Zaburi 108
Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui
(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)
Wimbo. Zaburi ya Daudi.
1108:1 Za 112:7; 119:30, 112; 18:49Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;
nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
2108:2 Ay 21:12Amka, kinubi na zeze!
Nitayaamsha mapambazuko.
3Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;
nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
4108:4 Hes 14:18; Kum 7:9; Kut 34:6; Za 36:5; Mik 7:18-20Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;
uaminifu wako unazifikia anga.
5108:5 Za 8:1; 57:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,
utukufu wako na uenee duniani kote.
6108:6 Ay 40:14Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
7108:7 Za 89:35; 68:35; 102:19; Mwa 12:6; 33:17Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi
na kulipima Bonde la Sukothi.
8108:8 Za 78:68; Mwa 49:10Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,
Efraimu ni kofia yangu ya chuma,
nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
9108:9 Mwa 19:37; 2Sam 8:1, 13-14Moabu ni sinia langu la kunawia,
juu ya Edomu natupa kiatu changu;
nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
10108:10 Za 60:9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
11108:11 Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
na hutoki tena na majeshi yetu?
12108:12 Isa 10:3; 30:3, 5; 31:3; Yer 2:36; 17:7; Za 118:8; 146:3Tuletee msaada dhidi ya adui,
kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
13108:13 Za 44:5; Isa 22:5; 63:3, 6; 25:10; Mao 1:15; Mal 4:3; Ufu 14:9Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,
naye atawaponda adui zetu.
A Song or Psalm of David.
1O God, my heart is fixed; I will sing and give praise, even with my glory.
2Awake, psaltery and harp: I myself will awake early.
3I will praise thee, O LORD, among the people: and I will sing praises unto thee among the nations.
4For thy mercy is great above the heavens: and thy truth reacheth unto the clouds.108.4 clouds: or, skies
5Be thou exalted, O God, above the heavens: and thy glory above all the earth;
6That thy beloved may be delivered: save with thy right hand, and answer me.
7God hath spoken in his holiness; I will rejoice, I will divide Shechem, and mete out the valley of Succoth.
8Gilead is mine; Manasseh is mine; Ephraim also is the strength of mine head; Judah is my lawgiver;
9Moab is my washpot; over Edom will I cast out my shoe; over Philistia will I triumph.
10Who will bring me into the strong city? who will lead me into Edom?
11Wilt not thou, O God, who hast cast us off? and wilt not thou, O God, go forth with our hosts?
12Give us help from trouble: for vain is the help of man.
13Through God we shall do valiantly: for he it is that shall tread down our enemies.