Zaburi 125 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 125:1-5

Zaburi 125

Usalama Wa Watu Wa Mungu

Wimbo wa kwenda juu.

1125:1 Za 46:5; 48:2-5; 48:12; Isa 33:20Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,

ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

2125:2 1Nya 21:15; Za 32:10; Zek 2:4-5Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,

ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake

sasa na hata milele.

3125:3 Es 4:11; Za 89:22; Mit 22:8; Isa 13:11; 14:5; 24:10Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi

waliopewa wenye haki,

ili wenye haki wasije wakatumia

mikono yao kutenda ubaya.

4125:4 Za 119:65; 36:10Ee Bwana, watendee mema walio wema,

wale walio wanyofu wa moyo.

5125:5 Ay 23:11; Isa 59:8; Za 92:7; 128:6; Mit 2:15; 17:6; Gal 6:16Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka,

Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya.

Amani iwe juu ya Israeli.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 125:1-5

第 125 篇

上帝保护祂的子民

上圣殿朝圣之诗。

1信靠耶和华的人就像锡安山永不动摇。

2群山怎样环绕耶路撒冷

耶和华也怎样保护祂的子民,

从现在直到永远。

3恶人必不能长久统治义人的土地,

免得义人也去行恶。

4耶和华啊,求你善待行善的人,

善待心地正直的人。

5耶和华必把那些偏行恶道的人与作恶的人一同赶走。

愿平安临到以色列