Zaburi 133 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 133:1-3

Zaburi 133

Sifa Za Pendo La Undugu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1133:1 Mwa 13:8; Yn 17:11; 1Kor 1:10; Rum 12:10Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

2133:2 Kut 29:7; 30:25Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

yakitiririka kwenye ndevu,

yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

3133:3 Ay 29:19; Mit 19:12; Isa 18:4; 26:19; 45:8; Hos 14:5; Mik 5:7; Kum 3:8; Kut 15:17; Law 25:21; Za 2:6; 74:2; 21:4; Dan 12:2-3; Yn 4:14; Ebr 7:25; 1Yn 5:20Ni kama vile umande wa Hermoni

unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,

naam, hata uzima milele.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Забур 133:1-3

Песнь 133

Песнь восхождения.

1Славьте Вечного, все рабы Его,

служащие ночью в доме Вечного!

2Вознесите руки свои в святилище

и славьте Вечного!

3Вечный, сотворивший небо и землю,

да благословит тебя с Сиона.