Zaburi 108 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 108:1-13

Zaburi 108

Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui

(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)

Wimbo. Zaburi ya Daudi.

1108:1 Za 112:7; 119:30, 112; 18:49Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

2108:2 Ay 21:12Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

3Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

4108:4 Hes 14:18; Kum 7:9; Kut 34:6; Za 36:5; Mik 7:18-20Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;

uaminifu wako unazifikia anga.

5108:5 Za 8:1; 57:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

6108:6 Ay 40:14Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

7108:7 Za 89:35; 68:35; 102:19; Mwa 12:6; 33:17Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

na kulipima Bonde la Sukothi.

8108:8 Za 78:68; Mwa 49:10Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,

Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

9108:9 Mwa 19:37; 2Sam 8:1, 13-14Moabu ni sinia langu la kunawia,

juu ya Edomu natupa kiatu changu;

nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

10108:10 Za 60:9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

11108:11 Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

na hutoki tena na majeshi yetu?

12108:12 Isa 10:3; 30:3, 5; 31:3; Yer 2:36; 17:7; Za 118:8; 146:3Tuletee msaada dhidi ya adui,

kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

13108:13 Za 44:5; Isa 22:5; 63:3, 6; 25:10; Mao 1:15; Mal 4:3; Ufu 14:9Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

naye atawaponda adui zetu.

Korean Living Bible

시편 108:1-13

승리에 대한 확신

(다윗의 찬송시)

1하나님이시여,

내가 마음에

확신을 가지게 되었으므로

영혼으로 노래하며

주를 찬양하겠습니다.

2비파야, 수금아, 깨어라!

내가 새벽을 깨우리라.

3여호와여, 내가 많은 나라 가운데서

주께 감사하며

많은 민족 가운데서

주를 찬양하겠습니다.

4주의 사랑은 너무나 커서

하늘보다 높고

주의 성실하심은 창공에 이릅니다.

5하나님이시여, 주의 위대하심을

하늘에 보이시고

주의 영광을 온 세상에 나타내소서.

6주의 능력으로 우리를 구원하시고

우리 기도에 응답하셔서

주께서 사랑하시는 자들이

구출되게 하소서.

7하나님이 108:7 또는 ‘그 거룩하심으로’그의 성소에서

말씀하셨다.

“내가 의기 양양하게 세겜을 나누고

숙곳 골짜기를 측량하리라.

8길르앗이 내 것이요

므낫세도 내 것이며

에브라임은 내 머리의 투구요

유다는 나의 다스리는 지팡이이며

9모압은 나의 목욕통이다.

내가 에돔에게 내 신발을 던지고

블레셋에게

의기 양양하게 외치리라.”

10누가 나를

요새화된 성으로 데리고 가며

누가 나를 에돔으로 인도할까?

11하나님이시여, 주께서 정말

우리를 버리셨습니까?

이제는 주께서 우리 군대와

함께 나아가지 않을 작정이십니까?

12우리를 도와 대적을 치게 하소서.

사람의 도움은 쓸모가 없습니다.

13하나님이 우리와 함께하시면

우리가 승리할 것이니

그가 우리 대적을 짓밟을 것임이라.