Zaburi 14 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 14:1-7

Zaburi 14

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 53)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

114:1 Za 10:4; Mwa 6:12; Rum 3:10; Mit 1:7, 22Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

hakuna hata mmoja atendaye mema.

214:2 Ay 41:34; Za 32:6; 85:11; 102:19; Ezr 6:21; Mao 3:50Bwana anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

314:3 1Sam 8:3; 2Pet 2:7; 1Tim 5:15; 1Fal 8:46; Za 143:2; Mhu 7:20; Rum 3:10-12Wote wamepotoka,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

414:4 Za 17:2; 82:5; 79:6; Mik 3:3; Isa 64:7; 65:1; Yer 4:22; 10:25; Hos 7:7Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Bwana?

5Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

614:6 2Sam 22:3Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

bali Bwana ndiye kimbilio lao.

714:7 Za 2:6; Yer 48:47; Kum 30:3Laiti wokovu wa Israeli

ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Bwana arejeshapo

wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie,

Israeli na afurahi!

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 14:1-7

Menneskets ondskab

1Til korlederen: En sang af David.

Tåberne mener, at Gud ikke findes.

De er fordærvede i tanke og handling.

Ingen gør det gode,

ikke én eneste.

2Fra himlen ser Herren på menneskene:

Er der nogen, der er forstandige?

Er der nogen, der søger Gud?

3Nej, alle er kommet på afveje, fordærvede af synd.

Ingen gør det gode, ikke én eneste.

4„Fatter de da intet?” siger Herren.

„De forsynder sig uden at blinke,

og de regner slet ikke med mig.”

5En dag skal de fyldes af rædsel,

for Gud er med dem, der adlyder ham.

6Onde mennesker undertrykker de svage,

men Herren er deres beskytter.

7Gid Herren ville sende sin frelse fra Zion

og redde Israels folk.

Når Herren griber ind og genrejser sit folk,

så bliver der jubel og glæde i Israel.