11; 44:6, 8; 45:21; Hos 13:4; Yon 2:9; Mit 21:31; Za 29:11; 129:8Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.
Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Salmo 3
Salmo de David, cuando huía de su hijo Absalón.
1Muchos son, Señor, mis enemigos;
muchos son los que se oponen a mí,
2y muchos los que de mí aseguran:
«Dios no lo salvará». Selah
3Pero tú, Señor, me rodeas cual escudo;
tú eres mi gloria;
¡tú mantienes en alto mi cabeza!
4Clamo al Señor a gritos,
y desde su monte santo él me responde. Selah
5Yo me acuesto, me duermo y vuelvo a despertar,
porque el Señor me sostiene.
6No me asustan los numerosos pueblos
que me acosan por doquier.
7¡Levántate, Señor!
¡Ponme a salvo, Dios mío!
¡Rómpeles la quijada a mis enemigos!
¡Rómpeles los dientes a los malvados!
8Tuya es, Señor, la salvación;
¡envía tu bendición sobre tu pueblo! Selah