Zaburi 22 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 22:1-31

Zaburi 22

Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.

122:1 Za 9:10; 10:1; Mt 27:46; Ay 3:24; 6:15; Mk 15:34; Ebr 5:7Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?

Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

222:2 Ay 19:7; Za 42:3; 88:1Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,

hata usiku, sinyamazi.

322:3 2Fal 19:22; Za 71:22; 148:14; Mk 1:24; Ufu 4:8; Kut 15:2; Isa 6:3Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;

wewe ni sifa ya Israeli.22:3 Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.

422:4 Za 78:53; 107:6Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,

walikutumaini nawe ukawaokoa.

522:5 1Nya 5:20; Rum 9:33; Za 25:3; 31:17; 71:1; 2Nya 13:18; Isa 8:17; 25:9; 26:3; 30:18; 49:23Walikulilia wewe na ukawaokoa,

walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

622:6 Ay 4:19; Mt 16:21; Mal 2:9; Isa 60:14; 49:7; 53:3; Za 119:141; 64:8; 109:25; 69:19; 2Sam 12:14Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.

722:7 Mt 9:24; 27:41; Mk 15:20, 29, 31, 32; Lk 16:14; 23:36, 39; Mt 27:39, 44; Ay 17:2; Za 35:16; 69:12; 74:18Wote wanionao hunidhihaki,

hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:

822:8 Za 91:14; 3:2; 2Sam 22:20; Mt 3:17; 27:43Husema, “Anamtegemea Bwana,

basi Bwana na amwokoe.

Amkomboe basi, kwa maana

anapendezwa naye.”

922:9 Ay 10:18; Hes 1:7; Za 71:6; 78:7Hata hivyo ulinitoa tumboni,

ukanifanya nikutegemee,

hata nilipokuwa ninanyonya

matiti ya mama yangu.

1022:10 Za 71:6; Isa 46:3; 49:1Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,

toka tumboni mwa mama yangu

umekuwa Mungu wangu.

1122:11 Za 10:1, 14; 2Fal 14:26; Isa 41:28Usiwe mbali nami,

kwa maana shida iko karibu

na hakuna wa kunisaidia.

1222:12 Za 69:30; 17:9; 27:6; 49:5; 109:3; 140:9; Kum 32:14; Isa 2:3; Eze 27:6; 39:18; Amo 4:1Mafahali wengi wamenizunguka,

mafahali wa Bashani wenye nguvu

wamenizingira.

1322:13 Eze 22:25; Sef 3:3; Mwa 49:9; 1Pet 5:8; Mao 3:6; Za 35:21Simba wangurumao wanaorarua mawindo

yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.

1422:14 Za 6:2Nimemiminwa kama maji,

mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake.

Moyo wangu umegeuka kuwa nta,

umeyeyuka ndani yangu.

1522:15 Isa 45:9; Yn 19:28; Za 137:6; 104:29; Mao 4:4; Ay 7:21; Eze 3:26Nguvu zangu zimekauka kama kigae,

ulimi wangu umegandamana

na kaakaa la kinywa changu,

kwa sababu umenilaza

katika mavumbi ya kifo.

1622:16 Flp 3:2; Isa 51:9; 53:5; Mit 17:22; Zek 12:10; Yn 20:25Mbwa wamenizunguka,

kundi la watu waovu limenizingira,

wametoboa mikono yangu na miguu yangu.

1722:17 Lk 23:35; Mik 7:8; Za 25:2; 30:1; 35:19; 38:16; Mao 2:17Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,

watu wananikodolea macho na kunisimanga.

1822:18 Law 16:8; Yn 19:24; Mt 27:35; Mk 9:12; 15:24; Lk 23:34Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,

na vazi langu wanalipigia kura.

1922:19 Za 18:1; 38:22; 70:5; 14:1; 40:13Lakini wewe, Ee Bwana,

usiwe mbali.

Ee Nguvu yangu,

uje haraka unisaidie.

