Zaburi 114 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 114:1-8

Zaburi 114

Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,

nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

Israeli akawa milki yake.

3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,

Yordani ulirudi nyuma,

4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,

vilima kama wana-kondoo.

5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

enyi vilima, kama wana-kondoo?

7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

mbele za Mungu wa Yakobo,

8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 114:1-8

第 114 篇

逾越节之歌

1以色列人离开埃及

雅各家从异国出来时,

2犹大成为上帝的圣所,

以色列成为祂的国度。

3大海看见他们就奔逃,

约旦河也倒流。

4大山如公羊一般跳跃,

小山像羊羔一样蹦跳。

5大海啊,你为何奔逃?

约旦河啊,你为何倒流?

6大山啊,你为何如公羊一般跳跃?

小山啊,你为何像羊羔一样蹦跳?

7大地啊,你要在主面前,

雅各的上帝面前战抖,

8因为祂使磐石变成水池,

使岩石涌出泉水。