Zaburi 107 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 107:1-43

KITABU CHA TANO

(Zaburi 107–150)

Zaburi 107

Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

1107:1 1Nya 16:8; 2Nya 5:13; 7:3; Mt 19:17Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema,

upendo wake wadumu milele.

2107:2 Za 106:10; Isa 35:9Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi,

wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,

3107:3 Za 106:47; Isa 49:12; Hes 1:9; Yer 29:14; Eze 39:27wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,

kutoka mashariki na magharibi,

kutoka kaskazini na kusini.

4107:4 Yos 5:6; Za 107:36Baadhi yao walitangatanga jangwani,

hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.

5107:5 Kut 16:3; 15:22; 17:2Walikuwa na njaa na kiu,

nafsi zao zikadhoofika.

6107:6 Kut 14:10; Za 50:15; Isa 41:17; Hos 5:15; Yer 29:12-14Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

7107:7 Ezr 8:21, 36; Isa 38:12Akawaongoza kwa njia iliyo sawa

hadi mji ambao wangeweza kuishi.

8107:8 Za 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

9107:9 Za 22:26; 63:5; 23:1; 34:10; Mt 5:6; Yer 31:25; Lk 1:53; Isa 55:1; 58:11kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,

na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

10107:10 Za 107:14; 88:6; 143:3; 102:20; Isa 9:2; 42:7, 16; 49:9; 61:1; Mik 7:9; Ay 36:8Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,

wafungwa wakiteseka katika minyororo,

11107:11 Za 5:10; Hes 14:11; 1Fal 22:5; 2Nya 36:16kwa sababu walikuwa wameasi

dhidi ya maneno ya Mungu

na kudharau shauri

la Aliye Juu Sana.

12107:12 Isa 63:5; Za 72:12; 2Fal 14:26Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;

walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.

13107:13 Za 106:8Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

14107:14 Isa 9:2; 42:7; 59:9; 50:10; 60:2; 29:18; Ay 36:8; Lk 1:79; Za 86:13; 116:16; 146:7; Mdo 12:7Akawatoa katika giza na huzuni kuu

na akavunja minyororo yao.

15107:15 Za 107:8, 21, 31; 105:1; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

16107:16 Isa 45:2kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba

na kukata mapingo ya chuma.

17107:17 Za 53:1; 25:7; Law 14:1; 26:16; Isa 65:6, 7; Yer 30:14, 15; Gal 6:7, 8; Mt 1:22; Mao 3:39Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,

wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.

18107:18 Ay 3:24; 6:6; 17:16; 33:22Wakachukia kabisa vyakula vyote,

wakakaribia malango ya mauti.

19107:19 Za 107:13; 5:2; 34:4Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawaokoa kutoka taabu yao.

20107:20 Kum 32:2; Mt 8:8; 2Fal 20:4; Lk 7:7; Kut 15:26; Hes 21:8; Za 30:3; 16:10; 56:13; 147:15; Ay 33:28Akalituma neno lake na kuwaponya,

akawaokoa kutoka maangamizo yao.

21107:21 Za 107:15; 6:4; 75:1Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

22107:22 Law 7:12; Za 9:11; 73:28; 65:8; 50:14; 118:17; Ay 8:21; Ebr 13:15Na watoe dhabihu za kushukuru,

na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.

23107:23 Isa 42:10; Za 104:26Wengine walisafiri baharini kwa meli,

walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.

24107:24 Za 64:9; 111:2; 143:5Waliziona kazi za Bwana,

matendo yake ya ajabu kilindini.

25107:25 Za 105:31; 50:3; 93:3Kwa maana alisema na kuamsha tufani

iliyoinua mawimbi juu.

26107:26 Za 22:14; Isa 13:7; Nah 2:10; Lk 8:23; Yos 2:11Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,

katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

27107:27 Isa 19:14; 24:20; 28:7Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,

ujanja wao ukafikia ukomo.

28107:28 Za 107:19; 4:1; Yon 1:6Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

naye akawatoa kwenye taabu yao.

29107:29 Lk 8:24; Za 93:3; 65:7; Mk 4:39-41; Yon 1:15; Isa 50:2; Mt 8:26Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

mawimbi ya bahari yakatulia.

30107:30 Za 107:7Walifurahi ilipokuwa shwari,

naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.

31107:31 Za 107:15; 6:4; 75:1; 106:2Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

32107:32 Za 30:1; 34:3; 99:5; 1:5; 22:22; 26:12; 35:18Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,

na wamsifu katika baraza la wazee.

33107:33 1Fal 17:1; Yoe 1:20; Isa 41:15; 42:15; 50:2; 34:9, 10; Eze 30:12; Nah 1:4; Za 74:15; 104:10Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,

chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,

34107:34 Mwa 13:10nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,

kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.

35107:35 2Fal 3:17; Za 105:41; 126:4; Isa 43:19; 51:3; 35:7; Ay 38:26Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,

nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;

36107:36 Mdo 17:26aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,

nao wakajenga mji wangeweza kuishi.

37107:37 2Fal 19:29; Isa 37:30Walilima mashamba na kupanda mizabibu,

nayo ikazaa matunda mengi,

38107:38 Mwa 12:2; 49:25; Kum 7:13Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,

wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.

39107:39 2Fal 10:32; Eze 5:12; Za 44:9Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa

kwa kuonewa, maafa na huzuni.