2022:20 Ay 5:20; Za 141:1; 40:13Okoa maisha yangu na upanga,

uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.

2122:21 Ay 4:10, 12; Ebr 2:12; Hes 23:22; Za 22:13; 68:26; 40:9, 10; 35:18; 2Tim 4:17Niokoe kutoka kinywani mwa simba,

niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.

2222:22 Za 26:12; 35:18; 40:9, 10; 68:26; Ebr 2:12; Yn 20:17Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,

katika kusanyiko nitakusifu wewe.

2322:23 Yer 3:17; Za 66:8; 33:2, 8; 103:1; 86:12; 106:1; 50:15; 113:1; 117:1; 135:19; Isa 24:15; 25:3; 49:23; 60:9; Kum 14:23Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni!

Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye!

Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!

2422:24 Ebr 5:7; Za 9:12; 102:17; 13:1; 27:9; 69:17; 102:2; 143:7; Ay 24:12; 36:5Kwa maana hakupuuza wala kudharau

mateso ya aliyeonewa;

hakumficha uso wake

bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.

2522:25 Za 26:12; 35:18; 40:9; 82:1; Hes 30:2Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,

nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.

2622:26 Za 107:9; 40:16Maskini watakula na kushiba,

wale wamtafutao Bwana watamsifu:

mioyo yenu na iishi milele!

2722:27 Za 2:8; 86:9; 102:22; Dan 7:27; Mik 4:1Miisho yote ya dunia itakumbuka

na kumgeukia Bwana,

nazo jamaa zote za mataifa

watasujudu mbele zake,

2822:28 Za 47:7; Zek 14:9; Mt 6:13kwa maana ufalme ni wa Bwana

naye hutawala juu ya mataifa.

2922:29 Za 45:12; 89:48; 95:6; 96:9; 99:5; Isa 26:19; 27:13; 49:7; 66:23; Zek 14:16Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.

Wote waendao mavumbini

watapiga magoti mbele yake,

wote ambao hawawezi

kudumisha uhai wao.

3022:30 Isa 53:10; 54:3; 61:9; 66:22; Za 102:18Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;

vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.

3122:31 Za 5:8; 71:18; 78:6; 40:9; 102:18; Lk 18:31; 24:44Watatangaza haki yake kwa watu

ambao hawajazaliwa bado,

kwa maana yeye ametenda hili.

La Bible du Semeur

Psaumes 22:1-32

Mon Dieu, pourquoi m’as-tu abandonné ?

1Au chef de chœur. Psaume de David, à chanter sur la mélodie de « Biche de l’aurore ».

2Mon Dieu, mon Dieu, ╵pourquoi m’as-tu abandonné22.2 Jésus a repris ces paroles sur la croix (Mt 27.46 ; Mc 15.34). ?

Tu restes loin, ╵tu ne viens pas me secourir ╵malgré toutes mes plaintes.

3Mon Dieu, le jour, j’appelle, ╵mais tu ne réponds pas.

La nuit, je crie, ╵sans trouver de repos.

4Pourtant, tu es le Saint

qui sièges sur ton trône, ╵au milieu des louanges d’Israël.

5En toi déjà, ╵nos pères se confiaient,

oui, ils comptaient sur toi, ╵et tu les délivrais.

6Lorsqu’ils criaient à toi, ╵ils étaient délivrés,

lorsqu’ils comptaient sur toi, ╵ils n’étaient pas déçus.

7Mais moi je suis un ver22.7 Voir Jb 25.6 ; Es 41.14., ╵je ne suis plus un homme,

tout le monde m’insulte, ╵le peuple me méprise,

8ceux qui me voient ╵se rient de moi.

Tous, ils ricanent, ╵en secouant la tête22.8 Réminiscence en Mt 27.39 ; Mc 15.29. Voir Ps 109.25. :

9« Il se confie en l’Eternel ?

