Zaburi 109 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 109:1-31

Zaburi 109

Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1109:1 Kut 15:2; Yer 17:14; Ay 34:29; Za 83:1Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

usiwe kimya,

2109:2 Za 43:1; 52:4kwa maana watu waovu na wadanganyifu

wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;

wasema dhidi yangu

kwa ndimi za udanganyifu.

3109:3 Za 69:4; 35:7; 35:7, 10; Yn 15:25; 1Sam 19:4, 5Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

wananishambulia bila sababu.

4109:4 Za 69:13; 141:5Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

lakini mimi ninawaombea.

5109:5 Mwa 44:4; Za 38:20Wananilipiza mabaya kwa mema,

chuki badala ya urafiki wangu.

6109:6 1Nya 21:1; Ay 1:6; Zek 3:1Agiza mtu mwovu ampinge,

mshtaki109:6 Mshtaki hapa maana yake ni Shetani. asimame mkono wake wa kuume.

7109:7 Za 1:5; Mit 28:9; Zek 3:1Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

nayo maombi yake yamhukumu.

8109:8 Ay 15:32; Mdo 1:20Siku zake za kuishi na ziwe chache,

nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.

9109:9 Kut 22:24; Yer 18:21Watoto wake na waachwe yatima,

mke wake na awe mjane.

10109:10 Mwa 4:12Watoto wake na watangetange wakiomba,

na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

11109:11 Hes 14:3; Isa 1:7; 6:11; 36:1; Mao 5:2; Neh 5:3; Ay 20:18; 18:9Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

12109:12 Ay 5:4Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

wala wa kuwahurumia yatima wake.

13109:13 Za 21:10; 9:5; 37:28; Hes 14:12; Mit 10:7; Ay 18:19Uzao wake na ukatiliwe mbali,

majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

14109:14 Kut 20:5Maovu ya baba zake na yakumbukwe

mbele za Bwana,

dhambi ya mama yake

isifutwe kamwe.

15109:15 Za 90:8; Kut 17:14; Kum 32:26; Ay 18:17Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana,

ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.

16109:16 Ay 20:19; Za 35:10; 34:18Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,

aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.

17109:17 Mit 28:27; Mt 7:2Alipenda kulaani,

nayo laana ikampata;

hakupenda kubariki,

kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.

18109:18 Za 10:7; Hes 5:22Alivaa kulaani kama vazi lake,

nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,

kwenye mifupa yake kama mafuta.

19109:19 Za 109:29; 73:6; Eze 7:27Na iwe kama joho alilozungushiwa,

kama mshipi aliofungiwa daima.

20109:20 Kut 32:34; Za 54:5; 94:23; 7:10; Isa 3:11; 2Tim 4:14Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu,

kwa wale wanaoninenea mabaya.

21109:21 Kut 9:16; Za 3:7; 23:3; 69:16Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi,

unitendee wema kwa ajili ya jina lako,

uniokoe kwa wema wa pendo lako.

22Maana mimi ni maskini na mhitaji,

moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

23109:23 Ay 14:2Ninafifia kama kivuli cha jioni,

nimerushwa-rushwa kama nzige.

24109:24 Ebr 12:12; Ay 16:8; Za 35:13Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

mwili wangu umedhoofika na kukonda.

25109:25 Za 22:6; Ay 16:4; Mt 27:39; Mk 15:29; Isa 37:22Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

wanionapo, hutikisa vichwa vyao.

26109:26 Za 12:1; 119:86Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie,

niokoe sawasawa na upendo wako.

27109:27 Ay 37:7Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.

28109:28 2Sam 16:12; Za 66:4; Isa 35:10; 51:11; 54:1; 65:14; Hes 22:12Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

watakaposhambulia wataaibishwa,

lakini mtumishi wako atashangilia.

29109:29 Za 35:26Washtaki wangu watavikwa fedheha,

na kufunikwa na aibu kama joho.

30109:30 Za 35:18Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana,

katika umati mkubwa nitamsifu.

31109:31 Za 16:8; 108:6Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.

King James Version

Psalms 109:1-31

To the chief Musician, A Psalm of David.

1Hold not thy peace, O God of my praise;

2For the mouth of the wicked and the mouth of the deceitful are opened against me: they have spoken against me with a lying tongue.109.2 of the deceitful: Heb. of deceit109.2 are opened: Heb. have opened themselves

3They compassed me about also with words of hatred; and fought against me without a cause.

4For my love they are my adversaries: but I give myself unto prayer.

5And they have rewarded me evil for good, and hatred for my love.

6Set thou a wicked man over him: and let Satan stand at his right hand.109.6 Satan: or, an adversary

7When he shall be judged, let him be condemned: and let his prayer become sin.109.7 be condemned: Heb. go out guilty, or, wicked

8Let his days be few; and let another take his office.109.8 office: or, charge

9Let his children be fatherless, and his wife a widow.

10Let his children be continually vagabonds, and beg: let them seek their bread also out of their desolate places.

11Let the extortioner catch all that he hath; and let the strangers spoil his labour.

12Let there be none to extend mercy unto him: neither let there be any to favour his fatherless children.

13Let his posterity be cut off; and in the generation following let their name be blotted out.

14Let the iniquity of his fathers be remembered with the LORD; and let not the sin of his mother be blotted out.

15Let them be before the LORD continually, that he may cut off the memory of them from the earth.

16Because that he remembered not to shew mercy, but persecuted the poor and needy man, that he might even slay the broken in heart.

17As he loved cursing, so let it come unto him: as he delighted not in blessing, so let it be far from him.

18As he clothed himself with cursing like as with his garment, so let it come into his bowels like water, and like oil into his bones.109.18 into his bowels: Heb. within him

19Let it be unto him as the garment which covereth him, and for a girdle wherewith he is girded continually.

20Let this be the reward of mine adversaries from the LORD, and of them that speak evil against my soul.

21But do thou for me, O GOD the Lord, for thy name’s sake: because thy mercy is good, deliver thou me.

22For I am poor and needy, and my heart is wounded within me.

23I am gone like the shadow when it declineth: I am tossed up and down as the locust.

24My knees are weak through fasting; and my flesh faileth of fatness.

25I became also a reproach unto them: when they looked upon me they shaked their heads.

26Help me, O LORD my God: O save me according to thy mercy:

27That they may know that this is thy hand; that thou, LORD, hast done it.

28Let them curse, but bless thou: when they arise, let them be ashamed; but let thy servant rejoice.

29Let mine adversaries be clothed with shame, and let them cover themselves with their own confusion, as with a mantle.

30I will greatly praise the LORD with my mouth; yea, I will praise him among the multitude.

31For he shall stand at the right hand of the poor, to save him from those that condemn his soul.109.31 those…: Heb. the judges of