40107:40 Ay 12:18, 21; Kum 32:10Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,

aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.

41107:41 1Sam 2:8; 2Sam 7:8; Za 113:7-9; Ay 21:11; 8:7Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,

na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.

42107:42 Ay 22:19; 5:16; Mit 10:11; Rum 3:19; Za 97:10-12Wanyofu wataona na kufurahi,

lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.

43107:43 Yer 9:12; Hos 14:9; Za 103:11; Dan 12:10Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,

na atafakari upendo mkuu wa Bwana.

Korean Living Bible

시편 107:1-43

제 5 권

(107-150)

여호와의 사랑에 대한 감사

1여호와께 감사하라.

그는 선하시고

그의 사랑은 영원하다.

2여호와의 구원을 받은 자들아,

이 찬송을 계속하라.

여호와께서 너희를

대적의 손에서 구출하여

3동서남북 사방에서

불러모으셨다.

4그들이 길 없는 사막에서

방황하며

살 성을 찾지 못하고

5굶주리고 목말라 시들어 갈 때에

6그들이 고통 가운데서

여호와께 부르짖자

여호와께서 그들을

그 고통에서 건지시고

7그들을 바른 길로 인도하여

정착할 성에 이르게 하셨다.

8그들은 여호와의 한결같은 사랑과

그가 행하신 놀라운 일에 대하여

그에게 감사해야 하리라.

9그가 갈망하는 심령을

만족하게 하시며

굶주린 심령에게

좋은 것으로 채워 주신다.

10사람이 흑암과

죽음의 그늘에서 살며

쇠사슬에 매여

고통하는 죄수처럼 되었으니

11그들이 하나님의 말씀을 거역하며

가장 높으신 분의 가르침을

거절하였음이라.

12그러므로 그가 고된 노동으로

그들의 기를 꺾어 버렸으니

그들이 엎드러져도

도와주는 자가 없었다.

13그때 그들이 고통 가운데서

여호와께 부르짖으므로

저가 그들을

그 고통에서 구해 내시고

14흑암과 죽음의 그늘에서

그들을 끌어내며

그 쇠사슬을 끊어 버렸다.

15그들은 여호와의 한결같은 사랑과

그가 행하신 놀라운 일에 대하여

그에게 감사해야 하리라.

16그가 놋문을 부수며

쇠빗장을 꺾으셨다.

17미련한 자들이

자기 죄 때문에 고통을 당하며

18식욕을 잃고

죽음의 문턱에 이르렀다.

19그때 그들이 고통 가운데서

여호와께 부르짖으므로

저가 그들을

그 고통에서 구해 내시고

20자기 말씀을 보내

그들을 고치시며

107:20 또는 ‘위경에서’파멸에서 그들을 건지셨다.

21그들은 여호와의 한결같은 사랑과

그가 행하신

놀라운 일에 대하여 감사하고

22그에게 감사제를 드리며

즐거운 노래로

그가 행한 모든 일을

선포해야 하리라.

23배를 타고 바다에서

무역하는 자들이

24여호와께서 행하시는

놀라운 일을 보았다.

25여호와께서 명령하시므로

광풍이 일어나

바다 물결을 일으켰다.

26그 배들이 높이 솟아올랐다가

물 속 깊이 들어가니

그들이 무서워

107:26 또는 ‘영혼이 녹는도다’간이 콩알만하였다.

27그들은 술 취한 사람처럼

이리저리 구르며 비틀거리고

어쩔 줄 몰랐다.

28그때 그들이 그 고통 가운데서

여호와께 부르짖으므로

그가 위험에서 그들을 구해 내시고

29광풍을 그치게 하여

물결을 잠잠하게 하셨다.

30바다가 잔잔하므로

그들이 기뻐하였으니

여호와께서 그들을

고대하던 항구로

안전하게 인도하셨다.

31그들은 여호와의 한결같은 사랑과

그가 행하신

놀라운 일에 대하여 감사하고

32백성의 모임에서 그를 높이며

지도자들이 모인 자리에서

그를 찬양해야 하리라.

33여호와께서는 강을 말려

광야가 되게 하시고

흐르는 샘을 마른 땅이 되게 하시며

34좋은 땅을

그 주민들의 죄악 때문에

소금밭이 되게 하시고

35광야도 연못이 되게 하시며

마른 땅도 물이 흐르는

샘이 되게 하셨다.

36그가 굶주린 자들을

그 곳에 정착하게 하시므로

그들이 살 성을 건설하고

37밭에 씨를 뿌리며 포도원을 만들고

풍성한 수확을 거두었다.

38그는 자기 백성을 축복하셔서

크게 번성하게 하시고

그들의 가축이 줄지 않게 하셨다.

39그들이 잔인한 학대와 고통으로

인구수가 줄어들고

비천하게 되었을 때

40여호와께서 그들의

탄압자들을 멸시하시고

그들을 길 없는 광야에서

방황하게 하셨다.

41그러나 그는 가난한 자들을

그 고통에서 구하시고

그 가족을 양떼처럼

많게 하셨다.

42의로운 자들은

이것을 보고 기뻐하는데

악한 자들은

입을 다물고 침묵을 지키는구나.

43지혜로운 자가 누구냐?

내가 하는 말을 듣고

여호와의 크신 사랑을 생각하라.