Eh bien, que maintenant ╵l’Eternel le délivre !

Puisqu’il trouve en lui son plaisir, ╵qu’il le libère donc22.9 Cité par les autorités juives devant Jésus en croix (Mt 27.43). ! »

10Toi, tu m’as fait sortir ╵du ventre maternel,

tu m’as mis en sécurité ╵sur le sein de ma mère.

11Dès mon jeune âge, ╵j’ai été placé sous ta garde.

Dès avant ma naissance, ╵tu es mon Dieu.

12Ne reste pas si loin de moi ╵car le danger est proche,

et il n’y a personne ╵qui vienne pour m’aider.

13De nombreux taureaux m’environnent :

ces fortes bêtes du Basan22.13 Le Basan était la région du nord-est du pays d’Israël où l’on élevait des bovins renommés pour leur vigueur (voir Dt 32.14 ; Ez 39.18). ╵sont tout autour de moi.

14Ils ouvrent largement ╵leurs gueules contre moi,

ils sont comme un lion ╵qui rugit et déchire.

15Je suis comme une eau qui s’écoule

et tous mes os sont disloqués.

Mon cœur est pareil à la cire,

on dirait qu’il se fond en moi.

16Ma force est desséchée ╵comme un tesson d’argile,

ma langue colle à mon palais22.16 Voir Jn 19.28.,

tu me fais retourner ╵à la poussière de la mort.

17Des hordes de chiens m’environnent,

la meute des méchants m’assaille.

Ils ont percé22.17 D’après certains manuscrits hébreux et les versions grecque et syriaque. La plupart des manuscrits hébreux ont : comme un lion. mes mains, mes pieds,

18je pourrais compter tous mes os ;

ils me regardent, ils me toisent,

19ils se partagent mes habits

et tirent au sort ma tunique22.19 Voir Mt 27.35 ; Mc 15.24 ; Lc 23.34 ; Jn 19.24..

20Mais toi, ô Eternel, ╵ne reste pas si loin !

O toi, ma force, ╵viens en hâte à mon aide !

21Délivre ma vie de l’épée !

Protège-moi ╵de la fureur des chiens !

22Délivre-moi ╵de la gueule du lion !

Préserve-moi ╵des cornes des taureaux !

Oui, tu m’as répondu !

23Je proclamerai à mes frères ╵quel Dieu tu es,

je te louerai ╵dans l’assemblée22.23 Cité en Hé 2.12..

24Vous tous qui craignez l’Eternel, ╵célébrez-le !

Descendants de Jacob, ╵glorifiez-le !

Descendants d’Israël, ╵redoutez-le !

25Il n’a ni mépris ni dédain ╵pour le pauvre dans l’affliction,

il n’a pas détourné ╵son regard loin de lui.

Non ! il a écouté ╵l’appel à l’aide ╵qu’il lui lançait.

26Grâce à toi, je te loue ╵dans la grande assemblée,

j’accomplirai mes vœux ╵devant ceux ╵qui te craignent.

27Que les malheureux mangent, ╵et qu’ils soient rassasiés !

Oui, qu’ils louent l’Eternel, ╵ceux qui vivent pour lui !

Que votre vie dure toujours !

28Aux confins de la terre, ╵tous les peuples du monde ╵se souviendront de l’Eternel. ╵Tous, ils se tourneront vers lui,

et toutes les peuplades ╵se prosterneront devant lui.

29Car l’Eternel est roi,

et il domine sur les peuples.

30Tous les grands de la terre ╵mangeront et l’adoreront,

et ceux qui s’en vont vers la tombe,

ceux dont la vie décline, ╵se prosterneront devant lui.

31Leur postérité, à son tour, ╵servira l’Eternel

et parlera de lui ╵à la génération ╵qui viendra après elle.

32Ils proclameront sa justice

et ils annonceront ╵au peuple qui va naître ╵ce qu’a fait l’Eternel.